Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Rudi ndugu yangu, Mungu anakupenda
 
Mwambie arudishe bandari ya Dar es Salaam, walokole wanawalalamikia Waarabu wa Unguja wameiuza bandari kwa Waarabu wenzao wa Dubai.
Sijui kwanini unaingiza mambo ya bandari hapa anyway pole Sana
 
Kuna uzi fulani hivi kuna mdau alielezea vizuri kuhusu Mungu.alifafanua vema kuwa haijalishi dini yako nanukuu unapouweka mwili wako mbali na manungunik visasi kuwa na moyo wa upend ni rahsi sana kuwasilian na Mungu
Mwanadamu ni mfano wa Mungu, Si sura ya mwili Bali roho yako.. Ukitaka kujua hilo, angalia kama Kuna mwanadamu a napenda mambo mabaya.. Na kujitapa kwa hayo.. Jibu nin Hapana, maana hata wezi. Wachawi, walawiti wote wanampenda waonekane wema.. Maana hiyo ndio asili ya Mungu, yeye ni Mtakatifu, Haki Na mwema. Ndio maana anasema, Hakuna Amani kwa watendao Mabaya, bse jinsi tumeubwa ni nafsi za Utakatifu, hivyo nafsi zetu zinapata Amani tukitenda Mema,... Ndio maana wale wote wanaojidai kuwa Mkristo kafiri, huwa naelewa Nafsi zao zimetawaliwa na Yule Mwovu, sibishani nao Bali nawaombea... Maana uasili wao ni ya Mungu, ila shetani kawadanganya. Na neno lina Sema, kila atendae Mema/Haki ni wa Mungu.. Ndio maana ni rahisi kuconnect na Mungu tukitenda Mema🙏🙏
 
Nikaote jua badala ya kuota ndoto?

Mie naota Dirham saa hizi wewe unanletea mambo ya jua?

Unanshangaza.
Kama nakuona unavyoumia ukiwaona watu wa Mungu wanapeana habari njema kwa staha na bila kugusa dini nyingine.Nakushauri ubadili methodology ya kueneza dini yako bila kashfa na maneno ya shombo kwa wasio wa imani yako ili wauige mfano wako wasilimu.
Hebu anzisha uzi wewe na wenzio kwa lengo la kuwavuta watu kwenye dini yako.Naamini watu wanaimisconceive.
 
Dini nyingine ndiyo ipi? Kuna neno lipi la Mungu linaloongelewa hapa, Mungu yupi? Biblia inasema Mungu wa dunia shetani, ndiyo huyo anaongelewa, au yupi?
 
Dini nyingine ndiyo ipi? Kuna neno lipi la Mungu linaloongelewa hapa, Mungu yupi? Biblia inasema Mungu wa dunia shetani, ndiyo huyo anaongelewa, au yupi?
Kuna tofauti ulichokiandika hapa na kwenye Biblia" Biblia inasema mungu wa dunia hii"sio Mungu wa dunia hii" angalia capital M na R pale unaposoma Biblia itakusaidia.Utakuta Roho na roho ,Mungu na mungu.Uliza kwa Bible Scholars ujue tofauti .
 
Hizi tusome tu kama riwaya lakini ni chai! Hadithi yake haiko compatible na mafundisho ya Ukristo.

Ila hadithi ni tamu!
 
Ulivyokuwa Mlutheri hukuwa umeokoka? Kuacha dhambi kupitia toba ni kazi ya kila siku kwenye safari ya Wokovu! Ubatizo ndio wokovu wa kweli maana unakupa funguo ambayo huwezi kuipata nje yake.

Huko kwenye wokovu hakuna dhambi? Au wewe hutendi dhambi?

Lutheran ndio baba wa ulokole, umeanzia huko lakini bado mnaenda kuutafuta kwingine na kuishia kuwa watumwa wa watu waliojivika kuwa na nguvu za Mungu ambazo wanaweza kuziachilia wanavyotaka.
 
Aliyeanzisha uzi huu amekimbia hii inatia mashaka juu ya uadilifu na uaminifu wake!
 
Dini nyingine ndiyo ipi? Kuna neno lipi la Mungu linaloongelewa hapa, Mungu yupi? Biblia inasema Mungu wa dunia shetani, ndiyo huyo anaongelewa, au yupi?
Maswali ya vijiwe vya kahawa.Ngoja nichague kukupuuza!
 
Umejibu vyema sana
 
Maswali ya vijiwe vya kahawa.Ngoja nichague kukupuuza!
Kabisa kabisa, teknolojia imehamishia vijiwe vya kahawa kiganjani.

Ni heri upuuze ili nami nibaki na wasiyo puuza. Naamini unaondoka huku hoja imekuingia vizuri na haijibiki kiwepesi.

Ni vyema tunashindana kwa hoja, mmoja akiona hayawezi anaondoka kwa heshima kabisa kama ulivyoamua, tunaagana, tukikutana kijiwe cha kahawa cha kiganjani, tunaongea hoja zingine. Kwa furaha na amani.

Naakutakia kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…