Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Pole sana kwatukio ndugu yangu nimeumizwa sana kwamtu huyo kuamua kufanya ubaya,naleo kakutia ulemavu.pole sana lakini furahia pia kwakua roho yako bado inamapenzi yakuishi ndani yamwili wako..
Kwamaana hiyo tafsiri nikwamba kuna jambo halija kamilishwa na roho yako kwenye dunia hii yamwili wanyama,hivo imezuia tukio hilo lawewe kupoteza maisha.
Kaa chini tafakari sana kusudio kuu lamaisha yako hapa duniani.
Kila mtu niwakipekee,na amekuja kutimiza jukumu lake lakipekee.
 
Haujakatika umevunjika kwa kiswahili rahisi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kuna kuteguka na kuvunjika unaelewa mkuu? Kuteguka unafungwa piopio kuweka mfupa Sawa baada ya mda unaenda kuondoa piopio, kuvunjika kuna mawili moja beyond repair hapo wananyofoa yaan wanakukata alafu unasubiri utaratibu mwingine hii wanawafanyia sana bodaboda wakifika tu ikigundulika ni bodaboda unatafutwa msumeno wanakata alafu kuna kuvunjika Ila unaweza kufanyiwa repair hii ndio wanaunga kwa kufunga machuma ili kuunga mfupa, umenielewa mkuu?
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana ndugu yangu, nina miaka 2 sasa natumia magongo baada ya ajali kama hiyo, mifupa ilitoka kwenye femar pajani. Imenivuruga kiuchumi na kisaikolojia, get well soon 😊
 
Wakuu,
Nashukuru Kwa Dua ZENU naendelea vyema kiasi .

Niweke sawa nilisema MIGUU X-ray imeonyesha nimevunjika mguu wa kushoto mara mbili..

Pia mguu wa kulia ulipata madhara ya kuteguka ila sikuvunjika mguu wa kulia..


Nafurah Kwa wote mlio show love kwangu na kunitakia nipone mapemaa

Jf kwangu ni kama nyumbani nimekuwepo kama mwanafamilia muda Sasa nikaona ni share na nyinyi haya maumivu yangu....
 
IMG_20240214_145755_616~2.jpg
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana. Get well soon dear. Ushauri wangu: tujiepushe sana kupanda bodaboda. Au ikiwa lazima sana upande, chukuwa ya dereva mtu mzima, na hakikisha speed yake siyo ya kubwa, na anafuata sheria zote za barabarani. Bila kusahau kuvaa helmet.
 
Pole sana mkuu.
Asante mkuu namaumivu sana pia pressure yangu imepanda sana na mpaka sasa sijala chochote kitu...

Akili umepata mshituko kukubali reality

Sijui kama ntaweza kula moyo wangu umejaa hofu kuu nipo macho usiku kucha mpaka muda huu...

Kuna muda natokwa na machozi

Thanks Lord ila nimejionea Kuna wards Zina wagonjwa wanaumwa zaid yangu Mimi 🙏🙏🙏
 
Pole sana. Get well soon dear. Ushauri wangu: tujiepushe sana kupanda bodaboda. Au ikiwa lazima sana upande, chukuwa ya dereva mtu mzima, na hakikisha speed yake siyo ya kubwa, na anafuata sheria zote za barabarani. Bila kusahau kuvaa helmet.
Dreva wangu alikua yupo right dereva wa gari ndio katugonga sisi..
 
Asante mkuu namaumivu sana pia pressure yangu imepanda sana na mpaka sasa sijala chochote kitu...

Akili umepata mshituko kukubali reality

Sijui kama ntaweza kula moyo wangu umejaa hofu kuu nipo macho usiku kucha mpaka muda huu...

Kuna muda natokwa na machozi

Thanks Lord ila nimejionea Kuna wards Zina wagonjwa wanaumwa zaid yangu Mimi 🙏🙏🙏
Pressure imepanda kwasababu ya mawazo na stress ulizonazo.
Sasa hivi umeanza road to recovery. Ni safari ngumu na ndefu. Ukijua hili unatakiwa ukubali hio hali na uanze safari hio.
Ukikubali hio hali utapona haraka bila kujipa matatizo mengine. Vitu vilivyo nje ya control yako visikuumize kichwa.
Get well soon brother.
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Get well soon
 
Back
Top Bottom