Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu hakupi mtihani isipokuwa ule unaoweza kuumudu na kwenye kila janga kubwa basi kuna janga kubwa zaidi umeepushwa nalo.

Mola akupe ahueni na kupona haraka urudi katika hali yako ya uzima kabisa.

Kumbuka kutoa sadaka kumshukuru Mungu kwa kuokoa na kubwa zaidi na kujikinga na shari.
 
Wakuu Ukisikia zile kauli labda zinaonekana za kukera "TAFUTA PESA" japo kwa sababu zinatumima katika mazingira ya Utani, kejeli, dhihaka au dharau ndio maana zinaonekana kama kelele,

Katika mazingira haya hapa Sasa ndio utaona application yake, imagine ghafla Bin Vuu linakukuta hili ,huna chochote cha kukuungizia pesa wewe ukiwa nje wala Saving yoyote, Ndugu ukute ni wa mchongo, Si utauguza maumivu mara mbili??,

Huyu Asingekua labda na kazi aliyonayo au chochote, Unafika ili usiwasumbue, ni mguu unaenda, haya kwa mpambanaji uliyekua unajitafuta, Si safari imekwisha? Ndio wale Wanaokuja wanaomba misaada ya matibabu kwenye karatasi kutoka Serikalini wanakuambia nilikua mzima ghafla nikapata ajari.
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole
Mshukuru Mungu tu kwakweli
 
Back
Top Bottom