Mungu na shetani kushirikiana kumtesa Ayubu ni ushahidi tosha kama Mungu na Shetani ni Marafiki. ndio maana Mungu hamuui shetani mpaka leo

Mungu na shetani kushirikiana kumtesa Ayubu ni ushahidi tosha kama Mungu na Shetani ni Marafiki. ndio maana Mungu hamuui shetani mpaka leo

Biblia imeandikwa kwa akili kubwa sana. Ukisoma kama gazeti ndiyo matokeo yake haya utakuja na mafundisho ya nabii Tito au kibwetele
Kumbuka shetani alikuwa malaika mkuu (alikuwa haitwi shetani kama unavyofikiria). Kama shetani angetajwa kwa jina lake la utukufu ile sifa mbaya ya uasi na machafuko yake ingefutika yaani shetani angekuwa bado anapewa utukufu.
Shetani alikuwa haitwi shetani kipindi kile kwa kuwa aliasi jina lake limechafuliwa huko mbinguni mpaka duniani.
Kumbuka kipindi kile shetani (alikuwa haitwi shetani) kwahiyo alikuwa anamjaribu ili aone msimamo wa Ayubu. Shetani alianza kwa Ayubu.
Muwe mnasoma Biblia vizuri na siyo kwa mihemko
Shetani alikua anaitwa shetty😀
 
Mungu aliruhusu Shetani kumjaribu Ayubu, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Ayubu katika Biblia. Hadithi inaanza na Ayubu, mtu mwema na tajiri, ambaye anamcha Mungu kwa uaminifu.

Shetani anapinga uaminifu wa Ayubu, na kumwambia Mungu kwamba Ayubu anamcha Mungu kwa sababy ya mali tu ila sio kutoka moyoni. ( imagine shetani na Mungu wanapiga story kirafiki ila kanisani tunaambiwa ni maadui wakubwa)

Baada ya mabishano hayo kati ya Mungu na shetani kwenye sto
ri

Mungu anamruhusu Shetani kumjaribu Ayubu kwa kumuharibia Ayubu maisha na kupoteza mali, kupoteza afya kwa kupata magonjwa yeye na familia yake


soma Biblia Ayubu 2 kuanzia mstari wa kwanza mpaka wa 13 unaonesha majadiliano ya Mungu na Shetani​

1 Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za Bwana, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujihudhurisha mbele za Bwana.
2 Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi? Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
3 Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
4 Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.
5 Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
6 Bwana akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
7 Basi Shetani akatoka mbele za uso wa Bwana, akampiga Ayubu na majipu mabaya tangu wayo wa mguu hata utosi wa kichwa.
8 Naye akashika kigae cha kujikunia; akaketi majivuni.
9 Ndipo mkewe akamwambia, Je! Wewe hata sasa washikamana na utimilifu wako? Umkufuru Mungu, ukafe.
10 Lakini yeye akamwambia, Wewe wanena kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu anenavyo. Je! Tupate mema mkononi mwa Mungu, nasi tusipate na mabaya? Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi kwa midomo yake.
11 Basi ikawa hao rafikize Ayubu watatu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikilia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumlilia Ayubu na kumtuliza moyo.
12 Basi walipovua macho yao, nao wakali mbali, wasimtambue, wakainua sauti zao na kulia; kila mmoja akararua joho yake, wakarusha mavumbi juu ya vichwa vyao kuelekea mbinguni.
13 Kisha wakaketi nchi pamoja naye muda wa siku saba, mchana na usiku, wala hapana mmoja aliyenena naye neno lo lote; kwa maana waliona ya kuwa mashaka yake aliyo nayo ni makuu mno.
Hatari
 
Biblia imeandikwa kwa akili kubwa sana. Ukisoma kama gazeti ndiyo matokeo yake haya utakuja na mafundisho ya nabii Tito au kibwetele
Kumbuka shetani alikuwa malaika mkuu (alikuwa haitwi shetani kama unavyofikiria). Kama shetani angetajwa kwa jina lake la utukufu ile sifa mbaya ya uasi na machafuko yake ingefutika yaani shetani angekuwa bado anapewa utukufu.
Shetani alikuwa haitwi shetani kipindi kile kwa kuwa aliasi jina lake limechafuliwa huko mbinguni mpaka duniani.
Kumbuka kipindi kile shetani (alikuwa haitwi shetani) kwahiyo alikuwa anamjaribu ili aone msimamo wa Ayubu. Shetani alianza kwa Ayubu.
Muwe mnasoma Biblia vizuri na siyo kwa mihemko
Haya tueleweshe sasa hilo andiko lilikua na maana gani?
 
