Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Pole mkuu hujafa hujaumbika, Mungu akutie wepesi upone haraka uendelee na majukumu yako ya kila siku.

Napenda kutumia wasaa huu kukusisitizia usije ukajaribu kwenda Muhimbili kwa ajili ya matibabu.

Don't Ever.!!

Watu watakuja kukuponda ila ukweli ndo huo jamaa wanafanya maamuzi ya kibabe kwa majeruhi wa bodaboda
 
Nimewekewa skin tranction Ili nisichezeshe unyooke Kwa ajili asbh nipelekwe theater

Urine catheter hutumika pamojaa na urine bags Ili mkojo ukibana unajisaidia Moja Kwa Moja bila movements za kwenda chooni..

Unapakwa KY Gelly unatumbukiziwa mpira kwenye tundu la uume..
Pole sana .
Naelewa maumivu yake , pona haraka chief , tunakuhitaji kwenye kuzipambania afya za watanzania.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Dreva wangu alikua yupo right dereva wa gari ndio katugonga sisi..
Hili pia huwa linatokea. Una kutana na dereva kichaa anahamishia balaa kwako. All in all, bodaboda siyo usafiri salama. Kimsingi sehemu kama Dar, uendeshaji ni mbaya sana kiasi ambacho hata ukiwa kwenye gari unakuwa na wasiwasi. Afadhali ya gari ni kuwa unakua uko ndani na impact ya ajali haikupati vibaya kama uko na bodaboda. Tangu siku nilipojiuliza, mbona hakukuwa na bodaboda na maisha yalienda, uchukuaji wa boda kwangu umekuwa nadra mno, tena kwenye barabara ndogo za mitaani tu.
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Get well soon Brother
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Utapona mkuu jikaze, na pole sana.

Ukweli ni kwamba...unapopanda bodaboda hasa Dar...

Kuna nusu ya malaika hushika matarumbeta kusubiria signal waanze kuimba...parapanda parapanda italia
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Pole sana Mkuu.
Catheter habari nyingine Mzee
Halafu ukikutana na mtu akaweka vibaya daaah.
Mungu akujaalie uponyaji
 
Back
Top Bottom