Dini zote kama hazimkiri Yesu, wote wataenda motoni.Kwahiyo Waislamu na waumini wa dini nyingine zote duniani wataenda motoni maana Mungu wao ni wa uongo?
Smotor wewe ni MPUMBAVU sawasawa na neno la Mungu lisemavyo.Imani ni shambulio la akili.
Reasoning na logic haifanyi kazi kwa wafia dini
Ungekulia kwenye Uislamu ungeteta huko pia.Dini zote kama hazimkiri Yesu, wote wataenda motoni.
Kuzimu yupo mungu wao, na huyo allahu ni mmoja wa miungu ya huko.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Mimi ni mpumbavu kwasababu Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.Smotor wewe ni MPUMBAVU sawasawa na neno la Mungu lisemavyo.
Unavuta PUMZI Bure na usimjue aliyeiumba, ungekuwa mjinga ungemtafuta Mungu angekuonekanie.
Narudia,Ungekulia kwenye Uislamu ungeteta huko pia.
Reasoning haifanyi kazi kisawasawa.Dini zote kama hazimkiri Yesu, wote wataenda motoni.
Kuzimu yupo mungu wao, na huyo allahu ni mmoja wa miungu ya huko.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Sijakutukana, Nakuita Smotor MPUMBAVU sawasawa na lisemavyo NENO la Mungu kuwa,Mimi ni mpumbavu kwasababu Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.
Angekuwepo asingefanya ukatili huu wa kuumba mpumbavu kama mimi.
Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.
Unatumia hadithi za uongo kunitukana.
Poor you
Si Kweli,Reasoning haifanyi kazi kisawasawa.
Wewe ungezaliwa kwenye familia ya Kiislamu saizi ungekuwa unabishana na mkristo ukimuona ni mpotofu wa kutupwa.
Ungezaliwa huko kwa wa hindu, ungekuwa unaabudu ng'ombe.
Huu ni ukweli mtupu.
Ukitaka kujua ulevi wa dini uliyopo umekufikia level kubwa, kataa hilo.
Kwamba ukisema smotor mpumbavu unakuwa hujanitukana?Sijakutukana, Nakuita Smotor MPUMBAVU sawasawa na lisemavyo NENO la Mungu kuwa,
MPUMBAVU amesema moyoni mwake hakuna Mungu,
Uvute PUMZI ya Mungu Bure na kusema hayupo halafu ubaki timamu?
Wewe Si MPUMBAVU wa kwanza kuokolewa,Kwamba ukisema smotor mpumbavu unakuwa hujanitukana?
Kama sivyo nitaanza kumuita Mungu wako mpumbavu.
Mimi ni mpumbavu kwasababu Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.
Angekuwepo asingefanya ukatili huu wa kuumba mpumbavu kama mimi.
Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.
Unatumia hadithi za uongo tu kunitukana hapa kisa zimeandikwa matusi ya kuwatukana ambao watakuwa tofauti na mtazamo wenu.
Hata mimi naweza kuandika kitabu nkasema "Mpumbavu ni yule anayeamini nyoka anaongea, mjinga asiye na maarifa anaamini kuna Mungu"
Wewe ni mjinga.Si Kweli,
Wapo waislamu waliozama kumtafuta Allah wakidhani ni Mungu, wakatokewa na YESU na kuwathibitishia Yeye ndiye.
Mungu unatakiwa umtafute Ukiwa na akili zako timamu, Si mapokeo ya Kuzaliwa,
Mimi nilimtafuta binafsi baada ya kusoma Maandiko Hasa Yohana 1:1 Kuwa,
Hapo mwanzo kulikuwako NENO, naye neno alikuwako Kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu.
Nilitaka kujua tofauti ya Mungu baba, Mwana/neno na Roho mtakatifu nikidhani ni tofauti,
Nilipojua UKWELI na kuthibitisha kuwa,
Yesu ndiye Baba, ndiye Mwana/Neno na Ndiye Roho mtakatifu, sikuwa na wasiwasi tena.
ELIMU Yako na Reasoning Yako ya kijinga ya Dunia hii utaendelea kuwa msukule Hadi siku ya kufa kwako, utaenda kuzimu huko ulikofungwa.
ELIMU atoayo Mungu kupitia Roho MTAKATIFU ni zaidi ya ELIMU ya Dunia, ndomana Yesu hakuenda hata darasani, lakini akijua Yote.
MUNGU ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Smotor MPUMBAVU nisikize,Wewe ni mjinga.
Nkisema wewe ni mjinga ni kwamba huna knowledge kabisa kuhusu ukisemacho.
Nmejua wewe ni mlevi wa dini
Hao waislam wanaohama ni minor sana na ni ambao wanafuata tamaa zao kama ndoa ukristoni n. k
Hata wakristo pia wapo wanaoslim.
Sasa hapo tunaangalia majority.
