Umerudia dhambi?Wamisionari walitisha watu (hasa waafrika) kuna moto wa milele ili waikubali Imani ya kizungu. Hata mimi niliogopa moto wa milele na kubatizwa. Sasa nimegundua ni fix, nimeamua kurudi kwenye jadi yangu.
Vitu vyote ulivyovitaja vipo kwenye dimension yetu ni tofauti na Mungu unayemuongelea.Kuna vitu hatuvioni kwa macho, je ndiyo tuseme havipo? mfano upepo,mawimbi ya sauti,electronic signals etc . Wewe kutokumuona Mungu haimaanishi hayupo
Muanzisha uzi ni Agnostic Atheist. Bado ana maswali mengi ambayo yanafanya anashindwa kuelewa asimame wapi kwasababu tokea akiwa mdogo ameshakuwa brainwashed na dini.
Na hivi ndiyo jinsi mwanadamu alivyozaliwa akiwa hajui chochote.Mimi sifahamu fika chanzo cha huo ulimwengu.
Na naamini hakuna ajuaye zaidi ya nadharia tu,
Wewe unaweza kuwa unajua chanzo cha hayo uliyoyasema ili unieleze nami nisiwe mjinga tena!?
Paganism ni tofauti na Atheism.Kwakulazimisha uamuamin mbona unalazamisha mambo hayana mantiki
We kuwa mpagani hata kufanya chochote sababu wewe hutakua wakwanza
Kuna namna nakuonaga una upeo mdogo sana wa maisha kila siku unaanzisha uzi wa kumponda Mungu inshort huna content sababu mada zako ni zile zile kila siku
Unachofanya hata sio unique wala acts of genius kama lengo lako unalotaka lionekane watu kibao walishamkataa Mungu na wakaanzisha dini yao inaitwa atheist
Jibu hili swali kwa ukweli wako wote.Nimechagua kuiamini biblia as my reference kama wewe ulivyochagua kuviamini vyanzo unavyovitumia ingawa hujanieleza ni reference zipi ulizotumia mpaka kusema biblia ni fiction stories
Jibu hili swali kwa ukweli wako wote.
Kwanini ulikuwa Mkristo?
Kama jibu lako ni "kwasababu ya wazazi" usijibu hilo swali jibu hili:
Unaamini ungezaliwa na wazazi Waislam au dini yoyote ile bado ungekuwa Mkristo?
Kwa maana hiyo watu wote wanaoamini imani tofauti na Ukristo wataenda motoni?Ndiyo
Mkuu ukitaga kutegua kitendawili hicho kama ulizaliwa kwenye imani, lazima ufanye self diagnosis ya ubongoni mwako kwa kujiuliza maswali kama haya.Na hivi ndiyo jinsi mwanadamu alivyozaliwa akiwa hajui chochote.
Mimi bado sielewi lengo kuu la dini ni nini ikiwa kuna miungu karibu 3000 na yote ina waumini.
Wote wanaotetea dini ni wanafiki kwasababu ni imani walizochukua kutoka kwa wazazi au walezi, hakuna ambaye hujichagulia dini zaidi ya kufuata tu.
Leo hii mtoto akizaliwa na kukulia kwenye Ukristo ataamini ndiyo dini sahihi ni hivyohivyo kwa mtoto wa Kiislam na dini zote hizi zinakinzana.
Muislam ni sawa kuoa mpaka wake 4 ila mkristo haruhusiwi kuoa mke zaidi ya 1.
Wote hawa ni binadamu wanafanana lakini wanakinzana kiimani ktk miungu wanayoamini. Sasa kwanini Mungu aliyetuumba awe na njia nyingi hivi kutuchanganya wanadamu.
Paganism ni tofauti na Atheism.
Wapagani wanaamini miungu tofauti na zile dini kuu: Ukristo, Uislam n.k.
Wapagani hawamuamini Mungu unayemuamini wewe kama ambavyo wewe humuamini Mungu wao.
Atheists hawaamini kabisa uwepo wa Mungu yoyote yule.
Kwanini wewe unajihisi upo sahihi kukataa miungu yote na kuamini wa kwako ndiyo wa kweli?
Ukiwa Muislam maana yake huamini Mungu wa Wakristo, ni hivyohivyo ukiwa Mkristo pia. Sasa hapo kwanini unamshangaa mpagani? Au Atheist anayewakataa wote.
