Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #661
Hili kiroho lipo very deep na lina maelezo mengi na yanaweza kutoka nje ya mada mkuuHivi uzinzi na uasherati kiroho ikoje
Inatokeaga Nini,
Na je walio owana kiroho kweli miili Yao ya kimwili ni mmoja
Yaani , Kwa maisha ya Sasa mpaka unaogopa kumsaidia mtu unaona watuKIZAZI CHA NYOKA NI MMOJA WAPO WA MAADUI WA WALOKOLE NDIO KINA UADUI NA WALOKOLE NA MUNGU WAO NI ROHO INAYOJIPA NAFASI YA MUNGU MKUU IKIWA NA ALAMA YA NYOTA NA MWEZI NA KIZAZI CHA NYOKA WANAABUDU MALIKIA WA ANGA NA NYOTA NA MWEZI..NA HIYO ROHO INAYOJIITA MUNGU WAO INA UADUI NA MUNGU WA WAYAHUDI NA WALOKOLE.
NaHao wapo kawaida hawana ulinzi wowote
Tofauti ni lugha tu...Kuna lugha ya kiroho na lugha za wanadamuYaani , Kwa maisha ya Sasa mpaka unaogopa kumsaidia mtu unaona watu
Na
Tofauti ya walokole wanao omba Kwa lugha na wale wasio weza kuomba Kwa lugha ,wanaomba kiswahili ,kiroho ikoje
Hawakuwa binadamu halisi?Tuko tunasililizia muendelezo
Mimi Kuna jamii ya watu nilikuwa nawasaidia wafanikiwe kimawazo ya kipesa ,
Kumbe wao lengo lao ni baya ,kumbe Nia nikuniona nafeli nashindwa siendelei,
Nakaa nao kumbe wao wanawivu mpaka wanakuwa na chuki nzito mioyoni mwao, Sasa Mimi nafanya wema kumbe wao wanawaza watanizidi vipi ,
Sasa Kuna siku Mungu akaanza kinuonyesha nilikuwa NACHEKA nao ni watu Gani, nilikuwa kugundua kumbe ni jamii ya uzao wa nyoka ,
Usiogope kusaidia kumbuka neno UPENDO KAMA NGUZO KUUYaani , Kwa maisha ya Sasa mpaka unaogopa kumsaidia mtu unaona watu
Na
Tofauti ya walokole wanao omba Kwa lugha na wale wasio weza kuomba Kwa lugha ,wanaomba kiswahili ,kiroho ikoje
Yawezekana mkuu upo sahiiHawakuwa binadamu halisi?
Asante Sana,Usiogope kusaidia kumbuka neno UPENDO KAMA NGUZO KUU
Masaki haiishi jamii ya wapuuzi, uchawi utaukuta zaidi uswahilini.
Hapana hata ukiomba kwa lugha ya kibinadamu unapata ulinzi,,,lakini lugha ya kiroho ina nafasi yake katika maombi ya walokole...ni kama personal conservation na Mungu wao na hakuna anaejua siri inayozungumzwa katikati sababu walokole wana maadui wengi kiroho kuliko kimwiliAsante Sana,
Hivi ,l
ugha ya kiroho na
Lugha ya wanadamu,
je mlokole ni yule anae omba lugha ya kiroho,
Na je,
Yule anae omba lugha ya wanadamu sio mlokole?
Na atakosa ulinzi sababu ya kutawaliwa maisha yake na maombi ya Lugha ya kiwanadam
Bufa upo mkuu???? Karibia nakuja USA kaka,,kama Mungu akijalia uzima na mipango ikikaa sawa..Nimeokoka now days,,,,nakuombea na wewe uokoke bro!!That proves my point. Uchawi wenyewe haupo bali ni story za kusadikika zinazotamalaki zaidi kwenye jamii za watu wajinga na maskini.
Bufa upo mkuu???? Karibia nakuja USA kaka,,kama Mungu akijalia uzima na mipango ikikaa sawa..Nimeokoka now days,,,,nakuombea na wewe uokoke bro!!
Mlokole kiroho anaweza kua kanisa lolote ila ana alama saba za kiroho zinazomzunguka nazo zipo kiroho zaidi...Sio walokole wote wananena kwa lugha,,wengine bado hawana hiyo karama ya kuongea lugha za kiroho mkuu ila maombi yao yanalindwa na kusikilizwa piaMlokole kiroho ni yupi
Katika makanisa ya walokole,
Yule, anae omba Kwa
Lugha ya kiroho
Lugha ya wanadamu,
Na mlokole anae omba Kwa lugha ya kibinadamu hawezi kuomba Kwa lugha , Huyo vipi,si mlokole ,na maombi yake je rohoni yanakuwaje yananguvu au yakoje,
Na je muitikio wa malaika Kwa hao wanaomba tu lugha za kibidamu ukoje, hawatendi kwao au ikoje?
Seriously nimeokoks kaka,,now dayz namfuata na kumsujudu Mungu wa walokole..Nimepitia mengi katika ulimwengu usioonekana mkuuNipo kaka. Karibu sana kiwanja land of the free and home of the brave. Hapo kwenye kuokoka 😅😅
Seriously nimeokoks kaka,,now dayz namfuata na kumsujudu Mungu wa walokole..Nimepitia mengi katika ulimwengu usioonekana mkuu
Bless blessSawa mkuu. More power to you!
Kwa hiyo wewe si mfuasi wa huyo MUNGU wa walokoleBless bless
Mm ni mfuasi 100% sababu nilimsujudia MWANA WA MMLIKI AMBAE WALOKOLE WANAMUITA EMANUELIKwa hiyo wewe si mfuasi wa huyo MUNGU wa walokole
Hongera Kwa Kuzaliwa mara ya pili.Bufa upo mkuu???? Karibia nakuja USA kaka,,kama Mungu akijalia uzima na mipango ikikaa sawa..Nimeokoka now days,,,,nakuombea na wewe uokoke bro!!
Nwendelezo wa story pia uguse maisha Yako mapya ya Wokovu maana Kutoka huko kuja huku lazima una ushuhuda.Hongera Kwa Kuzaliwa mara ya pili.