Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mbona ulishasema ,ulisha maliza utafiti,

Utafiti upi Tena uwo ,mpya WA Katikati ya Uzi,

Maana ulisema Toka 1997-2019, umehitimisha utafiti wako,

Na, ni jambo Gani ambalo mpaka Leo ,Bado hujapatia majibu yake kuhusu Mungu WA walokole,

NB;
KAMA ULISHA OKOKA, USITUMIE NJIA ILE ,YA ZAMANI,KUMCHUNGUZA MUNGU,KWA KUITAJI MPAKA UWONE, ITAKUPUNGUZIA VITU VINGI,

HIVYO ,UKITUMIA NJIA YA MPAKA KUONA, KADRI UNAVYOONA

UNAPUNGUA KUWA WA HERI, KILA UNAVYO ZIDI KUTAKA KIONA VYOTE KWA NJIA YA MACHO NDIO UNAPUNGUA KUTOKA KWENYE KUNDI LA HERI KWENDA KUNDI LISILO LA HERI,


INAMAANA ULIPOSEMAGA UTAENDELEA KUMCHUNGUZA DAIMA KWA NJIA YA KUONA NA SIO IMANI BASI NI SAWA UNAJITOWA KWENYE KUNDI LA HERI KWENDA KUNDI LISILO LA HERI, NI SAWA UNATOKA POSITIVE KURUDI NEGATIVE,
MAANA UMEKUBARi KUSHUHUDIA KWA MACHO, NA HIO NDIO TUZO YA KIROHO ,KWA WANAO SHUHUDIA KWA MACHO SIO WENYE HERI ,ILA WASIO SHUHUDIA NDIO WENYE HERI,
TUBU ANZA KUISHI KWA IMANI,

NA , CHENGINE , UTAKOSA UTUKUFU UKIBAHATIKA KUINGIA MBINGUNI,

MAANA UMEINGIA LAKINI SIO KUNDI LA WALIO NA HERI ,

YESU ANAMWAMBIA TOMASO ,WANAHERI WASIO ONA,


KARIBU ,KWENYE KUNDI LA WANA WA IMANI,TUISHI KIIMANI ,

Ukipambana Kwa stairi ya kizamani utajitowa kwenye mstari.na atakuweka KUNDI LA wasio HERI, ambao hai hawakuwai na Imani , na Imani ndio DNA ya Watoto wa Mungu.
MUNGU MKUU WA WALOKOLE AMERUHUSU WATU WAMTAFITI ILA SI KWA NJIA YA UCHAWI NA USHIRIKINA
 
ukimkubali Bwana Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako na ukabatizwa katika ubatizo wa maji mengi na pia kuacha dhambi kutembea katika utakatifu
YOTE HAYA MUNGU MKUU WA WALOKOLE ALISEMA NI KWA NEEMA YA ROHO WAKE ALIE NDANI YA MWANAE.
NEEMA YAKE INAWEZESHA YOTE HAYO
 
