Imani, Imani, Imani.
Naona imetajwa Sana ,kwenye mada,
Mimi nimepokea ,ujumbe wa kivuvio wa ki Mungu ,
Ninaita uvuvio ,sababu haya nayo yahandika ,sikupanga na hata Mimi sikuyajua ,
Nimeshangaa ,maana hata Mimi najifunza pia Kwa nilichokiandika hapa mwenyewe, nimeandika kitu ambacho hata Mimi nilikuwa najiuliza,
Kuwa baraka zinatokaje rohoni kuja mwilini
Kiufupi ,
Rohoni ni Imani
Mwilini ni matendo
Rohoni ni Ulimwengu wa Imani
Mwilini ni ulimwengu wa matendo,
,
Ni kama Duniani yaani mwilini tumekuja kutenda Mapenzi ya Mungu ,matakwa yake sio yetu ,
Details;-
Unapozungumzia Imani ,unazungumzia matendo,
Maana ni pacha,Imani na matendo vinamuungano,
Hivyo,
Unaposema walokole wanalindwa Kwa Imani, hio kiroho maana Imani HAIONEKANIKI ni ya kirohoni, Sasa Kwa lugha nyingine tunasema ,Katika mwili wanalindwa Kwa matendo,
Kiroho= Ili ulindwe kiroho inategemea Imani ,maana Imani ni ya Rohoni na ndio Nguvu ya Ulinzi rohoni ni Imani,
Kimwili=Ili ulindwe mwilini Ulimwengu wa nyama unaoonekana ,maana na huku mwilini tuna mahadui ,wakimwili ,Tena Kuna wengine wametika rohoni na kutufuata hata mwilini yaani Ulimwengu wetu wa Mwili ndio hao majini ,Sasa Nguvu ya Ulinzi huku mwilini ni matendo. Maana matendo ni ya huku mwilini na ndio Kinga Yako huku mwilini ,
Yaani
Ili uwe na ulinzi Roho ulinzi huo unaitegemea uwepo wa Imani,ambayo nayo Imani ya Rohoni inaitegemea Matendo ya huku mwilini Ili iwe hai,
Maana Imani ni ya kiroho eneo lake linakaa rohoni na ndio mazingira yake ,na makazi yake Imani ni rohoni ,Ila yenyewe matendo mazingira yake na makazi yake ni mwilini ,
Sasa Ili kule rohoni imani ana mtegemea matendo wa huku mwilini kama nguvu ya uhai wake kule rohoni ,
Ili Huyo Imani awepo kule rohoni ,awe na uhai,
Ni Kwa wewe kutenda matendo huku mwilini kule rohoni Imani anakuwa hai ,
Maana OKSIJENI YA UHAI WA IMANI HUKO ROHONI NI MATENDO YA HUKU MWILINI,MAANA IMANI KULE ROHONI HANA UHAI WALA UJANJA KAMA HUKU MWILINI HAKUNA MATENDO BASI KULE ROHONI NDIO UNA MUHUWA IMANI NA KUMKATIA HEWA YAKE YA ROHONI NI MATENDO YA HUKU MWILINI NDICHO IMANI ANACHOBKITEGEMEA, BILA HEWA YAKE AMBAYO NDIO MATENDO HUKU MWILINI KULE ROHONI IMANI ANAKUFA,
NA OKSIJENI YA UHAI WA MATENDO HUKU MWILINI INATEGEMEA UHAI WA KULE ROHONI YAANI KUWA NA IMANI ROHONI ,
MATENDO HUKU KATIKA MWILI SIKITU YATAKUWA SAWA NA MAHITI YAANI HAYAHESABIKI NA MATENDO HAYO YATAKUWA HAYANA UHAI KAMA HAYANA UHAI YAANI KAMA HAYAENDANI NA IMANI TULIOONGOZWA KUIFUATA, UKIKOSA IMANI ROHONI,MATENDO HAYO NI MFU HUKU MWILINI ,
MFANO UNAPAMBANA KATIKA MWILI KUWA MWANASAYANSI MKUBWA KUJA NA TEKNOLOJIA KUBWA HALAFU ,IMANI YA KUWA HIVO HUNA YAANI,MAANA IMANI KULE ROHONI IMEKUFA ROHONI HIVYO HUKU MWILINI MBIO ZOTE ZA KUFANYA MAKUBWA ZINAPATA UPINZANI WA KIROHO MAANA ULINZI WA HILO UNALO LIPAMBANIA HUKU MWILINI ,
LIMEKOSA ULINZI WA KULE ROHONI,
JAPO HUO NI MFANO TU WAKIMWILI ,
SASA ILI UFANIKISHE AU UFANIKIWE ,LAZIMA UWE NA IMANI AMBAYO ITAISAPOTI IMANI YAKO HUKO ROHONI YA KUJA KUFANIKIWA HUKU MWILINI ILI MATENDO YAKO YA HUKU MWILINI YALINDWE, MAANA ROHONI UNA UZIMA WA HAYO MATENDO UNAYO YAFANYA KATIKA MWILI AMBAO NGUVU YA UZIMA WA MATENDO HAYO NI ILE IMANI,
IMANI YAKO INATAKIWA ISAPOTIWE NA IMANI KUU
AMBAYO NDIO UZIMA WA IMANI ULIONAYO,
YAANI , NENO LA MUNGU INA NGUVU YA KUZALISHA IMANI. MAANA CHANZO CHA IMANI YETU NI NENO LA MUNGU.
