Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #81
Powa best angu gily Asante ndio ivyo naianza safari yangu ya kuponyesha miguu yangu..Saa tisa kasoro naingia humu nakuta hii habari. Nimesikitika kweli, get well soon. .
Utamuwa sawa usiwaze
Hapa siwez kugeuka Wala kujimudu Kwa chochote
Sikuwai kujua kama siku Moja namini ntakua victim wa kuvunjika miguu....
Ni safar ndefuu naelezwa hapa mpaka naogopa