INAENDELEA..........,......…!!!!
MUNGU WA WALOKOLE.
ANASEMA HIVI YEYE NI MUNGU ANAYEFUATIA WENYE DHAMBI ILI AWAKOMBOE NA HAKUNA JICHO LITAKALOMWONA ILA KUPITIA KWA MWANAE "NYOTA YA ASUBUHI""
HAKUNA KITU KINACHOTISHA KAMA KUMUSOGELEA HUYU MUNGU WA WALOKOLE KATIKA HSLI YA KIROHO AFU UKIWA NA DHAMBI.
KINACHOTISHA NI ILE HALI YA KUJIHISI HATIA MOYONI,MAANA NAFSI ITAKUSUTA NA UTAONA AIBU HATA KUMTAZAMA USONI AU KUTAZAMA MALAIKA ZAKE NA YEYE BINAFSI NA MALAIKA ZAKE NA MWANA WA MMLIKI WANANGAA KULIKO MWANGA WA JUA NA WANA MAUMBO MAKUBWA KULIKO KIPIMO CHA MAUMBO YA KIBINADAMU NA WANYAMA.
LAKINI SURA ZAO NA MAUMBO YAO NI KAMA WANADAMU NA NDIO MAANA WALIMUUMBA MTU KWA MFANO WAO,
WAO WENYEWE
WALOKOLE WANAPOSEMA MUNGU WAO NI RAFIKI NA NI PENDO HAWADANGANYI MAANA ULE UPENDO WA MUNGU WAO AKIKUSOGELEA UNAUHISI NDANI YAKO NA HATIA ZAKO ZINAKUSUTA.
NB: NINAPOSEMA MUNGU WA WALOKOLE NAMAANISHA MUNGU ROHO NA MWANA WA MMILIKI NA ROHO YA MUNGU IWAKAYO MOTO.HIVYO VYOTE NI KITU KIMOJA NDANI YA VITU VITATU.HUWEZI KUMTENGANISHA MUNGU WA WALOKOLE NA MWANAE NA ROHO KUU YA KWAKE ILIYO NDANI YA MWANAE NA MWANAE YUPO NDANI YA BABA YAKE.
MUNGU WA WALOKOLE ANA MACHO YA HURUMA NA HATA BILA KUMTAZAMA USONI TWASIRA YAKE WAGA INAWAJIA WALOKOLE VICHWANI MWAO WAKATI WANAOMBA.
NINAPOANDIKA HAYA SIO KWAMBA MIMI NI MKAMILIFU ILA NA MIMI NASHUHIDIA HUYU MUNGU MKUU WA WALOKOLE ALIVYO.
HII DUNIA VIPO VIUMBE VINGI ZAIDI YA WANADAMU NA VINAISHI,,,ILA VIUMBE HIVI VYOTE VINAJUA UWEPO WA MUNGU WA WALOKOLE.
MUNGU WA WALOKOLE ANASEMA HIVI
""""""""""""""NANUKUU""""""""""""""""""
MIMI NI MUNGU WA ISRAEL NA YAKOBO NA HAITATOKEA HATA SIKU MOJA NIKASHARE MAMLAKA YANGU NA MWINGINE.
ROHO YANGU IPO NDANI YA MWANANGU NA MWANANGU YUPO NDANI YANGU KABLA YA KUUMBWA ULIMWENGU.
JE MIMI SI MUNGU NINAESAMEHE
JE MIMI SI MUNGU NINAESAMEHE?
JE MIMI SI MUNGU NINAESAMEHE?
SITOKUHUKUMU UKITUBU
SITOKUHUKUMU UKITUBU
SITOKUHUKUMU UKITUBU
""""""""MWISHO WA KUMNUKUU"""""
NA AKISEMA MANENO HAYA MBINGU NZIMA INAKAA KIMYA.
MNAWEZA MKASHANGAA KWANINI WAKATI MWINGINE NAKAAA KIMYA KWA MDA MREFU BILA KUCHANGIA CHOCHOTE HUMU.
NI KWA SABABU KUMUELEZEA MUNGU MKUU WA WALOKOLE KIROHO KUNATAWALIWA NA HOFU KUU,SABABU ANAKUA ANAKUTAZAMA USO KWA USO NA UNALIHISI HILO JAMBO MOJA KWA MOJA KWENYE UBONGO WAKO WA KUTUNZA KUMBUKUMBU NA SIO JAMBO JEPESI KUMTAJA TAJA MUNGU MKUU KIUWEPESI HUKU UKIWA MWENYE DHAMBI KAMA MIMI""INAOGOFYA"""
SIJUI NITUMIE LUGHA GANI NYEPESI ILI NIELEWEKE JINSI HALI INAVYOKUA HUYU MUNGU MKUU WALOKOLE AKIKUSOGELEA AU UKIMTAJA KWA KUMAANISHA HASA KWA SISI WENYE DHAMBI TUNAOOMBA NEEMA YAKE KUU YA MILELE.
NITAJARIBU.
MOSI: UNAKUA NA UOGA WENYE AMANI.
PILI: UNAKUA NA HATIA MOYONI YA KUJIHISI HUFAI KUMTAZAMA.
TATU: UNAKUA NA FURAHA KUBWA MNO WAKATI HUO HUO.
NNE: UNAKUA NA TULIZO LA MOYO HATA KAMA HUJATUBU DHAMBI ZAKO.
LAKINI NI NEEMA TU YA MUNGU WA WALOKOLE NDIO INAKUFANYA UWEZE KUMSOGELEA.
MUNGU WA WALOKOLE NI MWANA WA MMLIKI NA NI ROHO YA MUNGU PIA.
NA KWA UTAFITI WANGU KIROHO NIMEGUNDUA KUA HUYO YESU NI ROHO YA MUNGU KATIKA UMBO LA MWANADAMU.
WATU KIMWILI WANAWEZA KUKATAA ILA MIMI KIROHO NA WATU WENGINE KIROHO WANAJUA KABISA HUYO YESU AU MWANA WA MMILIKI NI MUNGU KATIKA UMBO LA KIBINADAMU ALIYESHUKA ENZI HIZO ZA KALE.
ILIKUA USIKU MNENE NA NILIKUA NIMEJIPUMZISHA OFISINI KWANGU NIKITAFAKARI MAISHA NA VITU VINGINE
GHAFLA USINGIZI UKAKATA NA HOFU KUU YA UOGA IKANIINGIA NA NIKAHISI KWA KUONA KUA KUNA WATU WANANITAZAMA NA KUNIJADILI GIZANI NA MIMI SIWAONI ILA SIO ROHO NJEMA.
NIKAJISEMEA MOYONI HAYA MAMBO YA KUMJADILI MUNGU WA WALOKOLE HADHARANI NAONA SASA YATANIGHARIMU NA KIMOYOMOYO NIKAAMUA KUZUNGUMZA NA MUNGU WA WALOKOLE NIKATAMKA MANENO HAYA"""""""""" ""NAJINUKUUU"""""""""'
Eeeeh Mungu mkuuu
Wa walokole wateule
wako naomba unilinde
mimi mwenye dhambi
unajua nakuamini na pia
ninaamini katika mwanao
"""""""MWISHO WA KUJINUKUU""""""""""
PALE PALE NIKAPATA AMANI YA MOYO NA SAUTI ROHONI IKANIAMBIA MASIKIONI KUA MIMI NI MUNGU WA WENYE DHAMBI NA NINAWALINDA WOTE WANAOKIRI JINA LANGU NA NILIKUFA MSALABANI KWA AJILI YAO NA DAMU YANGU NI TAKASO PEKEEE.
TOKA WAKATI HUO MPAKA SASA NIKAJUA MUNGU MKUU WA WALOKOLE HANA KINYONGO NA MTU BALI ANATUHITAJI TUWAJIBIKE KWA UPANDE WETU ILI NA YEYE AWAJIBIKE KWA UPANDE WAKE KAMA MUNGU.
BASI ILE HALI YA MAUZAUZA IKATOWEKA NA AMANI IKAENDELEA ENEO LANGU LA OFISINI NILIPOKUEPO.
NB: NAZUNGUMZIA MASIKIO YA ROHONI.
SABABU KIROHO BINADAMU TUNA MWILI KAMILI USIO WA DAMU NA NYAMA.
UKITENDA MEMA MWANA WA MMLIKI (YESU) ANATABASAMU.
UKISAIDIA MASKINI KWA MOYO MKUNJUFU ANATABASAMU.
UKIOMBA KATIKA ROHO NA KWELI ANATABASAMU.
ILA UKITENDA DHAMBI UNAMUUMIZA SANA NA ANALIA MACHOZI YA DAMU.
NA HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUMUUMIZA HUYU ROHO WA MUNGU MWENYE UPENDO(YESU)
ITAENDELEA....….........!!!!!!
Hapo sawa, naona umetujibu vema,
Karibu Kwa mwendelezo,
 