Kiroho= Uhai wa Imani ni matendo,Ili Imani ihendelee kuwepo rohoni ,Ili huko Rohoni uendelehe kulindwa ,Huyo Imani anamtegemea matendo huku Katika mwili,Sasa kule rohoni ndio unalindwa,
Mwilini= Ili ulindwe mwilini ,Ina tegemea Matendo, maana matendo yanaonekana hivyo matendo Yako mwilini , na utachotenda kitategemea na ufahamu wa Imani inakuelekeza ufanye Nini ,Ili nayo hayo matendo huku mwilini yasife ,ukakosa ulinzi na kibali Cha Mungu ,
Uhai wa matendo mwilini inategemea uhai wa Imani rohoni ,na uhai wa Imani rohoni unategemea uhai wa matendo mwilini , na
Uhai wa ulinzi rohoni unategemea Imani Yako rohoni,na uhai wa ulinzi mwilini unategemea na matendo Yako mwilini,Ili ulinzi uwepo,
Sasa ,
Kwenye Upande wa Baraka,
Nimepokea mafunuo hapa ni hivi
Imani =roho
Matendo=mwili
Imani= Kugundia Teknolojia kubwa,hio unaipokea rohoni ,Sasa Ili hio Imani ije mwilini,
Inaitegemea Matendo ya Mwilini ya kiugunduzi wa Teknolojia mpya,
Matendo= Matendo ya utafiti wa kiugunduzi wa Teknolojia mpya,
(
Mfano,Unapokea Wazo LA kiugunduzi ,litalokushugulisha kulitafiti)
Unajishugurisha na Kazi za utafiti wa kiugunduzi wa Teknolojia mpya,
Career:TECHNOLOGY DEVELOPER,
FOCUS: IWE "RESEARCH AND DEVELOPMENT SCIENTIST OR TECHNOLOGIST "
Sasa ,baraka ya Mungu ,ni sawa na kibari Cha Mungu ,Katika utafiti huo MUNGU ANAACHILIA WAZO JIPYA LA KIUTAFITI AMBALO SIO TU JITIADA ZAKO ,
Au Anatanguliza Wazo ambalo utalishughulikia KIUTAFITI,
MAANA HAKUNA ANAESEMA LINIJIE WAZO FURANI ,WAZO LOLOTE JIPYA LINAKUJA SIO KWA MAAMUZI YA MTU ,
,WAZO PIA NI ROHO NDIO MAANA MTU ACHAGUI WAZO ,ILA WAZO HUJA LENYEWE TU,
NA MUNGU KWA KUWA NI ROHO HUJIBU KIROHO HIVYO NJIA NZURI YA BARAKA HIZO LINAPITA KWENYE WAZO,
IMANI= ROHONI; UNAPOKEA, WAZO AU MAWAZO YA KITAJIRI
MATENDO= MWILINI; MATENDO YANAYOHUSU KUUTAFITA UTAJIRI,MATENDO YA KUTENDEA WAZO LILE LA KITAJIRI,
UKIISHI KIMwiLI ,UTAISHI KUTESTI KILA WAZO ,ILA UKIISHI KIROHO UTAPOKEA WAZO TOKA KWA MUNGU NA YAKUPASAYO KUFANYA KATIKA MWILI YAANI MATENDO MWILINI.
NGOJA NIIDHIE HAPO ,
Tukumbuke,
Chanzo Cha kuumba Imani zetu ni Neno lake ,