Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Woow nimeipenda hii
 
Ubarikiwe
 
MUNGU MKUU WA WALOKOLE ANASEMA YEYE NI MWENYE HAKI TUBUNI HAPENDI UNAFIKI NA KUJIHESABIA HAKI NA KUKATAA WOKOVU....
NILIJARIBU KUMKIMBIA BAADA YA KUANDIKA MAKALA HII NA KURUDIA MAISHA YA KIDUNIA SABABU NILIOGOPA KUBEBA JUKUMU HILI ZITO ILA AMENIAMBIA JUKUMU LANGU NI MOJA TU KUWAELEZEA WATU UKUU WAKE NIPENDE NISIPENDE...!!!
NILIKUA KAMA YONA AMENIAMBIA ILA USIKU WA LEO UMEBADILISHA MAISHA YANGU...SABABU MZEE WANGU MMOJA ALIWEKA NADHIRI KWAKE......NA YEYE HAVUNJI AHADI.
MUNGU MKUU WA WALOKOLE AKIKUCHAGUA BASI UJUE AMEKUCHAGUA HUWEZI KUMKIMBIA AU KUJIFICHA...
TUTUBU MAANA BAADA YA KIFO NI HUKUMU.......
MM BINAFSI NIMETUBU NA AMENIAMBIA NIJISAMEHE MIMI KWANZA AFU NA YEYE ATANISAMEHE.....
TUTUBU NA TUISHI CHINI YA NEEMA ZAKE.
 
Tunamshukuru Mungu Kwa ajili yako....karibu Tena zizini
 
Hata mie naanza kutambua hilo maana Kanisa langu Katoliki hapa limeanza nalo kuwatoa mapepo watu na kuwaponya wagonjwa nje ya mahospitali eti kwa nguvu ya Mungu. Pia hata tafsiri ya majina sasa imeelekezwa kilokole.
 
Dah uzi huu bhaana eti mungu wa walokole dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanajimu wote waongo tu na hata hao waloloke nao waongo tu labda dini ya wachawi
 
Nimesoma mwanza mwisho nimevutiwa na kujiona wa thamani mlokole mimi!!! Vipi kitabu bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…