Biblia imeandikwa kwa akili kubwa sana. Ukisoma kama gazeti ndiyo matokeo yake haya utakuja na mafundisho ya nabii Tito au kibwetele
Kumbuka shetani alikuwa malaika mkuu (alikuwa haitwi shetani kama unavyofikiria). Kama shetani angetajwa kwa jina lake la utukufu ile sifa mbaya ya uasi na machafuko yake ingefutika yaani shetani angekuwa bado anapewa utukufu.
Shetani alikuwa haitwi shetani kipindi kile kwa kuwa aliasi jina lake limechafuliwa huko mbinguni mpaka duniani.
Kumbuka kipindi kile shetani (alikuwa haitwi shetani) kwahiyo alikuwa anamjaribu ili aone msimamo wa Ayubu. Shetani alianza kwa Ayubu.
Muwe mnasoma Biblia vizuri na siyo kwa mihemko
Tunafundishwa kwamba Mungu ni Mtakatifu sana na kamwe kiumbe chenye dhambi hakiwezi kujihudhurisha mbele yake. Vipi tena shetani aliye baba wa ubaya wote na mwanzilishi wa dhambi aweze kwenda mbele ya Mungu na kupiga naye stori kama vile ni washikaji?

Mimi ni Mkristo lakini hata Wanatheolojia wengi wanakiri kuwa hili fundisho lina utata. Nasubiri ufafanuzi wako wa kina bila kejeli, matusi wala dhihaka 🙏🏿
 
Mbona umechelewa kujua km hao ni marafiki mkuu… ni vile wanatuona km Matraco yao 😹😹😹
Acha dada yangu
Acha kufuata mkumbo wa hawa vijana wa humu ndani

MUNGU anakupenda sana
YESU ni mwema sana
 
Biblia imeandikwa kwa akili kubwa sana. Ukisoma kama gazeti ndiyo matokeo yake haya utakuja na mafundisho ya nabii Tito au kibwetele
Kumbuka shetani alikuwa malaika mkuu (alikuwa haitwi shetani kama unavyofikiria). Kama shetani angetajwa kwa jina lake la utukufu ile sifa mbaya ya uasi na machafuko yake ingefutika yaani shetani angekuwa bado anapewa utukufu.
Shetani alikuwa haitwi shetani kipindi kile kwa kuwa aliasi jina lake limechafuliwa huko mbinguni mpaka duniani.
Kumbuka kipindi kile shetani (alikuwa haitwi shetani) kwahiyo alikuwa anamjaribu ili aone msimamo wa Ayubu. Shetani alianza kwa Ayubu.
Muwe mnasoma Biblia vizuri na siyo kwa mihemko
Wakati anamjaribu ayubu alikuwa haitwi shetani, haya hebu tuambie alikuwa anaitwa nani tujue.

Naomba jibu langu haraka.
 
Mungu aliruhusu Shetani kumjaribu Ayubu, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Ayubu katika Biblia. Hadithi inaanza na Ayubu, mtu mwema na tajiri, ambaye anamcha Mungu kwa uaminifu.

Shetani anapinga uaminifu wa Ayubu, na kumwambia Mungu kwamba Ayubu anamcha Mungu kwa sababy ya mali tu ila sio kutoka moyoni. ( imagine shetani na Mungu wanapiga story kirafiki ila kanisani tunaambiwa ni maadui wakubwa)

Baada ya mabishano hayo kati ya Mungu na shetani kwenye sto
ri

Mungu anamruhusu Shetani kumjaribu Ayubu kwa kumuharibia Ayubu maisha na kupoteza mali, kupoteza afya kwa kupata magonjwa yeye na familia yake


soma Biblia Ayubu 2 kuanzia mstari wa kwanza mpaka wa 13 unaonesha majadiliano ya Mungu na Shetani​