😂
Ni fiction stories kwasababu inahadithi za uongo wa wazi kabisa halafu inajipinga yenyewe.Nimechagua kuiamini biblia as my reference kama wewe ulivyochagua kuviamini vyanzo unavyovitumia ingawa hujanieleza ni reference zipi ulizotumia mpaka kusema biblia ni fiction stories
Huyo anayesema hivi ni mpumbavu.Kuna tukio zito linakwenda kuukumba mji wa BANDARI salama,
Tetemeko kuu litatikisa Bahari na kupasua ardhi ya mji huo, madhara yatakuwa mji nzima,
Hakutakuwa na nyumba ilosimama juu ya ardhi.
TAREHE : (1-20).
Mwezi: April - May.
Mwaka: 2024.
SAFETY ZONE: Kuanzia KIBAHA Banda la ndege na kuendelea.
Huo Si mwisho wa Dunia, Bali ni mwanzo tu wa Mungu kuwakumbusha WANADAMU kuwa Yupo na hapendi dhambi na UOVU.
NB: Wajinga watachukua hatua, bt Werevu/wasomi watapuuza kama enzi za Safina na NUHU Ili wasubiri yatokee ndo wapige Mbizi.
ANGALIZO: Tembelea U-Tube, UNYAKUO TV. Kwa taarifa zaidi.
Amen
Ninyi mlio na asili Kutoka CHINI, Wana wa Mungu wakiwafuata, watapotea mazima!!!Huyo anayesema hivi ni mpumbavu.
Na nahsi namfahamu
Hakuna kitu kama hiko.
Huyo Mungu wa design hiyo itoshe tu kusema kuwa ni mpumbavu.
Kujidhihirisha kwako ni kwa kuumiza watu na vichanga?
Si mnasemaga kuwa watu wana free will ya kuchagua.
Sasa iwaje tena huyu Mungu akasirishwe eti kisa hapendi dhambi na uovu!?
Is God frustrated?
Au ni Coma hiyo
I think he is going through a traumatic divorce. Who knows...
Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa vipi kuumba ulimwengu usioruhusu kuwezekana kwa dhambi na uovu?
Wanakutisha hivyo kwamaana Allah hayupo.Well said sisi katika dini yetu ya uislam tumefundishwa mtu anae mchunguza mungu basi hata akili zake haziko sawa (majnun) kwa maana huwezi kuchunguzu na kikujua kitu kilichokutengeneza wewe na kukupa akili kwasababu angeweza kukuumba ukawa hata mmbu lakini kakuumba binaadam na kwa ujeuri wa binaadam et unamchunguza na kumjadili mungu. BIRA USEME MUNGU YUPO KULIKO KUSEMA HAYUPO UKAKUTANA NAE NDIO UTAJUA HAUJUI.
Huyo Mungu haishi nje ya hadithi za vitabu vyenu.Ninyi mlio na asili Kutoka CHINI, Wana wa Mungu wakiwafuata, watapotea mazima!!!
Mungu huyo anaishi ndani yangu.Huyo Mungu haishi nje ya hadithi za vitabu vyenu.
Kama unabisha thibitisha uwepo wake tujue kweli yupo kwenye uhalisia.
Hujaweza kuthibitisha zaidi ni kuwa umenihubiria tuMungu huyo anaishi ndani yangu.
Ninaongea naye kupitia maombi na kusoma Neno lake.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Siku Theist akiweza kujibu kwanini kuna dini na miungu mingi lakini anaamini Mungu wake ndiyo wa kweli nitaweza kumsikiliza.Huyo Mungu haishi nje ya hadithi za vitabu vyenu.
Kama unabisha thibitisha uwepo wake tujue kweli yupo kwenye uhalisia.
Kwahiyo Waislamu na waumini wa dini nyingine zote duniani wataenda motoni maana Mungu wao ni wa uongo?Mungu huyo anaishi ndani yangu.
Ninaongea naye kupitia maombi na kusoma Neno lake.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Imani ni shambulio la akili.Siku Theist akiweza kujibu kwanini kuna dini na miungu mingi lakini anaamini Mungu wake ndiyo wa kweli nitaweza kumsikiliza.
Hawana points za msingi zaidi ya kutetea dini zao tu. Theist haamini Mungu mwingine bali wa kwake ila Atheist akisema basi mimi siwaamini wote anaonekana anakosea.