INAENDELEA..........,......…!!!!
MUNGU WA WALOKOLE.
ANASEMA HIVI YEYE NI MUNGU ANAYEFUATIA WENYE DHAMBI ILI AWAKOMBOE NA HAKUNA JICHO LITAKALOMWONA ILA KUPITIA KWA MWANAE "NYOTA YA ASUBUHI""
HAKUNA KITU KINACHOTISHA KAMA KUMUSOGELEA HUYU MUNGU WA WALOKOLE KATIKA HSLI YA KIROHO AFU UKIWA NA DHAMBI.
KINACHOTISHA NI ILE HALI YA KUJIHISI HATIA MOYONI,MAANA NAFSI ITAKUSUTA NA UTAONA AIBU HATA KUMTAZAMA USONI AU KUTAZAMA MALAIKA ZAKE NA YEYE BINAFSI NA MALAIKA ZAKE NA MWANA WA MMLIKI WANANGAA KULIKO MWANGA WA JUA NA WANA MAUMBO MAKUBWA KULIKO KIPIMO CHA MAUMBO YA KIBINADAMU NA WANYAMA.
LAKINI SURA ZAO NA MAUMBO YAO NI KAMA WANADAMU NA NDIO MAANA WALIMUUMBA MTU KWA MFANO WAO,
WAO WENYEWE
WALOKOLE WANAPOSEMA MUNGU WAO NI RAFIKI NA NI PENDO HAWADANGANYI MAANA ULE UPENDO WA MUNGU WAO AKIKUSOGELEA UNAUHISI NDANI YAKO NA HATIA ZAKO ZINAKUSUTA.
NB: NINAPOSEMA MUNGU WA WALOKOLE NAMAANISHA MUNGU ROHO NA MWANA WA MMILIKI NA ROHO YA MUNGU IWAKAYO MOTO.HIVYO VYOTE NI KITU KIMOJA NDANI YA VITU VITATU.HUWEZI KUMTENGANISHA MUNGU WA WALOKOLE NA MWANAE NA ROHO KUU YA KWAKE ILIYO NDANI YA MWANAE NA MWANAE YUPO NDANI YA BABA YAKE.
MUNGU WA WALOKOLE ANA MACHO YA HURUMA NA HATA BILA KUMTAZAMA USONI TWASIRA YAKE WAGA INAWAJIA WALOKOLE VICHWANI MWAO WAKATI WANAOMBA.
NINAPOANDIKA HAYA SIO KWAMBA MIMI NI MKAMILIFU ILA NA MIMI NASHUHIDIA HUYU MUNGU MKUU WA WALOKOLE ALIVYO.
HII DUNIA VIPO VIUMBE VINGI ZAIDI YA WANADAMU NA VINAISHI,,,ILA VIUMBE HIVI VYOTE VINAJUA UWEPO WA MUNGU WA WALOKOLE.
MUNGU WA WALOKOLE ANASEMA HIVI
""""""""""""""NANUKUU""""""""""""""""""
MIMI NI MUNGU WA ISRAEL NA YAKOBO NA HAITATOKEA HATA SIKU MOJA NIKASHARE MAMLAKA YANGU NA MWINGINE.
ROHO YANGU IPO NDANI YA MWANANGU NA MWANANGU YUPO NDANI YANGU KABLA YA KUUMBWA ULIMWENGU.
JE MIMI SI MUNGU NINAESAMEHE
JE MIMI SI MUNGU NINAESAMEHE?
JE MIMI SI MUNGU NINAESAMEHE?
SITOKUHUKUMU UKITUBU
SITOKUHUKUMU UKITUBU
SITOKUHUKUMU UKITUBU
""""""""MWISHO WA KUMNUKUU"""""
NA AKISEMA MANENO HAYA MBINGU NZIMA INAKAA KIMYA.
MNAWEZA MKASHANGAA KWANINI WAKATI MWINGINE NAKAAA KIMYA KWA MDA MREFU BILA KUCHANGIA CHOCHOTE HUMU.
NI KWA SABABU KUMUELEZEA MUNGU MKUU WA WALOKOLE KIROHO KUNATAWALIWA NA HOFU KUU,SABABU ANAKUA ANAKUTAZAMA USO KWA USO NA UNALIHISI HILO JAMBO MOJA KWA MOJA KWENYE UBONGO WAKO WA KUTUNZA KUMBUKUMBU NA SIO JAMBO JEPESI KUMTAJA TAJA MUNGU MKUU KIUWEPESI HUKU UKIWA MWENYE DHAMBI KAMA MIMI""INAOGOFYA"""
SIJUI NITUMIE LUGHA GANI NYEPESI ILI NIELEWEKE JINSI HALI INAVYOKUA HUYU MUNGU MKUU WALOKOLE AKIKUSOGELEA AU UKIMTAJA KWA KUMAANISHA HASA KWA SISI WENYE DHAMBI TUNAOOMBA NEEMA YAKE KUU YA MILELE.
NITAJARIBU.
MOSI: UNAKUA NA UOGA WENYE AMANI.
PILI: UNAKUA NA HATIA MOYONI YA KUJIHISI HUFAI KUMTAZAMA.
TATU: UNAKUA NA FURAHA KUBWA MNO WAKATI HUO HUO.
NNE: UNAKUA NA TULIZO LA MOYO HATA KAMA HUJATUBU DHAMBI ZAKO.
LAKINI NI NEEMA TU YA MUNGU WA WALOKOLE NDIO INAKUFANYA UWEZE KUMSOGELEA.
MUNGU WA WALOKOLE NI MWANA WA MMLIKI NA NI ROHO YA MUNGU PIA.
NA KWA UTAFITI WANGU KIROHO NIMEGUNDUA KUA HUYO YESU NI ROHO YA MUNGU KATIKA UMBO LA MWANADAMU.
WATU KIMWILI WANAWEZA KUKATAA ILA MIMI KIROHO NA WATU WENGINE KIROHO WANAJUA KABISA HUYO YESU AU MWANA WA MMILIKI NI MUNGU KATIKA UMBO LA KIBINADAMU ALIYESHUKA ENZI HIZO ZA KALE.
ILIKUA USIKU MNENE NA NILIKUA NIMEJIPUMZISHA OFISINI KWANGU NIKITAFAKARI MAISHA NA VITU VINGINE
GHAFLA USINGIZI UKAKATA NA HOFU KUU YA UOGA IKANIINGIA NA NIKAHISI KWA KUONA KUA KUNA WATU WANANITAZAMA NA KUNIJADILI GIZANI NA MIMI SIWAONI ILA SIO ROHO NJEMA.
NIKAJISEMEA MOYONI HAYA MAMBO YA KUMJADILI MUNGU WA WALOKOLE HADHARANI NAONA SASA YATANIGHARIMU NA KIMOYOMOYO NIKAAMUA KUZUNGUMZA NA MUNGU WA WALOKOLE NIKATAMKA MANENO HAYA"""""""""" ""NAJINUKUUU"""""""""'
Eeeeh Mungu mkuuu
Wa walokole wateule
wako naomba unilinde
mimi mwenye dhambi
unajua nakuamini na pia
ninaamini katika mwanao
"""""""MWISHO WA KUJINUKUU""""""""""
PALE PALE NIKAPATA AMANI YA MOYO NA SAUTI ROHONI IKANIAMBIA MASIKIONI KUA MIMI NI MUNGU WA WENYE DHAMBI NA NINAWALINDA WOTE WANAOKIRI JINA LANGU NA NILIKUFA MSALABANI KWA AJILI YAO NA DAMU YANGU NI TAKASO PEKEEE.
TOKA WAKATI HUO MPAKA SASA NIKAJUA MUNGU MKUU WA WALOKOLE HANA KINYONGO NA MTU BALI ANATUHITAJI TUWAJIBIKE KWA UPANDE WETU ILI NA YEYE AWAJIBIKE KWA UPANDE WAKE KAMA MUNGU.
BASI ILE HALI YA MAUZAUZA IKATOWEKA NA AMANI IKAENDELEA ENEO LANGU LA OFISINI NILIPOKUEPO.
NB: NAZUNGUMZIA MASIKIO YA ROHONI.
SABABU KIROHO BINADAMU TUNA MWILI KAMILI USIO WA DAMU NA NYAMA.
UKITENDA MEMA MWANA WA MMLIKI (YESU) ANATABASAMU.
UKISAIDIA MASKINI KWA MOYO MKUNJUFU ANATABASAMU.
UKIOMBA KATIKA ROHO NA KWELI ANATABASAMU.
ILA UKITENDA DHAMBI UNAMUUMIZA SANA NA ANALIA MACHOZI YA DAMU.
NA HAKUNA KITU KIBAYA KAMA KUMUUMIZA HUYU ROHO WA MUNGU MWENYE UPENDO(YESU)
ITAENDELEA....….........!!!!!!
Duniani hii ni kweli Kuna watu sio watu, mbali na majini Ila ,
Huenda Kuna watu ni uzao wa shetani au wamifika kilele Cha juu Sana Cha vyeo,kiasi kwamba amekuwa familia ya shetani ambao shetani anakaa nao kupanga MIPANGO nao.