1 Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za Bwana, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujihudhurisha mbele za Bwana.
2 Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi? Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
3 Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
4 Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.
5 Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
6 Bwana akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
7 Basi Shetani akatoka mbele za uso wa Bwana, akampiga Ayubu na majipu mabaya tangu wayo wa mguu hata utosi wa kichwa.
8 Naye akashika kigae cha kujikunia; akaketi majivuni.
9 Ndipo mkewe akamwambia, Je! Wewe hata sasa washikamana na utimilifu wako? Umkufuru Mungu, ukafe.
10 Lakini yeye akamwambia, Wewe wanena kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu anenavyo. Je! Tupate mema mkononi mwa Mungu, nasi tusipate na mabaya? Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi kwa midomo yake.
11 Basi ikawa hao rafikize Ayubu watatu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikilia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumlilia Ayubu na kumtuliza moyo.
12 Basi walipovua macho yao, nao wakali mbali, wasimtambue, wakainua sauti zao na kulia; kila mmoja akararua joho yake, wakarusha mavumbi juu ya vichwa vyao kuelekea mbinguni.
13 Kisha wakaketi nchi pamoja naye muda wa siku saba, mchana na usiku, wala hapana mmoja aliyenena naye neno lo lote; kwa maana waliona ya kuwa mashaka yake aliyo nayo ni makuu mno.
Hizo ni hadithi za kufikirika za kutungwa na watu tu, hakuna Mungu wala Shetani.

Hizo ni hadithi za watu tena zenye makosa mengi ya kimantiki, zilizobadilishwabadilishwa mara nyingi na waandishi wake.

Ni hekaya na ngano za Wayahudi, mmepigwa ukoloni wa kiutamaduni kuaminishwa Mungu aliyetungwa na Wayahudi
 
Mungu aliruhusu Shetani kumjaribu Ayubu, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Ayubu katika Biblia. Hadithi inaanza na Ayubu, mtu mwema na tajiri, ambaye anamcha Mungu kwa uaminifu.

Shetani anapinga uaminifu wa Ayubu, na kumwambia Mungu kwamba Ayubu anamcha Mungu kwa sababy ya mali tu ila sio kutoka moyoni. ( imagine shetani na Mungu wanapiga story kirafiki ila kanisani tunaambiwa ni maadui wakubwa)

Baada ya mabishano hayo kati ya Mungu na shetani kwenye sto
ri

Mungu anamruhusu Shetani kumjaribu Ayubu kwa kumuharibia Ayubu maisha na kupoteza mali, kupoteza afya kwa kupata magonjwa yeye na familia yake


soma Biblia Ayubu 2 kuanzia mstari wa kwanza mpaka wa 13 unaonesha majadiliano ya Mungu na Shetani​

1 Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za Bwana, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujihudhurisha mbele za Bwana.
2 Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi? Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
3 Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
4 Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.
5 Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
6 Bwana akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
7 Basi Shetani akatoka mbele za uso wa Bwana, akampiga Ayubu na majipu mabaya tangu wayo wa mguu hata utosi wa kichwa.
8 Naye akashika kigae cha kujikunia; akaketi majivuni.
9 Ndipo mkewe akamwambia, Je! Wewe hata sasa washikamana na utimilifu wako? Umkufuru Mungu, ukafe.
10 Lakini yeye akamwambia, Wewe wanena kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu anenavyo. Je! Tupate mema mkononi mwa Mungu, nasi tusipate na mabaya? Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi kwa midomo yake.
11 Basi ikawa hao rafikize Ayubu watatu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikilia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumlilia Ayubu na kumtuliza moyo.
12 Basi walipovua macho yao, nao wakali mbali, wasimtambue, wakainua sauti zao na kulia; kila mmoja akararua joho yake, wakarusha mavumbi juu ya vichwa vyao kuelekea mbinguni.
13 Kisha wakaketi nchi pamoja naye muda wa siku saba, mchana na usiku, wala hapana mmoja aliyenena naye neno lo lote; kwa maana waliona ya kuwa mashaka yake aliyo nayo ni makuu mno.
Kufuru kubwa. Tubu ndugu before It s too late.
 
Wakati Mungu anamwambia yote hayo shetani Nani alimuona?

What am saying is tatizo lipo kwako mtoa mada
 
Kwani wewe huwezi kuongea na adui yako? Bila shaka inawezekana, shetani anasubiri hukumu ya Mungu.
 
