Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Kipindi Cha agano la kale kulikua hakuna ukomo wa kuwa na wanawake ni tofauti na agano jipya ambaye YESU alisema mwanaume awe na mke mmoja hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyokua mshabiki
Ni kitabu gani kwenye agano jipya ambapo Yesu alisema mwanaume awe na mke mmoja?
 
Acha Uwongo Wewe hajawahi. Haya na huyo Mwanamke Mkalimani wake aliyenae pia alishawahi Kuwaelezea hapo Madhabahuni Kwenu / Kwake? Acha Unafiki na Ujuha tafadhali.
sina cha kukujibu mkuu...
 
Uislamu gani unafundisha hivyo?
 
Uzi wa kipuuz hata huwez maliza kusoma
 
Uzi wa kipuuz hata huwez maliza kusoma
 
We si muislam kama unavyodai!!
Ungekuwa muislamu usingethubutu kuwakashiefu nabii luutu kwamba wamezini
 
Mawazo ya hovyo sana kuwahusu watu wawili wazushi wazushi wa hovyo tu.
 
Mtoa mada ulichoandika hakina uhalisia wowote.Mungu amuadhibu Mange kwa kumuua Dr Malecela?mbona hairelate chochote.
Huyo keshakuwa brain washed, Sasa Dr Mwele alimkosea Nini huyo mwamposa hadi Mungu wake amuue ili mange asimlipue mwamposa?
Kuna majitu ya hovyo Sana acha aendelee kutoa hiyo sadaka ya kujimaliza na atembee kwa miguu kurudi kwake halafu mwamposa apande V8 kurudi kwake na marundo ya hela.
 
Kwahiyo mwamposa kamtupia jini Dr Mwele afe ili mange asimlipue?
Kwani mange ana undugu wa damu na Mwele?
Hayo majini yenu ndo Mungu kawapa muyatumie kuuwa watu?
 
Kumbe mifano ipo, ngoja tuone siku muumini akizaa na mke wa mwamposa tuone kama utasema ni issue ndogo tuu.
 
Kwahiyo mwamposa kamtupia jini Dr Mwele afe ili mange asimlipue?
Kwani mange ana undugu wa damu na Mwele?
Hayo majini yenu ndo Mungu kawapa muyatumie kuuwa watu?
Umetoka kapa. Kama ungekuwa mwanafunzi unafanya mtihani ningekupa zero plus a See Me Notice
 
Una mkana Mchungaji wako hadharani. Umeyajuaje yote hayo ya sadaka ya kujimaliza kama huwa huendi kusali kwake au ulikuwa unaenda kusali kwake au huwa unafuatilia mahubiri yake Kwa njia ya redio ama television.

Wewe mnafiq
 
Na wewe unae fanya zinaa sio muislamu pia sio?

Anyways me nakula Hadi kitimoto seuze kumkashifu MTU wa kwenye story ya kutungwa.

Ninge mkashifu baba ako mzazi usinge mind lakini Lutu ambae ni MTU wa kwenye story ya kutungwa umemind. Acha utoto mkuu.

Katika Maisha yako baba ako Na mama ako Ni muhimu Zaidi kwako kuliko Lutu ambae ni character wa kutungwa
We si muislam kama unavyodai!!
Ungekuwa muislamu usingethubutu kuwakashiefu nabii luutu kwamba wamezini

We si muislam kama unavyodai!!
Ungekuwa muislamu usingethubutu kuwakashiefu nabii luutu kwamba wamezini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…