NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Pole sana aiseh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana kaka. Amini katika kazi za shetani Mungu huwepo hapo kumprove wrong shetani. Nako uombea upone haraka urudi kwenye majukumu yako.Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF
Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.
Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.
Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu
Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.
Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia
Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Polee Sana chiefAmani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF
Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.
Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.
Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu
Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.
Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia
Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Condom catheter si nayo ni catheter?Ok, point yang sikuona haja ya wewe kuwekewa catheter wangekupa hata condom catheter.
Btw walikuwepo watakuwa wajua kwanini.
🤦🤦🤦wanaume bhanaaaaUsinikumbushe habari ya catheter, Ile kitu inakera jamani.
Nilifanyiwa TURP mwaka Jana nikawekewa hicho kitu. Kinakera Ila hakiumi Ni Kama ukifanyiwa gastroscopy halafu ukute nesi anayekukandamiza ana maziwa makubwa yanayokukandamiza kwenye masikio.
Pole sana ndugu yangu kwa huu mtihani nahakika utaushinda na utarudi ukiwa bora zaidi.Nimewekewa skin tranction Ili nisichezeshe unyooke Kwa ajili asbh nipelekwe theater
Urine catheter hutumika pamojaa na urine bags Ili mkojo ukibana unajisaidia Moja Kwa Moja bila movements za kwenda chooni..
Unapakwa KY Gelly unatumbukiziwa mpira kwenye tundu la uume..
Mitahani ni yetu wanadamu na tutapambana nayo mpaka mwisho wa safari yetu.
Watananzania tupo hivyo hii TUNU tumerithi kwa wazazi wetu 7bu tulikuwa tunawaona wao wakifanyaKuna mabrother huwa wana love sana kwa kweli mwaka juzi nilipata accident ya kufanana hivyo aliniokoa brother mmoja simfahamu hanifahamu.
Mungu awaweke sana
Yatupaswa kuishi hivi binadamu woteKuna ma brother wana love sanaa jamaa
Nikiwa katikati ya barabara Kuna brother alikuja kunibeba kama katoto na hii weight yangu ya 83
get well soon man!!!"huu ndo wakati wako wa kusali kama walokole,,,utasali kwa hisia kali sana,kuliko wakati wowote ule"Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF
Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.
Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.
Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu
Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.
Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia
Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole na ajali mzee, Mungu ameshakunusurisha na utapona tu uamini. Ila katheta inauma ikitolewa sio kama ikitumbukizwa na bahati nzuri wanaitoaga upesiNimewekewa skin tranction Ili nisichezeshe unyooke Kwa ajili asbh nipelekwe theater
Urine catheter hutumika pamojaa na urine bags Ili mkojo ukibana unajisaidia Moja Kwa Moja bila movements za kwenda chooni..
Unapakwa KY Gelly unatumbukiziwa mpira kwenye tundu la uume..
aya ya mwisho amesema "miguu" ndo nikashtukaKaandika mmoja wa kushoto