Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

Yeye ndiye aliyekuambia mti huu ukila matunda yake utakua na uwezo wa kujua mema na mabaya. Sasa anakuwekea mti sehemu unayoweza kuifikia, kisha anakuambia kabisa kuhusu mti huo halafu wewe unajisifia kuhusu kujua mema na mabaya wakati hayo MEMA na MABAYA yenyewe ameyaumba yeye
Hili huwa linaniwazisha pia. Kulikuwa na ulazima gani wa kuweka mti ule ndani ya bustani?
 
Atheists wa Jf bhana! Mtu mmoja dhaifu kabisa aliyeumbwa kutokana na manii eti anamuuliza Muumba wa kila kitu, aliyeuumba Ulimwengu wote huu, anamuuliza Muumba wa vyote vilivyomo na Mwenye kuvimiliki na Mwenye kuendesha mambo. Muumba wa kila kitu na Mwenye kustahiki kuabudiwa, ALLAAH, Muweza juu ya kila kitu na ANAYEFANYA ANACHOKITAKA.

ALLAAH Ambaye

لَا يُسۡـَٔلُ عَمَّا يَفۡعَلُ وَهُمۡ يُسۡـَٔلُونَ

"He cannot be questioned as to what He does, while they will be questioned"

"Yeye hahojiwi kwa ayatendayo, na wao ndio wanao hojiwa kwa wayatendayo"
(Qur-aan 21:23)


YEYE ni Mkwasi, Asiyehitajia kutoka kwa Viumbe ila Viumbe vinamhitajia YEYE


هُوَ ٱللَّهُ ٱلَّذِى لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ عَٰلِمُ ٱلْغَيْبِ وَٱلشَّهَٰدَةِ هُوَ ٱلرَّحْمَٰنُ ٱلرَّحِيمُ

"He is Allah, than Whom there is La ilaha illa Huwa (none has the right to be worshipped but He) the All-Knower of the unseen and the seen (open). He is the Most Beneficent, the Most Merciful."

هُوَ ٱللَّهُ ٱلَّذِى لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلْمَلِكُ ٱلْقُدُّوسُ ٱلسَّلَٰمُ ٱلْمُؤْمِنُ ٱلْمُهَيْمِنُ ٱلْعَزِيزُ ٱلْجَبَّارُ ٱلْمُتَكَبِّرُ سُبْحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يُشْرِكُونَ

"He is Allah than Whom there is La ilaha illa Huwa (none has the right to be worshipped but He) the King, the Holy, the One Free from all defects, the Giver of security, the Watcher over His creatures, the All-Mighty, the Compeller, the Supreme. Glory be to Allah! (High is He) above all that they associate as partners with Him."

هُوَ ٱللَّهُ ٱلْخَٰلِقُ ٱلْبَارِئُ ٱلْمُصَوِّرُ لَهُ ٱلْأَسْمَآءُ ٱلْحُسْنَىٰ يُسَبِّحُ لَهُۥ مَا فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ

"He is Allah, the Creator, the Inventor of all things, the Bestower of forms. To Him belong the Best Names. All that is in the heavens and the earth glorify Him. And He is the All-Mighty, the All-Wise."

(QUR-AAN 59 : 22-24)

ALLAAH,

وَهُوَ ٱلْغَفُورُ ٱلْوَدُودُ

"And He is the Oft-Forgiving, the Loving (towards his believing servants, Who is loved by them)."

ذُو ٱلْعَرْشِ ٱلْمَجِيدُ

"Owner of Throne, the Glorious One (or: Owner of the Glorious Throne)."


فَعَّالٌ لِّمَا يُرِيدُ

"Doer of whatever He wishes (with none to hinder or stop Him)."

(Qur-aan 85 : 14-16)

MOLA MLEZI WA WALIMWENGU WOTE.

Wewe unamuuliza hivyo kama nani?


Unamjua unayemuuliza?

Submit kwake na ujisalimishe na unyenyekee kwake, kuwa Muislam.

