Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

anawakomboa watu ni illusion kaka...tunataka tuone mauaji yana komaa pale DRC na wakimbizi wanarudi makwao, tunataka tuone vita vinakomaa pale Ukraine na maisha yanarudi kwenye hali ya kawaida na kwanini ajikite kwenye pretty issues badala ya majanga makubwa makubwa
Imeandikwa Mungu ni bwana wa vita.... Hanaga MBA MBA MBA... Ukijichanganya anakuwashia moto Hadi uitike abee... Leo hii watu wanazungumzia eti vita ya kwanza na ya pili ya Dunia... Ambazo kwa pamoja hazikumaliza hata robo ya watu wa Dunia hii...
Lakini vipi Ile vita ya Gharika iliyowabakiza watu nane TU?
Achana na hiyo... Kuna mikoa miwili ya Sodoma na Gomora kilichoipata.... Unaambiwa iliungua mpaka ardhi ikatitia kushuka chini ya usawa wa bahari... Na Leo ndipo palipo na Ile bahari iliyokufa (dead sea...)
Kwa hiyo bwana Pure Sapiens na Kiranga mambo ya Mungu ni Hard siyo soft kama mnavyodai eti hata mambo ya kijinga jinga akutekelezee.
Before God either you die or live. Ukiishi au ukifa wewe, yeye Hana Hasaraaaa
 
Anhaa, so unasema huyo Mungu wako amekuona hauna maana na amekudharau vya kutosha kiasi cha kushindwa kukutumia mjumbe hata mmoja kama alivyofanya kwao badala yake akatumia utumwa, mauaji na udhurumishi wa washenzi waliokuja na hiyo dini ili usiabudu magogo? Na bado unaona huyo Mungu wako ni mwema na yupo? Hiyo ndiyo hoja yako fikirishi? Smh.

Na kuna ubaya gani kuabudu magogo? Kuna tofauti gani na kuabudu sanamu la mzungu aliyepigwa misumari ubaoni? Unaogopa kuwa tofauti? Asians wanaoabudu masanamu yao vilevile, wewe umewazidi nini?
Tatizo mindset yako imelenga kwenye ubaya tu wala haiwezi kuona mema.
Utumwa ndio umepelekea leo kuna elimu, kuna miundombinu kama reli yote sababu ya utumwa. Fikria bila Utumwa leo nchi yetu ingekuwaje.

Kuwa mtumwa si kudharauliwa, wala kuteseka si kuachwa.
 
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Dunia Haiendeshwi kwa Torati(Sheria) inaendeshwa kwa Busara
 
Ukishasema labda, basi inapoteza uhalisia wa kauli kuwa Mungu ni mjuzi wa yote
Hakuna mwenye uhakika boss sababu Mungu haonekani tungemuuliza😅. Ila in short ni kwamba Mungu anakuwepo kwenye realm ya imani. Hatuwezi kutumia facts wala common sense kumuelewa wala kumuamini.
 
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Kwani biashara ya utumwa imeisha? Mbona bado iko sana?
 
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Yani akupe akili na mbinu chekwa halafu uzubaezubae uombe akuokoe?Huo ni uzuzu sana.Jiokoe.
 
mawakala wake na waumini wanadai yupo ndo mana nauliza ili watupe majibu kutoka kwenye vitabu vyao
Mungu amehalalisha na kubariki biashara ya utumwa kwenye vitabu vyake.

Ukisoma Bibilia kwa mfano, kuna amri ya kushika sabato inazuia mtu kufanya kazi, lakini amri hiyo imeenda mbali na kufafanua kuwa hata punda wako, wala mtumwa wako hatakiwi kufanya kazi.

Kwa hiyo Mungu anautambua utumwa na anaona ni sawa.
 
Ukombozi wa Mwafri
Mungu amehalalisha na kubariki biashara ya utumwa kwenye vitabu vyake.

