Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

Mungu amehalalisha na kubariki biashara ya utumwa kwenye vitabu vyake.

Ukisoma Bibilia kwa mfano, kuna amri ya kushika sabato inazuia mtu kufanya kazi, lakini amri hiyo imeenda mbali na kufafanua kuwa hata punda wako, wala mtumwa wako hatakiwi kufanya kazi.

Kwa hiyo Mungu anautambua utumwa na anaona ni sawa.
Kama ndo hivyo basi huyo amezidiwa Kwa kiwango kikubwa na binadamu ambao wanatambua utu wa mtu
 
Ukombozi wa Mwafri

kanUkombozi wa Mwafrika utakuwa kamili tu Waafrika watakapoondoka na ujinga waliokaririshwa kupitia biblia na msahafu na ambapo FIKRA zao zitajielekeza kuelewa wazi kuwa BIBLIA na MSAHAFU na hasa biblia ni hadithi zilizotungwa ili kuwapumbzaz WAFIA DINI na kuwatawala kirahisi baada ya kuwaondoa kwenye reli.
Haya mafundisho ya kijinga sana ila wa afrika bado tupo usingizini tunakimbizana na tamaduni za watu aaah kisa kuona ufalme wa mbinguni
 
Tatizo la uovu - The problem of Evil.

Ninashaka kwamba hakuna mtu anayejua lolote kuhusiana na "Mungu" pengine huenda tukawa tunajadili kitu ambacho ni cha kufikirika.

Hivyo kabla hujapinga au kuhukumu kuhusiana na istilahi "Mungu" ni vyema ukaanza na ufafanuzi wa kina kwanza kuhusu dhana "Mungu" ili tuweze kujua Ni nini? Ni nani?
Nakubaliana na wewe kuhusu dhana ya Mungu, kama umebahatika kusoma historia ya binadamu tangu alipokuwa primitive binadamu alifanya innovation kadhaa miongoni mwa innovation kubwa ni kugundua dhana ya kufikirika ya Mungu
 
Nakubaliana na wewe kuhusu dhana ya Mungu, kama umebahatika kusoma historia ya binadamu tangu alipokuwa primitive binadamu alifanya innovation kadhaa miongoni mwa innovation kubwa ni kugundua dhana ya kufikirika ya Mungu
Dhana ya Kufikirika ya Mungu 👍🏾
 
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Mbona alitumika kupitia kanisa na uislamu? Mnashindwa kuelewa kuwa Allah na jehova si wa waafrika?
 
Tajiri hana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Unamfananishaje na Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Kanuni muhimu ya kufananisha ni kufananisha vinavyofananishika.

Mbona wewe unafananisha visivyofananishika?
Tajiri ana uwezo wa kulisha Mtaa mzima au kufanya Mtaa anapoishi pasiwepo masikini hata mmoja ila bado katika Mtaa anapoishi Kuna masikini.

Mungu ni muweza wa kila kitu kuleta dhiki na kuruhu uovu na hali tofauti tofauti kunathibitisha uweza wake juu ya kila kitu na mamlaka yake ya kufanya anavyotaka. Na pia ni mjuzi wa yote mwenye hekima.

Mimi Muislamu Sifa ya Mungu mwenye upendo wote sijawahi kuiona mahali katika kusoma kwangu , kwa hiyo naomba unithibitishie aliposema yeye ni mwenye upendo wote , hapo zingatie neno 'wote' liwepo.
 
Tajiri ana uwezo wa kulisha Mtaa mzima au kufanya Mtaa anapoishi pasiwepo masikini hata mmoja ila bado katika Mtaa anapoishi Kuna masikini.

Mungu ni muweza wa kila kitu kuleta dhiki na kuruhu uovu na hali tofauti tofauti kunathibitisha uweza wake juu ya kila kitu na mamlaka yake ya kufanya anavyotaka. Na pia ni mjuzi wa yote mwenye hekima.

Mimi Muislamu Sifa ya Mungu mwenye upendo wote sijawahi kuiona mahali katika kusoma kwangu , kwa hiyo naomba unithibitishie aliposema yeye ni mwenye upendo wote , hapo zingatie neno 'wote' liwepo.
Tajiri hana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Mpaka hapo ushafeli.

Wewe hata Uislamu wako mwenyewe huujui.

Soma hapa.

"In Islam, God (Allah) is described as loving and merciful, with names like "Al-Wadud" (the Affectionate) and "Al-Rahman" (the Most Compassionate) and "Al-Rahim" (the Most Merciful) reflecting this attribute. The Quran emphasizes God's love for all creation, providing for everyone, even those who do not believe in Him.

Here's a more detailed explanation:
God's Names and Attributes:
Al-Wadud: This name, meaning "the Affectionate" or "the Most Loving," highlights God's inherent love and affection for his creation.
Al-Rahman and Al-Rahim: These names, meaning "the Most Compassionate" and "the Most Merciful," respectively, underscore God's mercy and care for all beings.
God's Mercy: The Quran emphasizes that God's mercy encompasses all creation, providing for everyone, even those who do not believe in Him."
 
Maswali kama haya huwezi kuuliza kama ni msomaji na muelewa wa Biblia nje ya tafsiri za watu. Ni maelezo mengi sana yanahitajika hapa mpaka uelewe, but read the holy bible.
 
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Utumwa umehalalishwa we huoni kati ya mali anazotajwa mtu kuwa nazo kwenye biblia mojawapo ni idadi ya watumwa.
Mfano solomoni
 
Waafrika wenyewe ndio waliopenda kuchukuliwa utumwani na bila babu yako kukimbilia porini wakati wa fursa ya kupelekewa marekani Leo wewe mjukuu wake usingekuwa unaendesha bodaboda bongo
 
Maswali kama haya huwezi kuuliza kama ni msomaji na muelewa wa Biblia nje ya tafsiri za watu. Ni maelezo mengi sana yanahitajika hapa mpaka uelewe, but read the holy bible.
First things first. The bible is not holy.

It is full of contradictions.
 
Umeenda mbaali...
Mi najiuliza tu. Mungu yuko wapi pale Gaza
 
anawakomboa watu ni illusion kaka...tunataka tuone mauaji yana komaa pale DRC na wakimbizi wanarudi makwao, tunataka tuone vita vinakomaa pale Ukraine na maisha yanarudi kwenye hali ya kawaida na kwanini ajikite kwenye pretty issues badala ya majanga makubwa makubwa
Yaani, unataka mauaji yakome wakati kunawatu wajinga bado wapo kama wewe ambao wanaamini kukombolewa kwa watu ni illusion ilhali wewe mwenyewe una -free willing, unaamua leo ule nini, umsaidie nani umuache nani nk. Hayo yote yanahashiria uwepo wa Mungu.

Sasa leo unataka kumpangia Mkuu cha kufanya wakati yeye ndio aliekufinyanga, yeye aneyejua mpaka hiyo hatima ya DRC. Hayo unayoyawaza yapo level za juu, mambo mengine wewe muachie tu Creator.

Wewe unajuaje waliouwawa wote DRC kwenye vita na Waliokufa wakati wa utumwa wanakula goodtime sasa hivi.
 
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Inafikirisha sana.

Tunaweza kuwa tumepigwa kuhusu uwepo wa Mungu.
Au labda yupo, ila hana uwezo mkubwa kama tunavyofikiri.
Au labda yupo ana uwezo, ila muda huo wa utumwa aliamua kutokuwa na huruma na watumwa...
Au....
Au....
 
Back
Top Bottom