Mungu ndiye aliyempa Urais Mama Samia. Hawezi kushushwa na Mwanadamu mwenye chuki binafsi

Mkuu naona tayari ushavuta afutatu yako ila mwambieni mama yenu yeye na serikali yake ya maccm wafanyekazi aache kumtumiatumia hovyo jina la Mungu kama excuse pia kuwatumia nyinyi waimba mapambio kumpambapamba huku mitandaoni haitamsaidia kitu
 
Mkuu naona tayari ushavuta afutatu yako ila mwambieni mama yenu yeye na serikali yake ya maccm wafanyekazi aache kumtumiatumia hovyo jina la Mungu kama excuse pia kuwatumia nyinyi waimba mapambio kumpambapamba huku mitandaoni haitamsaidia kitu
Nahisi Lucas mwashambwa ni Dkt Mwigulu Nchemba
 
Mwenyezi Mungu Ndiye aliyemuinua Rais Samia kufika hapo Alipo fika na ndio anayeendelea kumpa maarifa ya kiuongozi
Sawa ila

Huyohuyo Mungu atamshusha Siku si nyingi
Maana amekiuka maagizo ya Mungu

Kumbuka Yona alivyoghulikiwa.
So tulia tuu mdaa si mrefu
 
Sawa ila

Huyohuyo Mungu atamshusha Siku si nyingi
Maana amekiuka maagizo ya Mungu

Kumbuka Yona alivyoghulikiwa.
So tulia tuu mdaa si mrefu
Rais Mama Samia kipenzi Cha watanzania anawatumikia watanzania kwa upendo mkubwa Sana pasipo ubaguzi Wala chuki na mtu
 
Wewe una utahira kutwa kucha uko jf kuabudu na kumtukuza binadamu mwenzio hata kama unalipwa
Nina akili Timamu mkuu ndio maana unaona nikitumia busara na hekima kuwajibu watu aina yako wanaotukana badala ya kujenga hoja
 
Mkuu unanikbusha Malaria Sugu alivyokuwa anamtetea Dkt Kikwete hahahahaha pole sana. Nime dislike comments zako kwa sababu wewe ni mtu mbaya sana mnafiki mkubwa ambaye hauitakii CCM mema na Rais Wetu Samia.
Nina mapenzi mema na chama changu,uzalendo na nchi yangu na kumuunga mkono mh Rais wangu kwa kazi kubwa na yakutukuka anayoifanya katika kuijenga nchi hii
 
Rais Mama Samia kipenzi Cha watanzania anawatumikia watanzania kwa upendo mkubwa Sana pasipo ubaguzi Wala chuki na mtu
Huyu Mungu ni mwaminifu

Nakuambia

Mbona zanzibar maji yapo

Mafuta bei chee afu mikopo tugawane

Sio

Mmasubiri tuu
Naomba ya wazalendo yatajibu.
 
Umasikini ni uhaba wa mawazo
 
Acheni kumsingizia Mungu kwenye mambo yenu. Urais ni kazi kama kazi zingine. Hakuna jipya kwenye hicho cheo.

Tunachokitaka kama kapata nafasi aongoze nchi ipate maendeleo kwasababu hatakaa hapo milele. Haya mambo yakumpamba kila saa inaonyesha jinsi asivyotosha kwenye hiyo nafasi.

Uongozi ni kazi sio mapambio kwenye hakuna.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kazi hiyo ndio anayoifanya mh Rais kwa nguvu zake zote katika kuwatumikia watanzania, Anatimiza kusudi la Mwenyezi Mungu aliyemuumba na kumuinua kufika hapo alipofika kiuongozi ili awatumikie na kuwasaidia watu kuinuka kimaisha
 
Watakuja kujipinga wenyewe

Tena wale wale waliowapinga waliomtangulia

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais Samia Suluhu Hasan
Hakika Mwenyezi Mungu ambariki Sana mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani
 
Mungu ameukataa huu utawala wa kidhalimu. Amemkataa huyu bibi ambaye ni shetani kwenye umbo la binadamu. Tanzania mpya na salama ni hakika, hakuna atakayezuia.

Hawa mafisadi na walanguzi mnaowaona punde hamtowaona tena, asema Bwana. Mwivi na aibe sana na mzalendo ashikilie hapohapo. Soon kila kisicho mpango wa Allah kitang'olewa.
 
Huna adabu na umekosa maadili na kujawa na Roho ya kishetani, Ungekuwa Timamu kichwani ungejuwa maneno unayopaswa kuyatumia katika kuwasilisha hoja yako.

Naona wewe Ni mgonjwa unayetakiwa kupatiwa matibabu ya haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…