Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Pole sana Dr,
Dua zetu zipo kwako upone haraka
Dua zetu zipo kwako upone haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatakiwi kuusumbua mguuSababu ya kukuwekea urinary catheter ni ipi?
Pole sana upone haraka.
Pole sana kaka, pole mnoNayeye kavunjika mguu wa kushoto sema yeye yupo ward za kawaida Mimi nipo huku private ward na maumivu sanaa
Wife ni mjamzito miezi ni 5 Huwa anashituka nimemwambia wasimwambie japo sijawai lala nje ya nyumbani
Ndio nimetoka kuchoma dawa ya maumivu..
utakua sawa kaka, Mungu akupe ujasiri uweze kulivuka hili, litapita pia .Diclofenac injection imedunda na maumivu balaa
Hapa ndio nimechoma TRAMADOL INJECTION
At least maumivu yameanza kupungua maana nilianza kuugulia Kwa saut
Asante woteeeee kwa upendo mwing na neno la matumaini ambayo mme show kwangu...
Pole sanaAmani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF
Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.
Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.
Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu
Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.
Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia
Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nashukuru mkuuSasa unachomshukuru mungu ni kipi?
Kukufanya upande hiyo bodaboda, au kukufanya uvunjike huo mguu? Ama kukufanya uheme na mguu huna?
Kwani mungu alikuwa hawez kumfanya akatae kuipanda hiyo bodaboda? Kwani mungu kumuepusha na mochwari inamaanisha kwamba aliidaka bodaboda ili isimuue? Kwahyo wewe unaona sawa mwenzio kuvunjika mguu mmoja kuliko angevunjika yote? ,1:Mungu alikuwa na uwezo wa kumfanya afike monchwari badala ya wodini..
2:Kumfanya ashindwe kuandika hii habari jamiiforum wakati akiwa ana pumua
3:Kumfanya avunjike miguu yote badala ya mmoja...
imeandikwa tushukuru kwa kila jambo mkuu kile ambacho unakiona kama mkosi kwako kuna mwingine anamuomba Mungu ampe walau hicho kuliko linalomkumba
Unashukuru nini sasa? Kupanda hiyo bodaboda? Au kuvunjika huo mguu?Nashukuru mkuu
Asante mkuu,utakua sawa kaka, Mungu akupe ujasiri uweze kulivuka hili, litapita pia .
Pole sana! Mganga hajigangui, utapona tu, Mwenyezi Mungu akuponye upesi!Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF
Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.
Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.
Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu
Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.
Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia
Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sawa mkuu bare in mind HUJAFA HUJAUMBIKA,Kwani mungu alikuwa hawez kumfanya akatae kuipanda hiyo bodaboda? Kwani mungu kumuepusha na mochwari inamaanisha kwamba aliidaka bodaboda ili isimuue? Kwahyo wewe unaona sawa mwenzio kuvunjika mguu mmoja kuliko angevunjika yote? ,
Na unavyosema kushukuru, yani kwamba ushukuru mungu kwa kukuvunja mguu mmoja badala ya kuvunja yote?
Akili huna, Wewe kama humtambui Mungu ungekaa kimya, busara kitu cha bureKwani mungu alikuwa hawez kumfanya akatae kuipanda hiyo bodaboda? Kwani mungu kumuepusha na mochwari inamaanisha kwamba aliidaka bodaboda ili isimuue? Kwahyo wewe unaona sawa mwenzio kuvunjika mguu mmoja kuliko angevunjika yote? ,
Na unavyosema kushukuru, yani kwamba ushukuru mungu kwa kukuvunja mguu mmoja badala ya kuvunja yote?
Achana nae mkuu usimjibu, muacheSawa mkuu bare in mind HUJAFA HUJAUMBIKA,
NILIKUA MZIMA BUHERI MPAKA 12 ;30 NA USHEE
Saivi ni wakugeuzwa sijiwezi Kwa LOLOTE hata kutambaa siwezi....
All the best mkuu
Sawa nimekuelewa mkuuAchana nae mkuu usimjibu, muache
My prayers are with you kaka🙏🙏Asante mkuu,
Leo ntaingia theater kufanyiwa operation na kuwekewa plates...
Hapa na maumivu makali sana sikujua kama Leo ningelala hospitalini bila kujua nitatoka lini...
Leo itakua ni siku ngumu kwangu ndio siku ya operation hapa nilipo miguu yote sijiwezi wakugeuzwa na kuvalishwa nguo....
Yasikie tu omba yasikupate
Mkuu kama unaandika haya ili upate attention watu wakujibu pole sana Mungu akusamehe kama unaandika haya sababu ya ukangaifu wa moyo basi Mungu ajalie upate mtu atakayekuonyesha ukuu wake mimi sio mzuri sana katika kuelezea ila naimani mpaka umri uliofikia umeshuhudia shuhuda nyingi sana za watu wakiongelea miuji,a na ukuu wakeKwani mungu alikuwa hawez kumfanya akatae kuipanda hiyo bodaboda? Kwani mungu kumuepusha na mochwari inamaanisha kwamba aliidaka bodaboda ili isimuue? Kwahyo wewe unaona sawa mwenzio kuvunjika mguu mmoja kuliko angevunjika yote? ,
Na unavyosema kushukuru, yani kwamba ushukuru mungu kwa kukuvunja mguu mmoja badala ya kuvunja yote?