Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
- Thread starter
- #21
leo asubuhi nawasha redio nasikia mahubiri kuhusiana na Mungu anavyowatoa watu kwenye vifungo vya utumwa hapo ndo hoja yangu ilipoanzaDuuh,umewaza Nini?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leo asubuhi nawasha redio nasikia mahubiri kuhusiana na Mungu anavyowatoa watu kwenye vifungo vya utumwa hapo ndo hoja yangu ilipoanzaDuuh,umewaza Nini?!
Yeye ni Alfa na Omega hata kwenye ushetani wa watu waliopotoka?. Kwamba yeye ndiye muasisi wa upotofu wao?. Ndivyo ulivyolielewa andiko hilo?It make sense sababu yeye ni Alfa na omega according to his scripture
Ahsante sana Kwa reference hii tusubiri mawakala wake waje watuambie kwanini Mungu mwenyewe aliamua kuanzisha na kuhalarisha utumwa jamii dhidi ya jamii zingineMungu wa Israel anawataka wa Israel wachukue watumwa ambao si wa Israel
Leviticus 25:45-47 "Your male and female slaves are to come from the nations around you; from them you may buy slaves. You may also buy some of the temporary residents living among you and members of their clans born in your country, and they will become your property. You can will them to your children as inherited property and can make them slaves for life".
Pia una watuma ni property
Exodus 21:20-21 ""If a man beats his male or female slave with a rod and the slave dies as a direct result, he must be punished, but he is not to be punished if the slave gets up after a day or two, since the slave is his property.
BIBLE IS MANIPULATIVE TEXTBOOK FOR JEWISH SUPERIORITY OVER OTHER HUMAN BEINGS
Jibu Kwanza hili. Je,Mungu huwa anakuwa wapi wakati wewe unaamua kufanya chochote unachojisikia hata kama ni kibaya?Kuna watu wanatamani babu zao wangechukuliwa utumwa ili wazaliwe mbelez you know. Anyway, kuna kitu sijaielewa kama Mungu muweza wa yote alikua wapi kipindi shetani anashawishi malaika wengine wamuasi na kuanzisha vita kule kwenye makazi yake mbinguni?
Meaning Mungu alikosa njia nyingine nzuri na sahihi hadi kutumia njia ya kutweza utu wa watu... Ila tuna ambiwa yeye ni mbora kwenye kupanga why alishindwa katika hiliUtumwa ilikuwa ni Njia ya Mungu ili aweze kufika Afrika. Tofauti na hapo tungekuwa tunaabudu Magogo na Milima
Kwamba Mungu ni Farao au sio?Ahsante sana Kwa reference hii tusubiri mawakala wake waje watuambie kwanini Mungu mwenyewe aliamua kuanzisha na kuhalarisha utumwa jamii dhidi ya jamii zingine
Mungu anakuwepo anakuchora tu boss, kama Mungu asingetaka sisi tufanye mabaya asingetupa uwezo wa kutambua MEMA na MABAYAJibu Kwanza hili. Je,Mungu huwa anakuwa wapi wakati wewe unaamua kufanya chochote unachojisikia hata kama ni kibaya?
Kama yeye hausiki na huu uovu kwanini anatangaza kutoa adhabu kali Kwa wakosefuYeye ni Alfa na Omega hata kwenye ushetani wa watu waliopotoka?. Kwamba yeye ndiye muasisi wa upotofu wao?. Ndivyo ulivyolielewa andiko hilo?
Hakuna majibu ya maswali yako, tuliza kinyeomawakala wake na waumini wanadai yupo ndo mana nauliza ili watupe majibu kutoka kwenye vitabu vyao
Mungu hana njia Nzuri au Mbaya... Njia zake zote ni Njema.Meaning Mungu alikosa njia nyingine nzuri na sahihi hadi kutumia njia ya kutweza utu wa watu... Ila tuna ambiwa yeye ni mbora kwenye kupanga why alishindwa katika hili
Yupo sahihi. Shida ingekuwa kama angetangaza adhabu kali dhidi ya watu wema. Acha watu wavune wanachopanda Mkuu!.Kama yeye hausiki na huu uovu kwanini anatangaza kutoa adhabu kali Kwa wakosefu
Na kibaya hata kukomesha wamemsaidia watuMungu hana njia Nzuri au Mbaya... Njia zake zote ni Njema.
Ni kama baba kwa mwanaye, kumtandika bakora mwanao wakati unamfundisha sio Njia mbaya.
Huo uwezo wa kuwa upande wa MEMA na MABAYA hatukupewa na Mungu bali tulijipa wenyewe kwa kuasi maagizo yake!Mungu anakuwepo anakuchora tu boss, kama Mungu asingetaka sisi tufanye mabaya asingetupa uwezo wa kutambua MEMA na MABAYA
kama ulisema hausiki na matendo yao kwanini anataka ahusike na hitimisho laoYupo sahihi. Shida ingekuwa kama angetangaza adhabu kali dhidi ya watu wema. Acha watu wavune wanachopanda Mkuu!.
We ni mpumbavu ulieshindikanaUtumwa ilikuwa ni Njia ya Mungu ili aweze kufika Afrika. Tofauti na hapo tungekuwa tunaabudu Magogo na Milima
Hakuna maagizo ya Mungu ambayo tumehasi nakataa ila ukiangilia Kwa picha Pana Uhuru wake ni just an illusionHuo uwezo wa kuwa upande wa MEMA na MABAYA hatukupewa na Mungu bali tulijipa wenyewe kwa kuasi maagizo yake!