Ametakasika ALLAAH
Kiranga
 
Atheists wa Jf bhana! Mtu mmoja dhaifu kabisa aliyeumbwa kutokana na manii eti anamuuliza Muumba wa kila kitu, aliyeuumba Ulimwengu wote huu, anamuuliza Muumba wa vyote vilivyomo na Mwenye kuvimiliki na Mwenye kuendesha mambo. Muumba wa kila kitu na Mwenye kustahiki kuabudiwa, ALLAAH, Muweza juu ya kila kitu na ANAYEFANYA ANACHOKITAKA.

ALLAAH Ambaye

لَا يُسۡـَٔلُ عَمَّا يَفۡعَلُ وَهُمۡ يُسۡـَٔلُونَ

"He cannot be questioned as to what He does, while they will be questioned"

"Yeye hahojiwi kwa ayatendayo, na wao ndio wanao hojiwa kwa wayatendayo"
(Qur-aan 21:23)


YEYE ni Mkwasi, Asiyehitajia kutoka kwa Viumbe ila Viumbe vinamhitajia YEYE


هُوَ ٱللَّهُ ٱلَّذِى لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ عَٰلِمُ ٱلْغَيْبِ وَٱلشَّهَٰدَةِ هُوَ ٱلرَّحْمَٰنُ ٱلرَّحِيمُ

"He is Allah, than Whom there is La ilaha illa Huwa (none has the right to be worshipped but He) the All-Knower of the unseen and the seen (open). He is the Most Beneficent, the Most Merciful."

هُوَ ٱللَّهُ ٱلَّذِى لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلْمَلِكُ ٱلْقُدُّوسُ ٱلسَّلَٰمُ ٱلْمُؤْمِنُ ٱلْمُهَيْمِنُ ٱلْعَزِيزُ ٱلْجَبَّارُ ٱلْمُتَكَبِّرُ سُبْحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يُشْرِكُونَ

"He is Allah than Whom there is La ilaha illa Huwa (none has the right to be worshipped but He) the King, the Holy, the One Free from all defects, the Giver of security, the Watcher over His creatures, the All-Mighty, the Compeller, the Supreme. Glory be to Allah! (High is He) above all that they associate as partners with Him."

هُوَ ٱللَّهُ ٱلْخَٰلِقُ ٱلْبَارِئُ ٱلْمُصَوِّرُ لَهُ ٱلْأَسْمَآءُ ٱلْحُسْنَىٰ يُسَبِّحُ لَهُۥ مَا فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ

"He is Allah, the Creator, the Inventor of all things, the Bestower of forms. To Him belong the Best Names. All that is in the heavens and the earth glorify Him. And He is the All-Mighty, the All-Wise."

(QUR-AAN 59 : 22-24)

ALLAAH,

وَهُوَ ٱلْغَفُورُ ٱلْوَدُودُ

"And He is the Oft-Forgiving, the Loving (towards his believing servants, Who is loved by them)."

ذُو ٱلْعَرْشِ ٱلْمَجِيدُ

"Owner of Throne, the Glorious One (or: Owner of the Glorious Throne)."


فَعَّالٌ لِّمَا يُرِيدُ

"Doer of whatever He wishes (with none to hinder or stop Him)."

(Qur-aan 85 : 14-16)

MOLA MLEZI WA WALIMWENGU WOTE.

Wewe unamuuliza hivyo kama nani?


Unamjua unayemuuliza?

Submit kwake na ujisalimishe na unyenyekee kwake, kuwa Muislam.

Ametakasika ALLAAH
Thibitisha huyo Mungu yupo.

Mpaka hapa unahubiri dini tu, hujathibitisha Allah yupo.
 
Nime soma kwa makini hoja zako, nimegundua ufahamu wako juu ya Mungu ni Mdogo hivyo kumwelewa ni changamoto kwako Ndugu.

Usilo lijua kumwusu Mungu ni Bora ukae kimya kuliko kuongea upumbavu kumwusu Mungu.

Yakupasa ujue Mungu Anautaratibu Ambao Ameuweka kama unautaka msaada wake nilazima vigezo na Masharti kuzingatiwa.

Nenda kasome kitabu cha Kumbukumbu la Torati 28:14-68

Kama hutaki kufata utaratibu Ambao Mungu Ameuweka basi utaishia kumlaumu Mungu ndugu.