Na kinachonishangaza ni kuwa, WANAUJUA UKWELI WOTE,

Sababu, Kila nikicheza na hesabu za Kodi za Siri ,naona kabisa

1./Wanafanya hivo vitu sio binadam ,ni viumbe kabisa nio vinafanya, maana kinacho nishangaza yaani WANAUJUA UKWELI ULE WAKILELENI,
SI MCHAWI WALA FREEMASON ATAUWEZA UFIKIA KAMA AKIUFIKIA KUNA MAWILI

MOJA YEYE SIO KIUMBE KINACHO ITWA BINADAMU

AU

NI BINADAM ASIYE BINADAMU TENA, YAANI HUWENDA HATA MBINGU ZILISHA MTEMA ,MFANO WALE WENYE DEGREE ZA JUU 33 HUJIUWA ILI WAJE KWA KUFUFUKA TENA UPYA MARA YA PILI KSMA YESU SASA HAPO NDIO NINAHOFIA HUENDA ALIEFUFUKA NI ROHO NYINGINE AU NI NAFSI YAKE ILIOVUVIWA UOVU KIKAMILIFU,


YAANI KWAKUWA ALISHAJIUWA ,HATA AKITUBU ,KULE MBINGUNI FAILI LAKE LILISHA FUNGWA MAANA ANAESABIKA ALISHAKUFAGA , HESABU ZAKE ZIMEKWISHA , NDIO HAO HATA WAKIFUNULIWA UKWELI WANAKUWA WALISHA CHEKEWA , INASIKITISHA NA KWAKUWA TEARI WALISHA KUFA NI MALI YA SHETANI DUNIANI

YAANI MAITI ROHO ZA UMAUTI ZINAZOISHI DUNIANI ILA WAO WALISHAKUFA LIVE KABISA KIMWILI ,SASA HAO HATA WAKIGOMA HAWANA NGUVU MAANA JEHANAMU SHARTI AENDE TUU,

NDIO ,HAO UTAWAKUTA WANALALAMIKA, KWAMBA WAMECHELEWA ,NDIO MAANA WAO NA BAADHI YA WATU DUNIANI NI NGUMU KUTUMU KWASABABU YA HATUA MBAYA WALIZOFIKIA KAMA HAO WALIO KUZIMU TEEARI KULETWA DUNIANI ,


HAO HAWANA HAJA TENA YA KUTUBU, NDIO BAADHI ,UTAKUTA WAKO DUNIANI ,KUSTAREHEKA TU WADADA WANAHADHI KUMBE NI ROHO ZILIZOKUFAGA ZIMUTUMWA DUNIANI KUALIBU VIJANA KINGONO NA RIKA ZOTE,

NB
NATUMIAGA CODES ZA ROHONI , NIKICALCULATE NAWAKUTA HESABU ZINA IPA NI WAO, ROHO CHAFU,
SASA NAJIULIZAGA NI WAO LIVE DUNIANI AU NI WATOTO WAO WENYE VINA SABA VYA HIZA AU NI WATU HUENDA WANEFUNZWA,

ILA KWENYE CALCULATION INAGOMA NIKIWEKA HESABU ZA WATU KUFUNZWA INAGOMA, HESABU INALETA NI ROHO LIVE ZIKODUNIANI NA SIO WATU.
 
Unajua

Kuacha
Uzinzi na Uasherati ,
Ni sehemu ya Mkataba Wa Mungu na Mwanadamu ,
Mkataba huo ni WA damu yake,

Ndani ya Mkataba huo ndio Kuna vipengere vya kusaini,

Ikiwepo kipengere Cha uzinzi na Uasherati na kujichua

Kuna vipengere ambavyo wengi huchemka,
¹Uzinzi,
Uasherati,
Kujichuwa,
Tamaa ya macho
N k

Hivi vitu umekuwa gumzo Kwa watu kutoboa

Lakusikitisha na lakutisha ni kwamba,

Kwanza mbingu sio lelemama ,

Chengine,

Nilitengaga masaa maelfu 7 na kitu huko ,kuchunguza je wazinzi na waasherati,wenye kujichua, tamaa ya macho na ,waendekeza Ngono na dhambi zinginezo,

Ukweli ni kwama hawaingii mbinguni Huu ndio ukweli nilikuja ujuaga bila shaka ,

MBINGU NI YA WATAKATIFU KWELIKWELI,

DOWA HALITAKANYAGA MBINGU,NDIO MAANA WANAHIMIZA UWE TAYARI KWA WAKATI UFAHAO NA USIO FAA ,MAANA KIPENGA kikipigwa PARAPANDA YA UNYAKUO IKIPIGWA WATAOONDOKA NI WATAKATIFU TUU,


YESU HAKUTUKOMBOA ILI TUWE HURU KUTENDA DHAMBI ,

HAUKUWA UHURU WA WATU KUTENDA DHAMBI ,KISA KALIPA DENI ,MSALABANI Basi mtu ana waza hata akingonoks uzinzi na Uasherati sawa Yu kumbe sivuo ilivyo Huyo hukumu insmuhusu ya jehanam,

KUNA WATU WANAWAZA
KWAKUWA MUNGU ALIONA HATUWEZI KUWA WATAKATIFU DUNIANI NDIO MAANA KAJA YEYE MWENYEWE MAANA KAMA ANGETUACHIA KILA MTU AWE MTAKATIFU HAPAHAPA DUNIANI HAKUNA ATAE TOBOA,

HAYO NDIO MAWAZO YAO ,NA WENGINE HUAMINI NA KUIMBA KUWA DUNIANI HAKUNA UTAKATIFU SIO SEHEMU YA UTAKATIFU MBINGUNI NDIO PA WATAKATIFU, NA NDIO MAANA HUAMINI MTU AKIFA WAKIMUOMBEA KWA MUNGU HUMPOKEA HUKO ROHONI KUMBE HAPOKEi WALIOKUFA NA MAISHA YAO YA DHAMBI,


Wengi watatamani ,Ila wasiweze,
Sio kwamba hawataki mbingu ,Bali hawakuwezavkwakuwa hawana uwezo huo .
 
