Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole mkuu! Mungu akupe uponyaji wa haraka urudi kwenye majukumu yako!
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Pole mzee

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu cathetar haikuumi sana?, maana kwa wanaume inakuwaga mtihani naona.
Catheter ina maumivu Inauma kias hapa nimeforce nimetolewa catheter duu usipime hapa mboo inauma sababu ya mpira wa catheter wakati unatolewa........

Nataka kwenda kwenye next x ray
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana nakushauri pia waombe wakufanyie checkup zingine mwilini

Tuna miezi kadhaa tumempoteza rafiki yetu alipata ajali kama yako akavunjika mfupa wa paja kawekewa urine catheter sijui ilikuaje wakasahau kumfanyia checkup zingine kumbe damu zinavia ndani Kwa ndani na alikua fresh kabisa tunapiga story tunabishana mipira baada ya siku tatu akafa mzee

Nakushauri tu mkuu
 
Pole sana nakushauri pia waombe wakufanyie checkup zingine mwilini

Tuna miezi kadhaa tumempoteza rafiki yetu alipata ajali kama yako akavunjika mfupa wa paja kawekewa urine catheter sijui ilikuaje wakasahau kumfanyia checkup zingine kumbe damu zinavia ndani Kwa ndani na alikua fresh kabisa tunapiga story tunabishana mipira baada ya siku tatu akafa mzee

Nakushauri tu mkuu
Nazidi kuogopa mkuu yaan huu mwaka nimepatikana..

Nafanyia kazi maelezo yako
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
We acha ujinga. Mungu hajakuokoa na kifo, utakufa siku yako ikifika. Amekuokoa kwani hutokufa tena?
Sema tu umenusurika kufa kwa wakati huu.
 
Back
Top Bottom