Serikali za Dunia zinautaratibu zimeuweka ili wewe mwananchi kupata msaada ni lazima ufate utaratibu.
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo hata leo.

Angekuwepo, usingeweza hata kuwa na swali kama yupo.
Tunaweza kusema Matajiri hamna kama wangekuwepo watu wasingekufa na njaa.
 
Nime soma kwa makini hoja zako, nimegundua ufahamu wako juu ya Mungu ni Mdogo hivyo kumwelewa ni changamoto kwako Ndugu.

Usilo lijua kumwusu Mungu ni Bora ukae kimya kuliko kuongea upumbavu kumwusu Mungu.

Yakupasa ujue Mungu Anautaratibu Ambao Ameuweka kama unautaka msaada wake nilazima vigezo na Masharti kuzingatiwa.

Nenda kasome kitabu cha Kumbukumbu la Torati 28:14-68

Kama hutaki kufata utaratibu Ambao Mungu Ameuweka basi utaishia kumlaumu Mungu ndugu.

Serikali za Dunia zinautaratibu zimeuweka ili wewe mwananchi kupata msaada ni lazima ufate utaratibu.
Infropreneur
 
Tunaweza kusema Matajiri hamna kama wangekuwepo watu wasingekufa na njaa.
Tajiri hana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Unamfananishaje na Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Kanuni muhimu ya kufananisha ni kufananisha vinavyofananishika.

Mbona wewe unafananisha visivyofananishika?
 
Hili huwa linaniwazisha pia. Kulikuwa na ulazima gani wa kuweka mti ule ndani ya bustani?
Labda Mungu alimuamini sana Adam, hakujua kama angekula tunda. In fact Adam alishawishiwa na Hawa kula tunda. Hawa hakua kusudi la Mungu labda ndo maana yote haya yametokea.
 
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Ipo hivi, Kuna jamii ilikuwa na Hali ngumu sana, Hali ya hewa ya baridiii karibu mwaka mzima, Haina rasilimali za kutosha... Wakawa wanapambana na Hali ngumu huku wakiomba Mungu awasaidie.
Mungu akaona mahangaiko Yao na maumivu Yao akawahurumia.
Akawapa uvuvio (intuition) wakavumbua nyenzo na Mashine za kurahisisha maisha... Wakagundua nguvu kazi hawana... Hili nalo Mungu akawatatulia.
Akaona Wa Africa watumike TU 😅😅.... Kwa sababu walipewa kila Kitu, Hali ya hewa nzuri, rasilimali kama zote, Bado yakabaki majinga. Kuna faida Gani kama siyo yaende utumwani akili zikakae Sawa.
Imeandikwa, mwenye nacho ataongezewa, bali yule asiye nacho, hata kile kidogo atanyang'anywa🤣🤣🤣
 
HAYA NDIYO MASWALI FIKIRISHI YANAYOHITAJI FIKIRA NA UBONGO WA MWAFRIKA KUFANYA KAZI ILI KUPATA UKWELI WA ASILI YA DINI YETU
 
leo asubuhi nawasha redio nasikia mahubiri kuhusiana na Mungu anavyowatoa watu kwenye vifungo vya utumwa hapo ndo hoja yangu ilipoanza
Atakayekutoa kwenye utumwa ni wewe mwenyewe MTUMWA WA KIFIKIRA kwani MUNGU alishakupa kila kitu akili,mali,afya,mwili,nk
 
Tukiwaambia MUNGU mnaemwabudu Ni Mungu WA wayahudi tu muwe mnaelewa na mnaacha shobo zenu.

Imagine wayahudi walinyanyasika utumwani miaka 40 tu, Mungu akawaonea huruma na akamtuma nabii wake MUSSA ili akawaokoe chap.

Ila Waafrika wamenyanyasika utumwani miaka zaidi 350 Ila Mungu hakustuka na Wala hakuna nabii yeyote aliewai kutumwa afrika ili kuja kuwaokoa waafrika Toka utumwani Hadi waafrika wenyewe walipopambana Kwa marungu na shoka kuudai uhuru wao.

Afu Bado unashangaa Kuna miafrika Bado inahangaika na Mungu WA wayahudi.
Exactly!!
 