Mimi nmekupa mfano.
Ungekywa hata North Korea huko, ungejua hata habari za yesu wala uislamu?
Yaani wewe ni msukule haswa, hujui hata kufikiri kidhahania.
Unadhani wenzio wote waislamini habari za yesu ni wajinga sana siyo!?
Yesu huyo ni msomi mzuri tena wa dini, ni kwamba wewe hujui hilo.
Hujui history hata ya hiko kitabu unachokiamini.
Hujui kimepitia mambo yapi.
Hujui kuwa hizo habari za yesu zilipikwa tu na watu na wakaamua wachukue baadhi zingine wakaamua waziache tu.
Sasa wewe ni mfia dini tu, huwezi kufanya reasoning na mimi hapa.
Kitabu chenyewe hiko kina contradiction kibao wewe unajinasibu nacho hapa.
Kumbuka hata Mungu hujaweza kumthibitisha.
Unanitukana tu humu
Umeandika vizuri kabisa. Hongera!!Mungu ni upendo, na anataka tumpende na tumtii pasipo sababu yeyote ile, hana vitisho wala ubaguzi wa aina yeyote kwa wanaomtii na wasiomtii, mbele yake ni wote tupo kwenye kapu moja.
Mkuu moto unaozungumzwa hasa kwenye biblia ni lugha ya picha tuu, wala sio huu moto tuujua sisi kama matokeo ya fuel, heat na oxygen hewa. Huo moto ni HALI tu, wala sio MAHALI, au MOTO wa kuonekana kwa macho kwamba huo au ule pale unachoma watu.
Nshakwambia mimi sihitaji mahubiri yako.Smotor MPUMBAVU nisikize,
Habari za Yesu hazijapikwa,
Nimekuthibitishia Mungu anaishi ndani yangu na ninawasiliana naye daily.
Unahitaji uthibitisho upi zaidi?
Wapo watoto wa Waganga waliozaliwa viringeni ,hawakuwa wakimjua Yesu,
Waliposikia INJILI kupitia njia mbalimbali kama kusoma BIBLIA, kusikiza shuhuda, kuota NDOTO, Yesu alikutana nao.
Huyo YESU wa kutengeneza simjui, Namjua Yesu Real.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Unauhakika gani kuwa ni real?Habari za Yesu hazijapikwa,
Kwahyo Yesu ni Mungu?Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Porojo nyiiingi,Wewe Si MPUMBAVU wa kwanza kuokolewa,
Alikuwepo Mtume Paulo kabla ya Kutokea na YESU akiwa katika Utukufu na akawa kipofu sababu ya upumbavu wake.
Nakuombea, akutokee live umuone, ni HALISI na uje kushuhudia.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
DuuhKuna tukio zito linakwenda kuukumba mji wa BANDARI salama,
Tetemeko kuu litatikisa Bahari na kupasua ardhi ya mji huo, madhara yatakuwa mji nzima,
Hakutakuwa na nyumba ilosimama juu ya ardhi.
TAREHE : (1-20).
Mwezi: April - May.
Mwaka: 2024.
SAFETY ZONE: Kuanzia KIBAHA Banda la ndege na kuendelea.
Huo Si mwisho wa Dunia, Bali ni mwanzo tu wa Mungu kuwakumbusha WANADAMU kuwa Yupo na hapendi dhambi na UOVU.
NB: Wajinga watachukua hatua, bt Werevu/wasomi watapuuza kama enzi za Safina na NUHU Ili wasubiri yatokee ndo wapige Mbizi.
ANGALIZO: Tembelea U-Tube, UNYAKUO TV. Kwa taarifa zaidi.
Amen
Mkuu ili tuepuke hili janga tunapaswa kufanya nini?Kuna tukio zito linakwenda kuukumba mji wa BANDARI salama,
Tetemeko kuu litatikisa Bahari na kupasua ardhi ya mji huo, madhara yatakuwa mji nzima,
Hakutakuwa na nyumba ilosimama juu ya ardhi.
TAREHE : (1-20).
Mwezi: April - May.
Mwaka: 2024.
SAFETY ZONE: Kuanzia KIBAHA Banda la ndege na kuendelea.
Huo Si mwisho wa Dunia, Bali ni mwanzo tu wa Mungu kuwakumbusha WANADAMU kuwa Yupo na hapendi dhambi na UOVU.
NB: Wajinga watachukua hatua, bt Werevu/wasomi watapuuza kama enzi za Safina na NUHU Ili wasubiri yatokee ndo wapige Mbizi.
ANGALIZO: Tembelea U-Tube, UNYAKUO TV. Kwa taarifa zaidi.
Amen
Tembelea hiyo U-Tube channel ya UNYAKUO TV,yapo maelekezo.🙏🙏Mkuu ili tuepuke hili janga tunapaswa kufanya nini?