Mbingu mbingu mbingu mbingu

Kumbe KIPENGA Cha unyakuo kikipigwa, Hali itayokukuta nayo ndio hiohio itaamua wewe ni msafi unyakuliwe au mchafu,usinyakuliwe,

Ndio maana hata watumishi wanapoliongelea swala Ilo ,linawaguaa hata wao na wao kuanza kulia Kwa kuliongezea uzito basi kanisa Zima linalia na kujiombea walipokosea,


UNTAKUO HAUNA MWENYEWE SABABU HUJUI KAMA HUENDA SIKU IYO UTAANGUKA AU VIPI, HILI NI SWALA LA PATA POTEA,


NALUDIA TENA NI SWARA LA NEEMA NA REHEMA ZA MUNGU,

MAANA AKIKAA KWENYE KITI CHAKE CHA UKUMU ANABADILIKA KABISA ,ANAKAA KIHAKIMU HAKIMU HAPO NI KWAAJILI YA KUAMUWA NS KUTOWA UKUMU ,

HAPO NDIO MAAHALA AMBAPO WATU TUTATENGANA MILELE NA MILELE YAANI NO END NO END NO END,

YAHUZUNISHA KAMA MTU BADO TU UNASHAUKU NA YAULIMWENGU,
 
Hii habar ipo kwenye kitabu kinachoitwa ENOCH ama Enoki kwa kidwahili! Nilivyosoma sura za mwanzoni zimeelezea kwa undani jinsi walivyowataman binadamu na kuwashawishi kulala nao na kuzaa nao watoto, na hasira ya Mungu ikawaka juu yao na kuangamiza kabisa kizazi chao chote, nitanakili SURA YA 13 ya kitabu cha ENOCH
Sura 13


  1. Henoki akaondoka, akamwambia Azazieli, Hakuna amani kwako, hukumu kubwa imekuwa alitamka dhidi yako. Yeye atakufunga;
  2. Hautawahi kuwa na ufumbuzi wowote, wala huruma, wala maombezi, kwa sababu ya unyanyasaji uliofundisha.
  3. Na kwa sababu uliwafundisha watu kumkasirikia Mungu, kutenda dhambi na kuwatia nguvu kama hiyo.
  4. Nami nikamwendea, nikasema habari hiyo kwa wenzake wote wa uhalifu wake;
  5. Nao wakaogopa, wakamatwa na tetemeko la kutisha;
  6. Nao waliniomba niwaandike kwa ajili ya msamaha wa wao makosa; waliniomba nikitume kwenye kiti cha enzi cha Mungu wa mbinguni, kwa maana hawakutetemeka kumtaja, au hata kuangalia juu mbinguni, kwa sababu ya uhalifu mkubwa ambao walikuwa nao wamejaribiwa.
  7. Kwa hiyo niliandika maombi ya unyenyekevu juu yao, ili kuwafanya wapate kupumzika na huruma kwa kila kitu walichofanya.
  8. Kisha nikawaacha, na kuendelea na njia yangu, wakati wa kusoma ombi lao, kuelekea maji ya Danendan, ambayo ni magharibi ya Armon, na nikalala.

Hizo habar ni za kwel ndugu yangu! Amini mtaokolewa, utafiti wa huyu jamaa hauna chai kabisa, naamin ni Mungu anaongoza haya tujifunze.

Baada ya kupata kitabu cha Enoch sijaruhusiwa kukigawa kwa kila mwanadamu bila kuongozwa na Roho ya Mungu, hivyo sitakigawa popote samahanini sana[emoji1431]
Mkuu unamaanisha una kitabu cha Henoko(Enock) kwa lugha ya kiswahili?.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mkuu
Ninatamani sana kukisoma hichi kitabu kwa msingi wa kuhusishwa mara kadhaa na vitabu vingine vya biblia bila chenyewe kuwepo.
Mfano wa kitabu cha Yuda kumzungumzia Henoko kwa kile alichoandika japo hatuna hiyo reference ya kurejelea.
Yuda 1:14-15
[14]Na Henoko, mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu maelfu,
And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints,
[15]ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.
To execute judgment upon all, and to convince all that are ungodly among them of all their ungodly deeds which they have ungodly committed, and of all their hard speeches which ungodly sinners have spoken against him.

Pia unaweza kuona mbuzi wa azazeli akiongelewa bila kuwa na uelewa juu yake japo waliosoma kitabu cha Henoko wana dokeza kuwepo kwa habari ya Azazel ndani yake.
Henoko katika maandiko ya biblia anazungumziwa kuwa mtu wa saba kutoka Adamu lakini ukimfuatilia anakuwa mtu wa nane. Unashindwa kupata jibu la ni nini kipo hapo katikati.

Kuna mengi sana ya kujiuliza kumhusu Henoko na kitabu chake kwamba ni kwa nini kifichwe na madhumuni ya waliokificha ni yapi.
Baadhi husema kuwa kitabu hiki kiliondolewa na uzao wa majitu( naphelians offspring)
Wakihofia kujulikana na uzao wa wana wa Adamu maana wana vyanzo tofauti vya jeni(genetic )
Wengine wanasema kitabu kina mambo ya kichawi nk.
Ila ni shauku yangu kukisoma hichi kitabu kwa kuwa ninaamini lolote ninalotafuta katika andishi lolote ni kwa muongozo wa mtizamo wa kioo cha neno la Mungu ambalo ndilo roho.
Siihitaji theologia maana najua kile theologia ilichozitendea roho za baadhi ya watu ambao haiwezekani tena kwao kuwarejesha kwenye toba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninatamani sana kukisoma hichi kitabu kwa msingi wa kuhusishwa mara kadhaa na vitabu vingine vya biblia bila chenyewe kuwepo.
Mfano wa kitabu cha Yuda kumzungumzia Henoko kwa kile alichoandika japo hatuna hiyo reference ya kurejelea.
Yuda 1:14-15
[14]Na Henoko, mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu maelfu,
And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints,
[15]ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.
To execute judgment upon all, and to convince all that are ungodly among them of all their ungodly deeds which they have ungodly committed, and of all their hard speeches which ungodly sinners have spoken against him.

Pia unaweza kuona mbuzi wa azazeli akiongelewa bila kuwa na uelewa juu yake japo waliosoma kitabu cha Henoko wana dokeza kuwepo kwa habari ya Azazel ndani yake.
Henoko katika maandiko ya biblia anazungumziwa kuwa mtu wa saba kutoka Adamu lakini ukimfuatilia anakuwa mtu wa nane. Unashindwa kupata jibu la ni nini kipo hapo katikati.