Atheists wa Jf bhana! Mtu mmoja dhaifu kabisa aliyeumbwa kutokana na manii eti anamuuliza Muumba wa kila kitu, aliyeuumba Ulimwengu wote huu, anamuuliza Muumba wa vyote vilivyomo na Mwenye kuvimiliki na Mwenye kuendesha mambo. Muumba wa kila kitu na Mwenye kustahiki kuabudiwa, ALLAAH, Muweza juu ya kila kitu na ANAYEFANYA ANACHOKITAKA.

ALLAAH Ambaye

لَا يُسۡـَٔلُ عَمَّا يَفۡعَلُ وَهُمۡ يُسۡـَٔلُونَ

"He cannot be questioned as to what He does, while they will be questioned"

"Yeye hahojiwi kwa ayatendayo, na wao ndio wanao hojiwa kwa wayatendayo"
(Qur-aan 21:23)


YEYE ni Mkwasi, Asiyehitajia kutoka kwa Viumbe ila Viumbe vinamhitajia YEYE


هُوَ ٱللَّهُ ٱلَّذِى لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ عَٰلِمُ ٱلْغَيْبِ وَٱلشَّهَٰدَةِ هُوَ ٱلرَّحْمَٰنُ ٱلرَّحِيمُ

"He is Allah, than Whom there is La ilaha illa Huwa (none has the right to be worshipped but He) the All-Knower of the unseen and the seen (open). He is the Most Beneficent, the Most Merciful."

هُوَ ٱللَّهُ ٱلَّذِى لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلْمَلِكُ ٱلْقُدُّوسُ ٱلسَّلَٰمُ ٱلْمُؤْمِنُ ٱلْمُهَيْمِنُ ٱلْعَزِيزُ ٱلْجَبَّارُ ٱلْمُتَكَبِّرُ سُبْحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يُشْرِكُونَ

"He is Allah than Whom there is La ilaha illa Huwa (none has the right to be worshipped but He) the King, the Holy, the One Free from all defects, the Giver of security, the Watcher over His creatures, the All-Mighty, the Compeller, the Supreme. Glory be to Allah! (High is He) above all that they associate as partners with Him."

هُوَ ٱللَّهُ ٱلْخَٰلِقُ ٱلْبَارِئُ ٱلْمُصَوِّرُ لَهُ ٱلْأَسْمَآءُ ٱلْحُسْنَىٰ يُسَبِّحُ لَهُۥ مَا فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَهُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلْحَكِيمُ

"He is Allah, the Creator, the Inventor of all things, the Bestower of forms. To Him belong the Best Names. All that is in the heavens and the earth glorify Him. And He is the All-Mighty, the All-Wise."

(QUR-AAN 59 : 22-24)

ALLAAH,

وَهُوَ ٱلْغَفُورُ ٱلْوَدُودُ

"And He is the Oft-Forgiving, the Loving (towards his believing servants, Who is loved by them)."

ذُو ٱلْعَرْشِ ٱلْمَجِيدُ

"Owner of Throne, the Glorious One (or: Owner of the Glorious Throne)."


فَعَّالٌ لِّمَا يُرِيدُ

"Doer of whatever He wishes (with none to hinder or stop Him)."

(Qur-aan 85 : 14-16)

MOLA MLEZI WA WALIMWENGU WOTE.

Wewe unamuuliza hivyo kama nani?


Unamjua unayemuuliza?

Submit kwake na ujisalimishe na unyenyekee kwake, kuwa Muislam.

Ametakasika ALLAAH
Wewe siyo muislam bali ni mtumwa mfia uislam ambaye hujajitambia bado!!
 
mabaya yenyewe ndiyo dhambi before dini dhambi haikuepo
Ujinga ulionao ni wa kiwango cha 8G kwahiyo kabla ya ukristo na uislam dini hazikuwepo wala mavaya hayakuwepo?

Hao walioleta hizo dini wanadai kuwa MIUNGU yetu haikuwa na nguvu na ilikuwa kuiamini ni uovu na dhambi,sasa wewe unasemaje hakukuwa na dhambi wala dini??
 
Back
Top Bottom