Mungu na dini ni vitu viwili tofauti. Mungu hasomi wala haandiki

Issue sio kwenda kanisani au msikitini bali tunajua uwepo wa Mungu kupitia watu kwa bila kujali watu hao wa dini au sio wanadini.
 
Kaka..., au basi!
 
Critical thinking
 
Mungu anajulikana kabla hizi dini za kutoka mashariki ya kati hazijatufikia. Kila jamii na kabila walikuwa na Mungu wao. Bahati mbaya hawa wanakuja walipokuja wakawadanganya mababu na mabibi zetu kwamba wao wanaabudu na kuamini mizimu
 
NAJIULIZA KITU KIMOJA HIVI ALIYEANDIKA KWAMBA HAPO MWANZO MUNGU ALIWAUMBA ADAM NA HAWA YEYE ALIJUAJE NA KIPINDI HAO ADAM NA HAWA WANAUMBWA YEYE ALIKUWA WAPI NA ALIUMBWA NA NANI.
Wanadai kwamba alifunuliwa kujajua mambo yalitotukia kabla yeye hajazaliwa
 
Mungu yupo maana Dunia haiwezi kujitengeneza yenyewe na viumbe vyake na kila kiumbe kina sababu yake...
Ila uwepo wa Mungu yapo Mataifa makubwa na baadhi ya watu wanafanya fursa ndio maana wengine wanabaki kutokuamini...
Hoja yako inamaanisha kwamba kila kilichopo kimetengenezwa na kilichokuwepo kabla. Ndio maana unasema Mungu yupo kwasababu dunia haiwezi kujitengeneza yenyewe. Je, huyo Mungu ilikuwaje akatokea? Alitoka wapi na lini? Je huyo Mungu alitokea mwenyewe bila kuwa na chanzo?
 
Freedom of speech.Anyway kuna kitu hujakifahamu bado about human nature to his/her Creature.Ukiwa mkubwa utaelewa.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…