Kuna mengi sana ya kujiuliza kumhusu Henoko na kitabu chake kwamba ni kwa nini kifichwe na madhumuni ya waliokificha ni yapi.
Baadhi husema kuwa kitabu hiki kiliondolewa na uzao wa majitu( naphelians offspring)
Wakihofia kujulikana na uzao wa wana wa Adamu maana wana vyanzo tofauti vya jeni(genetic )
Wengine wanasema kitabu kina mambo ya kichawi nk.
Ila ni shauku yangu kukisoma hichi kitabu kwa kuwa ninaamini lolote ninalotafuta katika andishi lolote ni kwa muongozo wa mtizamo wa kioo cha neno la Mungu ambalo ndilo roho.
Siihitaji theologia maana najua kile theologia ilichozitendea roho za baadhi ya watu ambao haiwezekani tena kwao kuwarejesha kwenye toba.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu

Nimekisoma kidogo na nimejua mengi na kwanini walikificha kina facts nyingi sana!Baadhi;-

1.jua ndio huzunguka Dunia kupigia mageti kumi mbili yaani matatu matatu kwa Kila pembe ya Dunia!

2.Nuhu alipokua Mzee aliandika magonjwa yote yote duniani na Tiba zake asili yaani dawa zake za mitishamba na kumpa hicho kitabu mwanae Shem yule mkubwa!

3.Elimu ya uchawi,unajimu, geography, technology,kutengeneza vioo,silaha,kufua vyuma,urembo,utabibu na n.k Wana wa adamu walifundishwa na malaika walioshushwa kutoka juu mbinguni Ili wamsaidie adam kutawala Dunia baada ya kufukizwa Bustanini!!!

4.urithi wa Nuhu kwa watoto wake ulikua hivi Shem aliopewa maeneo ya Baridiiii Sana yaani ulaya yote hiyo,Yafet akapewa maeneo ya Baridi na joto kidogo yaani vuguvugu inadhaniw kuwa ni Asia kwa ukubwa wake na Ham akapewa maeneo ya joto hasa kushi yaani Africa!
Akawaapia ikitokea mmoja wenu akaingia eneo la mwenzake mtakua na vita maisha yenu yote !!na kweli Ham aliingia eneo la Yafet ndio kukawa na vita hadi leo!!!!

5.upepo,tufani na mambo yote uyaonavyo yanayojiendesha kiasili husimamiwa na malaika katika utendaji wake!!

Mkuu ni mengi sana MENGINE nimesahau!!

Nilisomea zamani!!

Wewe google the book of Enoch japo sura ya 33 na baadhi zilinyofolewa na sijui Zina siri gani!
Nahisi pale Vatican hivyo vitabu vyote vipo!! Hata hicho Cha henoko!!
 
Ninatamani sana kukisoma hichi kitabu kwa msingi wa kuhusishwa mara kadhaa na vitabu vingine vya biblia bila chenyewe kuwepo.
Mfano wa kitabu cha Yuda kumzungumzia Henoko kwa kile alichoandika japo hatuna hiyo reference ya kurejelea.
Yuda 1:14-15
[14]Na Henoko, mtu wa saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu maelfu,
And Enoch also, the seventh from Adam, prophesied of these, saying, Behold, the Lord cometh with ten thousands of his saints,
[15]ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno magumu yote ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.
To execute judgment upon all, and to convince all that are ungodly among them of all their ungodly deeds which they have ungodly committed, and of all their hard speeches which ungodly sinners have spoken against him.

Pia unaweza kuona mbuzi wa azazeli akiongelewa bila kuwa na uelewa juu yake japo waliosoma kitabu cha Henoko wana dokeza kuwepo kwa habari ya Azazel ndani yake.
Henoko katika maandiko ya biblia anazungumziwa kuwa mtu wa saba kutoka Adamu lakini ukimfuatilia anakuwa mtu wa nane. Unashindwa kupata jibu la ni nini kipo hapo katikati.

Kuna mengi sana ya kujiuliza kumhusu Henoko na kitabu chake kwamba ni kwa nini kifichwe na madhumuni ya waliokificha ni yapi.
Baadhi husema kuwa kitabu hiki kiliondolewa na uzao wa majitu( naphelians offspring)
Wakihofia kujulikana na uzao wa wana wa Adamu maana wana vyanzo tofauti vya jeni(genetic )
Wengine wanasema kitabu kina mambo ya kichawi nk.
Ila ni shauku yangu kukisoma hichi kitabu kwa kuwa ninaamini lolote ninalotafuta katika andishi lolote ni kwa muongozo wa mtizamo wa kioo cha neno la Mungu ambalo ndilo roho.
Siihitaji theologia maana najua kile theologia ilichozitendea roho za baadhi ya watu ambao haiwezekani tena kwao kuwarejesha kwenye toba.


Sent using Jamii Forums mobile app

"Siihitaji theologia maana najua kile theologia ilichozitendea roho za baadhi ya watu ambao haiwezekani tena kwao kuwarejesha kwenye toba."

Funguka kidogo MKUU,

Kisa changu kimoja,

Nilikuwa napenda SANA kufuatilia mafundisho ya watumishi mbalimbali,wa Mungu,

Mwanzo I niliona sawa,Ila baada ya kujitambua , Kuna vitu mime viacha, baada ya kuona kumbe ni mafundisho potofu,

Mfano,

Ukizini na Uasherati ,watu hufanya Kwa kigezo Cha kuwa HAWAKO Tena chini ya sheria wako huru kwelikweli,

Yesu alifia dhambi zao kwaiyo hata wakifanya dhambi hawana hatia,


Ngao Yao inayo wapa kiburi ni hii ,eti ukiamini na kubatizwa basi unaokolewa siku Ile,


Baada ya kutafiti Sana, nikashangaa hata Mimi watumishi wa Sasa vipi,


Nilitamani kusomea theolojia lakini ,nilivunjwa nguvu Kwa jinsi navyo wanna waliosomea WENYEWE ni ovyo,
 
"Siihitaji theologia maana najua kile theologia ilichozitendea roho za baadhi ya watu ambao haiwezekani tena kwao kuwarejesha kwenye toba."

