Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Sawa mkuu... Onesha werevu wakoWe ni mpumbavu ulieshindikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu... Onesha werevu wakoWe ni mpumbavu ulieshindikana
Ili auoneshe U-Omega wake!kama ulisema hausiki na matendo yao kwanini anataka ahusike na hitimisho lao
Kama nguvu unazo sasa kwanini unataka uoneshe kama una nguvu mi nadhani ingekuwa ni vizur angejikita kwenye kupambana na majanga makubwa kama vile global warming, njaa na magonjwaIli auoneshe U-Omega wake!
Yaani ina unamiza sana ukiona ndugu zetu wamesahau mapitio yetuTukiwaambia MUNGU mnaemwabudu Ni Mungu WA wayahudi tu muwe mnaelewa na mnaacha shobo zenu.
Imagine wayahudi walinyanyasika utumwani miaka 40 tu, Mungu ikamkera Sana na akamtuma nabii MUSSA ili akawaokoe chap.
Ila Waafrika wamenyanyasika utumwani miaka zaidi 350 Ila hakuna nabii yeyote aliewai kutumwa afrika ili kuja kuwaokoa waafrika Toka utumwani.
Afu Bado unaishangaa Kuna miafrika Bado inahangaika na Mungu WA wayahudi.
Yeye ndiye aliyekuambia mti huu ukila matunda yake utakua na uwezo wa kujua mema na mabaya. Sasa anakuwekea mti sehemu unayoweza kuifikia, kisha anakuambia kabisa kuhusu mti huo halafu wewe unajisifia kuhusu kujua mema na mabaya wakati hayo MEMA na MABAYA yenyewe ameyaumba yeyeHuo uwezo wa kuwa upande wa MEMA na MABAYA hatukupewa na Mungu bali tulijipa wenyewe kwa kuasi maagizo yake!
tumeyajua mema na mabaya baada ya diniMungu anakuwepo anakuchora tu boss, kama Mungu asingetaka sisi tufanye mabaya asingetupa uwezo wa kutambua MEMA na MABAYA
Hayo ni majanga ya kitoto Sana. Wewe ndo unayaona makubwa!Kama nguvu unazo sasa kwanini unataka uoneshe kama una nguvu mi nadhani ingekuwa ni vizur angejikita kwenye kupambana na majanga makubwa kama vile global warming, njaa na magonjwa
Hapana boss, common sense Tu inatosha kuyajua mema na mabayatumeyajua mema na mabaya baada ya dini
Ndo nataka kujua huko mbinguni yeye alikuwa anafanya nini... Na kama alikuwa anaona mateso wanayopitia watumwa yeye halikuwa chukizo mbele zakeMbinguni
Nakuabliana na weweMbona kama Mungu ndo aliidhinisha Hii Biashara
mabaya yenyewe ndiyo dhambi before dini dhambi haikuepoHapana boss, common sense Tu inatosha kuyajua mema na mabaya
Mbona Mimi naenjoy Sana Uhuru katika yeye. Au kwa vile sipendi show off?Hakuna maagizo ya Mungu ambayo tumehasi nakataa ila ukiangilia Kwa picha Pana Uhuru wake ni just an illusion
Wakati wewe unaamua kufanya chochote unachojisikia hata kama ni kibaya je,Mungu huwa anafanya nini?. Akiingilia maamuzi yako utamfurahia au utamchukia?.Aje atuambie alikuwa wapi wakati ndugu na jamaa zetu wanauzwa sokoni kama bidhaa yeye alikuwa anafanya nini