Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elezea kwa kirefu!Mungu hana njia Nzuri au Mbaya... Njia zake zote ni Njema.
Ni kama baba kwa mwanaye, kumtandika bakora mwanao wakati unamfundisha sio Njia mbaya.
Unaonekana unayajua kwa kirefu,tupe Somo Mkuu!Huelewi nini hapo?. Hizo vita Mungu ndiye amesababisha?
mkuu kama ni msomaji mzuri wa maandiko ya vitabu hivi vinavyoitwa vya dini utagundua hakuna wakati binadamu aliishi Kwa amani tangu kuumbwa kwake ... Hakuna ni machafuko tu na machafuko mengine Mungu eti aliruhusu yatokee sasa kama ndo hivyo Kwa Nini anajinadi ana upendoMimi nadhani Mungu aliamua kuacha mambo yajiendee ili tuweze kujionea maisha yatakavyokuwa apart from Him.. na tumeona kuwa sisi wanadamu hatuwezi kujitawala/kujiongoza bila msaada wa Mungu........"O LORD, I know the way of man is not in himself;it is not in man who walks to direct his steps" (jeremiah 10:23)......
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo hata leo.Habari wana JF
Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.
Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.
Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?
Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Kama kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba vyote, hakuna ambacho hajasababisha.Huelewi nini hapo?. Hizo vita Mungu ndiye amesababisha?
Mungu hawez kuzuia vita ?Huelewi nini hapo?. Hizo vita Mungu ndiye amesababisha?
Hata sasa Mungu bado anawakomboa watu dhidi ya utumwa wa dhambi au wewe huoni Mkuu?. Huoni watu wanavyostaafu ukahaba,ujambazi,utapeli,ushoga n.k?. Yesu hakuja duniani kuzurura!
Mimi nadhani Mungu aliamua kuacha mambo yajiendee ili tuweze kujionea maisha yatakavyokuwa apart from Him.. na tumeona kuwa sisi wanadamu hatuwezi kujitawala/kujiongoza bila msaada wa Mungu........"O LORD, I know the way of man is not in himself;it is not in man who walks to direct his steps" (jeremiah 10:23)......
dunia na vilivyomo ni mali ya ibilisi.Habari wana JF
Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.
Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.
Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?
Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Malizia "watu weusi" kama anaona ni binadamuMeaning Mungu alikosa njia nyingine nzuri na sahihi hadi kutumia njia ya kutweza utu wa watu... Ila tuna ambiwa yeye ni mbora kwenye kupanga why alishindwa katika hili
Basi huyo mungu ni mshenzi mmoja anayetakiwa kupopolewa kwa mawe huko aliko. Hilo swali tayari ni upuuzi tosha, kwani unatambua wazi watu hufanya vitu kwa kujipendelea na huyo mungu wamemtengeneza wao kwa ajili yao. Wewe wamekuletea ujichanganye kama hivi ili wakutawale kiurahisi. Nini cha ajabu hapo?Tukisema Mungu aliwapendelea zaidi Wazungu, swali likuja why ?
Anhaa, so unasema huyo Mungu wako amekuona hauna maana na amekudharau vya kutosha kiasi cha kushindwa kukutumia mjumbe hata mmoja kama alivyofanya kwao badala yake akatumia utumwa, mauaji na udhurumishi wa washenzi waliokuja na hiyo dini ili usiabudu magogo? Na bado unaona huyo Mungu wako ni mwema na yupo? Hiyo ndiyo hoja yako fikirishi? Smh.Utumwa ilikuwa ni Njia ya Mungu ili aweze kufika Afrika. Tofauti na hapo tungekuwa tunaabudu Magogo na Milima
Dini ipi? Kuwa specific! Kuna dini zaidi ya moja duniani. Unataka kusema waumini wa dini tofauti na yako hawajui mema na mabaya?tumeyajua mema na mabaya baada ya dini