Funguka kidogo MKUU,

Kisa changu kimoja,

Nilikuwa napenda SANA kufuatilia mafundisho ya watumishi mbalimbali,wa Mungu,

Mwanzo I niliona sawa,Ila baada ya kujitambua , Kuna vitu mime viacha, baada ya kuona kumbe ni mafundisho potofu,

Mfano,

Ukizini na Uasherati ,watu hufanya Kwa kigezo Cha kuwa HAWAKO Tena chini ya sheria wako huru kwelikweli,

Yesu alifia dhambi zao kwaiyo hata wakifanya dhambi hawana hatia,


Ngao Yao inayo wapa kiburi ni hii ,eti ukiamini na kubatizwa basi unaokolewa siku Ile,


Baada ya kutafiti Sana, nikashangaa hata Mimi watumishi wa Sasa vipi,


Nilitamani kusomea theolojia lakini ,nilivunjwa nguvu Kwa jinsi navyo wanna waliosomea WENYEWE ni ovyo,
Mti ndio uzaao matunda na hivyo kila mti huzaa kwa jinsi yake.
Ukikata matawi ya mti na kuacha shina lake basi mti huo utamea tena matawi yatakayozaa matunda ya asili ya mti wenyewe.
Kuzaliwa upya katika kiroho ni kungolewa shida katika asili yake na kupandikizwa katika asili ya shina jingine ambalo ni roho wa Kristo.
Matunda yatakuwa yapatanayo na toba kwa mhusika.
Ukiona matunda bado ni ya asili katika mwili basi hilo ni jawabu tosha kuwa nafsi hiyo haijawahi kumbolewa kutoka katika utumwa wa dhambi japo inaweza kujinenea yenyewe vinginevyo.
Aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi.
Hatendi dhambi kwa sababu sii asili yake kufanya hayo. Na kama kutakuwepo na makosa maana yapo jua halita kuchwa bila kutengeneza.
Dini ina kawaida ya mazoea ya maungamo yasiyomaanisha maana anaeungama hajawahi kuzaliwa upya kwa roho wa Mungu bali ana yale maarifa(ujuzi) na hata nafunuo makuu kumhusu Mungu kiakili.
Maandiko yanakiri kuwa wana ujuzi tu na sii roho wa kristo
Waebrania 10:26
[26]Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi;
For if we sin wilfully after that we have received the knowledge of the truth, there remaineth no more sacrifice for sins,

Hata hivyo wanauzungumziwa katika waebrania sita ni watheologia(dini) na sii mtu aliyezaliwa upya katika ufalme wa Mungu.
Waebrania 6:4-6
[4]Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu,
For it is impossible for those who were once enlightened, and have tasted of the heavenly gift, and were made partakers of the Holy Ghost,
[5]na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo,
And have tasted the good word of God, and the powers of the world to come,
[6]wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
If they shall fall away, to renew them again unto repentance; seeing they crucify to themselves the Son of God afresh, and put him to an open shame.

Aliyezaliwa upya katika ufalme maandiko yanakiri kwake kutowezekana kwa nguvu ya aina yeyote kumpokonya mikononi mwa Yesu ila mmoja tu yaani Yuda ili andiko litimie.
Yohana 17:12
[12]Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie.
While I was with them in the world, I kept them in thy name: those that thou gavest me I have kept, and none of them is lost, but the son of perdition; that the scripture might be fulfilled.

Hivyo kusoma misa(sala) bila kumaanisha toba kibinafsi kwa kughairi mabaya na keuzo la dhati ni sawa na kupayuka kufanywako na mshika dini yeyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wokovu unahatua tatu. Na hatua zote znatakiwa kupitiwa ili mtu hakika na kweli awe
ameokoka. Kuna wokovu wa mambo a nyuma-kuokoka kutoka katika dhambi, wokovu wakati
uliopo – ukombozi kutoka katika nguvu za dhambi na wokovu kwa yajayo – ukombozi kutoka
katika uwepo wa dhambi.
 
Mti ndio uzaao matunda na hivyo kila mti huzaa kwa jinsi yake.
Ukikata matawi ya mti na kuacha shina lake basi mti huo utamea tena matawi yatakayozaa matunda ya asili ya mti wenyewe.
Kuzaliwa upya katika kiroho ni kungolewa shida katika asili yake na kupandikizwa katika asili ya shina jingine ambalo ni roho wa Kristo.
Matunda yatakuwa yapatanayo na toba kwa mhusika.
Ukiona matunda bado ni ya asili katika mwili basi hilo ni jawabu tosha kuwa nafsi hiyo haijawahi kumbolewa kutoka katika utumwa wa dhambi japo inaweza kujinenea yenyewe vinginevyo.
Aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi.
Hatendi dhambi kwa sababu sii asili yake kufanya hayo. Na kama kutakuwepo na makosa maana yapo jua halita kuchwa bila kutengeneza.
Dini ina kawaida ya mazoea ya maungamo yasiyomaanisha maana anaeungama hajawahi kuzaliwa upya kwa roho wa Mungu bali ana yale maarifa(ujuzi) na hata nafunuo makuu kumhusu Mungu kiakili.
Maandiko yanakiri kuwa wana ujuzi tu na sii roho wa kristo
Waebrania 10:26
[26]Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi;
For if we sin wilfully after that we have received the knowledge of the truth, there remaineth no more sacrifice for sins,

Hata hivyo wanauzungumziwa katika waebrania sita ni watheologia(dini) na sii mtu aliyezaliwa upya katika ufalme wa Mungu.
Waebrania 6:4-6
[4]Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu,
For it is impossible for those who were once enlightened, and have tasted of the heavenly gift, and were made partakers of the Holy Ghost,
[5]na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo,
And have tasted the good word of God, and the powers of the world to come,
[6]wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
If they shall fall away, to renew them again unto repentance; seeing they crucify to themselves the Son of God afresh, and put him to an open shame.

Aliyezaliwa upya katika ufalme maandiko yanakiri kwake kutowezekana kwa nguvu ya aina yeyote kumpokonya mikononi mwa Yesu ila mmoja tu yaani Yuda ili andiko litimie.
Yohana 17:12
[12]Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie.
While I was with them in the world, I kept them in thy name: those that thou gavest me I have kept, and none of them is lost, but the son of perdition; that the scripture might be fulfilled.

Hivyo kusoma misa(sala) bila kumaanisha toba kibinafsi kwa kughairi mabaya na keuzo la dhati ni sawa na kupayuka kufanywako na mshika dini yeyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda hii
 
Kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 2019 nilikua kwenye research binafsi ya mambo yasiyoonekana kwa macho ya kawaida. Nimefanya mahojiano na watu wa fani hii,kuanzia watu wa kawaida mpaka viongozi wa fani hii katika nyanja mbalimbali.

Mambo yasiyoonekana kwa macho,watu wanaita""UCHAWI""na ni fani yenye kuchanganya kidogo sababu inajumuisha imani za dini za wanadamu na imani za dini zisizo za wanadamu. Pia inajumuisha watu ambao wanaitwa bin-adamu na inajumuisha watu wale wengine ambao hawana undugu na hawa watu wanaoitwa bin-adam.Nielezee kidogo hao watu wengine,nimewaita watu sababu wana maumbo kama binadamu ila vimo vyao vipo tofauti na wapo katika jamii mbili tofauti.

Kuna ile jamii ya wanaokaa angani ambapo bila ruhusa yao huwezi kuwafikia,na kuna ile jamii ambayo hata bila ruhusa yao unaweza kuwafikia na wanakaa chini ya bahari au mito au maziwa makubwa(Lakes).Ngoja nifafanue kidogo jamii za hawa watu.

Jamii ya watu wa angani inashuka sana duniani na sijui waga wanakuja kufanya nini ila mara nyingi wanajishugulisha na wale binadamu mnaowaita walokole,na ili uzungumze nao inategemea umekutana nao katika hali gani kwenye ulimwengu usio wazi kwa macho ya kawaida,kiasili sio waongeaji sana ila sura zao zinaakisi mwanga kwa namna ya tofauti na unaweza kujiuliza wanavaa mavazi gani, kwa mavazi wanavaa hizi nguo mnaita kanzu ila ni bwanga afu ndefu mpaka miguuni na ni nyeupe.

Jamii ile nyingine ya watu wasio na asili na binadamu ila wamefanana na binadamu kimuonekano lakini wana vimo vikubwa ni ile inayokaa chini ya bahari,maziwa(Lakes) na mito.Hii jamii wao ni wazungumzaji sana afu miili yao haiakisi mwanga na wanakuja sana duniani na unaweza kuwaona bila ridhaa yao kwa kufuata utaratibu wanaokupa wafuasi wao au wanajimu wa nyota mbao ni binadamu wa kawaida,na mavazi yao ni kanzu pia ila za rangi mbalimbali zaidi ya nyeupe.Na watu wanaojishugulisha nao sana ni wale watu ambao nyinyi binadamu mnawaita wanajimu na washirikina au wachawi ila inategemea ushirikina na uchawi wa wapi maana dunia ni kubwa kutoka bara moja mpaka lingine na ushirikina au uchawi unatofautiana.

Binadamu kuna vitu huwezi kuviona mpaka either uwe mshirika wa jamii mojawapo kati ya jamii hizo mbili nilizokutajia hapo juu.Lengo langu leo ni kuzungumzia mkuu wa jamii ile ya wale watu wa angani ambao wanapenda kushirikiana na walokole au watu wa kulia lia,maana huyo mkuu ana vitu vya tofauti kidogo ndio maana nikasema pale juu kua "Mungu wa walokole ana nguvu sana".

Katika utafiti wangu ndani ya ulimwengu usio,onekana inaonyesha kua walokole wanapendelewa sana na huyo mkuu wao,maana kuna vitu anawapa vya ziada wao hawavitumii sijui kwanini niligundua hilo huko mbele katika utafiti wangu.Nimemuita Mkuu au Mungu wa walokole sababu kila walokole wanapoanza kulialia""Kusali""wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wengine wana mabawa na wengine hawana wakitokea kwa mkuu wa walokole ama nilivyokuja kujua baadae huko huko angani wanawajia na wanawazunguka hawaondoki na lile eneo husika linakua na mwanga unaweza kupofusha macho (Ni kama mwanga wa jua au radi au shoti za umeme zile cheche) ila walokole waga hawawaoni nadhani waga wanalia(Kusali) kwa imani zaidi namaanisha meditation.

Nilisema hapo juu kua mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana nguvu sana maana wale walokole baada ya kulia kwa mkuu wao huwezi kuwasogelea katika hali ya nje ya ubinadamu au katika hali ya ushirika na jamii nyingine za kiroho zaidi ya mkuu wao na wale watu wa kuakisi mwanga.Kila mlokole anakua na yule mtu wa kuakisi mwanga na yule mtu haongei ila macho yake ni ishara tosha kua usimsogelee mlokole aliyenae.Cha ajabu wengi ya walokole hao katika hali ya ubinadamu wa kawaida hawana habari yoyote ile unawakuta sokoni au kwenye daladala au barabarani au ofisini au kwenye nyumba zao za ibada.

Sasa ikabidi nifanye uchunguzi juu ya huyo mkuu (Mungu) wa walokole,yupoje na ni nani, wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wanaishi nae vipi maana wana ushirika nae.Sababu ukitoka nje ya mwili kupitia(meditation) huwezi kuwasogelea hawa watu wa jamii ya kuakisi mwanga au hao walokole.Nikajikuta napata hamu ya kuchunguza mambo ya ulimwengu usionekana na hasa jamii za wale watu warefu wa angani na walokole hasa wale wa kulialia sisi binadamu tunaita kusali ila wao walokole wanaita kunena kwa lugha,na ni lugha ambayo inawafanya wawasiliane na wale watu warefu wa kuakisi mwanga.

Udadisi wangu ulijikita katika mambo makuu matano(5)
Mosi: Kwanini walokole wana uhusiano na wale watu wa kuakisi mwanga wanaotokea kule juu kusikofikika hata ukitoka nje ya mwili na kusafiri nje ya mzunguko wa sayari za kawaida kwa maelekezo ya wanajimu wa nyota?

Pili: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana uhusiano wa moja kwa moja na wale watu wa kuakisi mwanga na sio ile jamii ya chini ya bahari?

Tatu: Kwanini katika jamii za nje ya mwanadamu au mtu, hasa ile jamii ya watu wa kuakisi mwanga ina nguvu sana kuliko jamii za wale watu wanaokaa chini ya bahari na wasioakisi mwanga wa jua na mwezi?

Nne: Mkuu wa walokole kwanini yeye na wale watu wa kuakisi mwanga,hawana ukaribu na Mkuu wa wale watu wa jamii inayokaa baharini na chini ya maziwa na mito(Maana nayo ina mkuu wake) na hataki wafuasi wake wa dini yake wawe na ukaribu na walokole kwa namna yoyote ile?

Tano: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao pamoja na nguvu zoote ila hawapi utajiri wa kibinadamu hao walokole ila ukitoka nje ya mwili hawa walokole wana nguvu sana mpaka uñashindwa kuwaelezea labda uone kwa macho.Tofauti na mkuu wa ile jamii nyingine ambayo karibia robo ya wafuasi wake wana access ya kupata mali za dunia hii tunayoishi binadamu wote.

Basi nikajikuta naanza utafiti kufuatilia nguvu za mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao.Ni nani na yupoje na anaishi wapi..Utafiti wangu ukanipelekea kuja na kichwa cha habari hapo juu kua Mungu wa walokole ana nguvu sana maana nilishuhudia mengi kumuhusu huyu Mungu wa hawa watu wa kulialia mnawaitaga walokole.

Safari yangu ya utafiti ilinikutanisha na wazee wa kibantu,wanajimu,viongozi wa dini za wanadamu zinazoonekana na zisizoonekana na watu wa jamii zile za nje ya ulimwengu wa mwanadamu.

ITAENDELEA
...Hawa wanaoshi Chini ya Bahati, Maziwa na Moto, hawapumui ? Hawahitaji hewa ? Wanaishije huko Chini ?

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom