The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapeli upi yani?Dini ni utapeli kama utapeli mwingine
Fatwah ya kufunga na kufunguaDini ni utapeli kama utapeli mwingine
Dini zinamtukanisha sana MunguEti kuna moto wa milele ameuandaa Mungu huyo Mungu gani anampango wa kuwafanya mishikaki watoto zake wapenzi
Nime quote andiko gani Mtukutu wa Nyaigela ?Mungu haandiki, lakini hapa ume quote maandiko
basi sawa tupendane
Upendo ndio kusudi la mwanadamu kuwepo duniani. Tukipendana kwa dhati, dunia ndio Paradiso yenyewe.
Wakati mwingine ukisha andika uwe unasoma uliyoyaandika kabla ya kuyaleta hapaMungu ni asili, yeye ndiyo chanzo cha vyote vinavyoonekana na visivyo onekana.
Ili Mungu akure maarifa, hana haja ya kukuandikia kiatabu.
Jiulize maarifa makubwa waliyonayo wanyama mbalimbali, wameyasoma kwenye kitabu gani kitakatifu?
Mungu yupo, hasomi, haandiki, wala hana dini. Dini ni mpango wa mwanadamu. Dini imejaa vitisho, Mungu hana haja ya kumtisha mtu.
Dini zimeenezwa kwa kufanya mauaji makubwa. Mungu wetu anachukia mauaji.
Dini ni mpango halisi wa shetani, kuwadanganya watu, wajione wanamfuata Mungu kumbe wako maili nyingi sana na mpango wa Mungu kwa mwanadamu.
Kama dini haiwezi kukupeleka Kariakoo, itawezaje kukupelela mbinguni?
Ukiweza kumpenda jirani yako kama nafsi yako mwenyewe wewe utakuwa bora kuliko mtu anayesali kuanzia asubuhi hadi usiku wa manane.
Upendo ndio kusudi la mwanadamu kuwepo duniani. Tukipendana kwa dhati, dunia ndio Paradiso yenyewe.
Povu hili linatokea pande gani ya nchi?Wakati mwingine ukisha andika uwe unasoma uliyoyaandika kabla ya kuyaleta hapa
Ukifanya dhambi/maovu au ukimkosea binadamu mwenzako nature itakuadhibu hapa hapa duniani wala hakuna moto.Eti kuna moto wa milele ameuandaa Mungu huyo Mungu gani anampango wa kuwafanya mishikaki watoto zake wapenzi
Mungu wa kwenye biblia ama quran hayupo. Zile ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu.Utapeli upi yani?
Kwahiyo Miungu ya kwenye vitabu na imani zengine(tofauti na Qur'an na Biblia) wapo?Mungu wa kwenye biblia ama quran hayupo. Zile ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu.