Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Usisite kutuletea huo ushuhuda kiongozi
 
Yaani ,kiroho KULIA NDIO KUIMBA NYIMBO NZURI ROHONI,
SASA KWA KUWA UNAIMBA KWA BUBUJIKO ,BASI HAPO UKO KIROHO UNAKUWA UMEUGUSA MOYO WA MUNGU ,ENDAPO UTAABUDU HIZO NYIMBO KATIKA ROHO NA ILE KWELI YAKE.
 
Shida ipo hakuna Mungu wa walokole kuna Mungu wa wote ili ukubali yupo ndio unamkubali awe kwenye maisha yako
 
Hadithi njoo utamu kolea ... Utafiti wa miaka 22 ulianza ukiwa na miaka mingapi ?
 
Hapo Ili maanisha vingine,

Yaani , yesu alikuja kuusulubu mwili ,ambao mwili huo umebeba dhambi za watu ,adhabu ya Dhambi za watu alizibeba Mwenyewe Katika mwili wake,

Na mwili ndio huyo nyoka, maana mwili hivi Leo ndio mjaribu wetu,
naomba unifafanulie zaidi kuhusu hizo picha
 
uh! Mkuu msaada tafadhar, unaposema "nembo ya kung'aa kuliko jua inayosome kwa lugha ya kibinadamu ALFA NA OMEGA" unamaana gani?
 
Shida ipo hakuna Mungu wa walokole kuna Mungu wa wote ili ukubali yupo ndio unamkubali awe kwenye maisha yako
Nakuomba, ukafuatilie kwanza , ASILI NA HISTORIA YAKE ,Hilo Neno walokole,

Halafu ,ndio uje Tena kutupinga Tena,na kaushaidi kama ulivyofanya mwanzo Kupitia Google,
 
Kuna nyimbo mnaziita injili,,hizi nyimbo asili yake ni kwa wale watu warefu wenye mabawa na wanaziimba masaa ishirini na nne.Nyimbo zoote za injili na kusifu walizitunga wao!!Unapoziimba kabla ya kusali ni kama unawaita waje msali pamoja.
 
Kilinikutaga pia Mimi nlikua namsaidia Sana Kwa Upendo Mungu alikuja kunifunilia Ni watu wa Aina Gani...ili nibidi nisitishe msaada Kwa Hao watu Ila Kwa wengine misaada kama kawaida
Saidia wote ili uwe na alama ya upendo,,,,inakaa moyoni mwako kwa umbo la tunda na imezungushiwa taji..Kiroho inakutambulisha wewe kama mlokole wa kweli..UPENDO BILA KUJALI AU MAWAA AU MAJIVUNO AU KUTEGEMEA KURUDISHIWA FADHILA..NDIO SIFA KUU KIROHO YA WALOKOLE
 
Swali zuri ila mimi namshuudia Mungu wa jamii ya watu wanaojiita walokole kama anavyotambulika kwenye ulimwengu wa kiroho.Na kuna binadamu weeengi hawamwamini huyu Mungu ila wachawi na wanajimu na wahesabu namba za jua la mashariki na waganga na walw watu warefu wasioakisi mwanga wa jua wanamuogopa sana huyu Mungu wa walokole.Na hao walokole wamesambaa dunia nzima na wana alama zao kiroho..Ndio namuelezea Mungu wao na mtoto wake aitwae Mwana wa mmiliki na Roho yake iitwayo roho kuu ya nafsi hai..Huwezi kuelewakiurahisi mpaka uwe unaujua ulimwengu wa nje ya mwili kwa kina.
 
Unajua unatakiwa muda wakuelekezwa hakuna Mungu wa walokole ila kuna mungu wawatu
Yupo na wanajimu na wachawi na waganga wanamjua kwa jina la Mmiliki na ana roho tatu ndani ya roho moja ndani ya nafsi tatu.Ambazo ni mwana wa mmiliki na Roho kuu yenye kutoa pumzi ya uhai au oksjeni
 
Je inachukua muda gani kwa Mmiliki kujibu maombi ya Walokole?
Je ukiomba utajiri kwa Mwana wa Mmiliki, anaweza kukupa?
 
Mkuu upo sahii,,Mungu wa walokole Ndio mungu anaeogopeka sana kwenye ulimwengu wa kiroho,,,,NIMESHUHUDIA KWA MACHO YANGU
 
Je inachukua muda gani kwa Mmiliki kujibu maombi ya Walokole?
Je ukiomba utajiri kwa Mwana wa Mmiliki, anaweza kukupa?
Sekunde hiyo hiyo...Tatizo walokole hawana uwezo wa kuona majibu yao kwa sababu wapo mwilini..Kabla hujayaona kimwili,,tayari umeshajibiwa..NDIO MAANA NGUZO KUU YA WALOKOLE NI IMANI NA KUAMINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…