Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Nayeye kavunjika mguu wa kushoto sema yeye yupo ward za kawaida Mimi nipo huku private ward na maumivu sanaa

Wife ni mjamzito miezi ni 5 Huwa anashituka nimemwambia wasimwambie japo sijawai lala nje ya nyumbani

Ndio nimetoka kuchoma dawa ya maumivu..
Masikini Mungu ampe nguvu. Sisi wanawake huwa tunapitia wakati mgumu sana kusikia wenzetu wamepata ajali na majeraha kama hayo.

Mimi wangu hakuvunjika ila nilikaribia kupata kichaa na alinificha kama hivi wewe.
Na nilimlaumu sana japo wewe nakuunga mkono kwa kuwa ni mjamzito. Tafuta sababu nzuri ya kumpa kwa kutokurudi kwako nyumbani, na ikiwa vyema ongea nae kabisa.
 
Masikini Mungu ampe nguvu. Sisi wanawake huwa tunapitia wakati mgumu sana kusikia wenzetu wamepata ajali na majeraha kama hayo.

Mimi wangu hakuvunjika ila nilikaribia kupata kichaa na alinificha kama hivi wewe.
Na nilimlaumu sana japo wewe nakuunga mkono kwa kuwa ni mjamzito. Tafuta sababu nzuri ya kumpa kwa kutokurudi kwako nyumbani, na ikiwa vyema ongea nae kabisa.

Nimeongea nae analia tu anasema namficha nini kaambiwa nimepata ajar

Mshituko ni mbaya sana Kwa wajawazito
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute Kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
POLE SANA

1.
Unapaswa kumshukuru Mungu na ufahamu kuwa Mungu ana sababu zake za kuendelea kukuacha hai.
2. Unafahamu mwenyewe kuwa katika ajali hiyo nani aliyekuwa na makosa. Pia, kwa kuwa usafiri wako sometimes ni bodaboda hakikisha unamchagua bodaboda aliyesahihi. Usafiri wa bodaboda ni Risky, chagua unayemwona anajielewa.

Get Well Soon Brother!!
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute Kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akuafuaan
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute Kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Get well soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute Kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Pole sana mkuu, Mwenyezi Mungu akuponye[emoji1431].
 
Sasa unachomshukuru mungu ni kipi?
Kukufanya upande hiyo bodaboda, au kukufanya uvunjike huo mguu? Ama kukufanya uheme na mguu huna?
1:Mungu alikuwa na uwezo wa kumfanya afike monchwari badala ya wodini..
2:Kumfanya ashindwe kuandika hii habari jamiiforum wakati akiwa ana pumua
3:Kumfanya avunjike miguu yote badala ya mmoja...

imeandikwa tushukuru kwa kila jambo mkuu kile ambacho unakiona kama mkosi kwako kuna mwingine anamuomba Mungu ampe walau hicho kuliko linalomkumba
 
Back
Top Bottom