Shetani sio kwamba anapiga storu na Mungu, Shetani siku zote anatushitaki kwa Mungu, ndio maana ilibidi Yesu aje afe athibitishe kuwa kwenye Hali ya ubinadamu ukimtegemea Mungu unamshinda Shetani,

Shetani muda wote anatushawishi kutenda mabaya ili kwa Sheria za asili Mungu anatakiwa atuadhibu maana mshahara wa dhambi ni mauti ,na hakuna ondoleo la Dhambi bila Damu kumwagika,but Yesu anatutetea maana alimwaga Damu yake ,ila kwa sharti la kumuamini Yesu kuwa ni Bwana na mwokozi ,

Shetani anatajwa katika Biblia kama mshataki wa waaminio. Hapa kuna aya zinazothibitisha hilo:


  1. Ufunuo 12:10
    "Kisha nikasikia sauti kuu mbinguni ikisema, Sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana mshitaki wa ndugu zetu, aliyewashtaki mbele za Mungu wetu mchana na usiku, ametupwa chini."
  2. Ayubu 1:6-11
    (Hapa Shetani anamshitaki Ayubu mbele za Mungu, akidai kuwa anamcha Mungu kwa sababu tu ya baraka alizopewa.)
    "Siku moja hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao... BWANA akamwambia Shetani, Je! Umeona mtumishi wangu Ayubu? Kwani hapana aliye kama yeye duniani... Shetani akajibu, Je! Ayubu anamcha Mungu bure?"
  3. Zekaria 3:1-2
    "Kisha akanionyesha Yehoshua, kuhani mkuu, amesimama mbele ya malaika wa BWANA, na Shetani amesimama mkono wake wa kuume ili kumshtaki. BWANA akamwambia Shetani, BWANA na akuukemee, Ee Shetani!"

Aya hizi zinathibitisha kuwa Shetani anafanya kazi ya kumshtaki mtu mbele za Mungu, akijaribu kuwashushia waaminio hukumu.
 
@iblis bin shetani njoo utoe ufafanuzi Ile tour Yako Kwa ayubu😊
 
Shetani sio kwamba anapiga storu na Mungu, Shetani siku zote anatushitaki kwa Mungu, ndio maana ilibidi Yesu aje afe athibitishe kuwa kwenye Hali ya ubinadamu ukimtegemea Mungu unamshinda Shetani,

Shetani muda wote anatushawishi kutenda mabaya ili kwa Sheria za asili Mungu anatakiwa atuadhibu maana mshahara wa dhambi ni mauti ,na hakuna ondoleo la Dhambi bila Damu kumwagika,but Yesu anatutetea maana alimwaga Damu yake ,ila kwa sharti la kumuamini Yesu kuwa ni Bwana na mwokozi ,

Shetani anatajwa katika Biblia kama mshataki wa waaminio. Hapa kuna aya zinazothibitisha hilo:


  1. Ufunuo 12:10
    "Kisha nikasikia sauti kuu mbinguni ikisema, Sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana mshitaki wa ndugu zetu, aliyewashtaki mbele za Mungu wetu mchana na usiku, ametupwa chini."
  2. Ayubu 1:6-11
    (Hapa Shetani anamshitaki Ayubu mbele za Mungu, akidai kuwa anamcha Mungu kwa sababu tu ya baraka alizopewa.)
    "Siku moja hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao... BWANA akamwambia Shetani, Je! Umeona mtumishi wangu Ayubu? Kwani hapana aliye kama yeye duniani... Shetani akajibu, Je! Ayubu anamcha Mungu bure?"
  3. Zekaria 3:1-2
    "Kisha akanionyesha Yehoshua, kuhani mkuu, amesimama mbele ya malaika wa BWANA, na Shetani amesimama mkono wake wa kuume ili kumshtaki. BWANA akamwambia Shetani, BWANA na akuukemee, Ee Shetani!"

Aya hizi zinathibitisha kuwa Shetani anafanya kazi ya kumshtaki mtu mbele za Mungu, akijaribu kuwashushia waaminio hukumu.
Habari hiyo inapatikaba katika kitabu cha Ayubu, je, Ayubu ndiye aliyeiandika?
 
Back
Top Bottom