Ukisoma Bibilia kwa mfano, kuna amri ya kushika sabato inazuia mtu kufanya kazi, lakini amri hiyo imeenda mbali na kufafanua kuwa hata punda wako, wala mtumwa wako hatakiwi kufanya kazi.

Kwa hiyo Mungu anautambua utumwa na anaona ni sawa.
kanUkombozi wa Mwafrika utakuwa kamili tu Waafrika watakapoondoka na ujinga waliokaririshwa kupitia biblia na msahafu na ambapo FIKRA zao zitajielekeza kuelewa wazi kuwa BIBLIA na MSAHAFU na hasa biblia ni hadithi zilizotungwa ili kuwapumbzaz WAFIA DINI na kuwatawala kirahisi baada ya kuwaondoa kwenye reli.
 
Ulimwengu hauongozi kwa amei A biblia bali kwa sheria,taratibu na kanuni za kila jamii walizojiwekea wao wenye kulingana na mazingira yanayo wazunguka.

Ndiyo maana wachina,wahindi,wakorea,wajapani,nk wana kanuni,taratibu na sheria zao walizojiwekea na zinazowaongoza kasoro wafia dini wa Afrika ndiyo wanaishi kwa kifuata sheria,taratibu na kanuni za WAKOLONI kupitia biblia kitu ambacho ni UTUMWA WA KIFIKRA
Mungu amehalalisha na kubariki biashara ya utumwa kwenye vitabu vyake.

Ukisoma Bibilia kwa mfano, kuna amri ya kushika sabato inazuia mtu kufanya kazi, lakini amri hiyo imeenda mbali na kufafanua kuwa hata punda wako, wala mtumwa wako hatakiwi kufanya kazi.

Kwa hiyo Mungu anautambua utumwa na anaona ni sawa.
 
Tatizo la uovu - The problem of Evil.

Ninashaka kwamba hakuna mtu anayejua lolote kuhusiana na "Mungu" pengine huenda tukawa tunajadili kitu ambacho ni cha kufikirika.

Hivyo kabla hujapinga au kuhukumu kuhusiana na istilahi "Mungu" ni vyema ukaanza na ufafanuzi wa kina kwanza kuhusu dhana "Mungu" ili tuweze kujua Ni nini? Ni nani?
 
Nature ya dunia tumeumbiwa furaha na majaribu hayo yoote no majaribu

Hukuumbwa burebure uje ule starehe tu hapana na motihani pia tofautitofauti

Yote hayo ni kumpima ambae ni mnyenyekevu kwake

Ntaongeza mengine
 
Ukombozi wa Mwafri

kanUkombozi wa Mwafrika utakuwa kamili tu Waafrika watakapoondoka na ujinga waliokaririshwa kupitia biblia na msahafu na ambapo FIKRA zao zitajielekeza kuelewa wazi kuwa BIBLIA na MSAHAFU na hasa biblia ni hadithi zilizotungwa ili kuwapumbzaz WAFIA DINI na kuwatawala kirahisi baada ya kuwaondoa kwenye reli.
Sana.

Bibilia ni maandishi yaliyoandikwa na wayahudi, wakielezea historia zao, mababu zao na maisha yao,

Lakini pia wameelezea imani zao kwa miungu yao.

Quruani is ana aborogation of the bible.

Mwandishi wa Msahafu au Quruan, alichukua maandishi ya Bibilia na kuyatohoa, mengine kuyachukua kama yalivyo na kuongeza mambo yake mengine huku akizungumzia zaidi maisha na tamaduni za uarabuni.

Kisha kawaambia watu eti Quruani imeteremshwa!


Kwa hiyo ni aibu kwa waafrika kufuata vitabu vinavyohusu tamaduni za jamii zingine.

Tungeweza tu kuchukua mazuri yao na sisi tukaendelea na yetu.

Ni afadhali kabisa wahindi, wameendelea na tamaduni zao kwa kujikita katika uhindu na ubudha.
 
Back
Top Bottom