Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

hongera ila kumbuka kuna harusi na ndoa
nawatakia ndoa njema na mjaaliwe kizazi chema

kumbuka maneno haya

pole
ahsante
samahani
nakupenda

mkikoseana ombaneni msamaha na sameheaneni kabla hamjapanda kitandani
mnapogombana hakikisheni watoto na majirani na marafiki hawajui kuwa kuna ugomvi na mjisuluhishe wenyewe
 
Habari ndugu zangu,

Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.

Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.

Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.

Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.

NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.

Mbarikiwe sana wana JF.
Mmmmhh! Nikajua unawambia wakome kuliwa hovyo eti wavumilie subiri roho za uzizi za hao uliozini nao zianzishe vita ya kiroho utaona ndoa chungu mno..!
 
Hongera dear!hatimae sio single mom tena u have a family now..congrats kipenz may GOD bless u and your family be a good mom take care,respect u hubby and children well wish u all da best in your marriage mammie.
 
Ndoa ni nzuri sana lakini ikiwa mwanzoni, kati kati kuna kuwa na ugumu fulani hivi lakini ukisha pita furaha ya ndoa inarudi tena, hongera mleta mada hope mnaendelea kuvuka vikwazo vya hapa na pale, nasi tunaendelea kujifunza kwa walio tutangulia kwenye ndoa.
 
Habari ndugu zangu,

Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.

Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.

Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.

Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.

NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.

Mbarikiwe sana wana JF.
Kumbeee
 
Back
Top Bottom