RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Unaweza kulinganisha MOI na Temeke? Kwenye kutibu mifupa?Yah na Temeke kwa private services ni pazuri mnoo.hapana tabu. Ni sisi walalahoi ndio huwa tunapata tabu
Nijuavyo MOI ni special kwa mifupa,hapo temeke kutakuwa na wodi tu ya kawaida.