Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Hakuna cha mlokole wala nani.

Mnayajua madhara lkn ya kufanya Tahajudi(meditation) ama mnaiga tu tamaduni za watu.

Haya mambo hayakuwai kuwepo Africa kabla ya ujio wa ukolon.

Ulokole ni kitawi cha ukristo, pia uislam kama ulivyo tawi la ukatoric, kiujumla hizi dini zinamilikiwa na kiumbe kimoja ambacho viongoz wenu wa dini hawatak kuwaambien ukweli.

Chunguza vizuri hao viumbe mnaowaona mara nyingi huakisi mionekano ya watu weupe, wazungu, watu wa Asia lkn hutoona viumbe hao wakiakisi mionekano ya watu weusi kwanini?.

Kama walivyowaaminisha Yesu ni mzungu+mtu mweupe, pia manabii na mitume walikuwa weupe the same way hata huko mbinguni wanawaaminisha kuna malaika weupe, kwanini hakuna mweusi?

Majibu utayapata ni kuwa, mtu mweusi/muafrika kabla hajatawaliwa kimwili, alitawaliwa kiroho na viumbe mashetani ambao wako wa kila aina lkn wote RACE YAO NI hao hao watu weupe(aliens), ndipo utawala kimwili wa watu weupe ukafuata afrika na kutuaminisha kuhusu biblia&quran ikihusisha wahusika wa maeneo yao tuu(hii ni akisi ya viumbe vilivyotawala watu weusi kiroho)

Nisiwachoshe kiufupi yule mnaemuita Mungu ndie yule yule shetan anaetawala dunia kupitia mifumo ya kiimani(dini zote), kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kiimani anatawala kupitia washirika wake ama wafuasi wake wa cheo kidogo(mashetani wadogo) ambao ndio wawakilishi wa dini ama Miungu inayotumika kuabudiwa na dini zenu, ndiomaana dini zote zina majina tofaut tofaut ya Miungu wao na stori tofaut lkn nyuma ya pazia wanamtumikia Kiumbe mmoja, yaani nyuma ya huyo mnaemuita Yesu+Yehova, Allah, kuna master ambaye ndie shetan anawaongoza hao Miungu wenu jinsi ya kuwacontrol kiroho.

Majini, malaika hawa wote ni majeshi ya kiroho ambayo hufanya kazi kulingana na imani na dini fulani.

Majeshi wa dini ya ukristo ni tofaut na majeshi wa dini ya uislam the same way kwa wabudha, waabudu mizimu, marastafali, na washirikina.

Majeshi yote hayo hutofautiana viwango vya nguvu na uwezo wa kumtumikia mwanadamu.

Majeshi hao wote wanatoka ktk uzao mmoja wa Aliens akiwepo shetan, ambapo pia majeshi hawa hawa kimwili ndio waliosababisha mchafuko wa Jamii za kibinadamu kwa kuleta Utofauti wa Rangi.

Hapo mwanzo Rangi ya watu ilikuwa ni moja tu, lkn baada ya ujio wa Aliens(mashetan) kuzaa na hawa watu wa Asili(watu weusi) ndipo ukaibuka uzao chotara wa hao watu weupe, pia uzao wa wanyawama machotara, pia hapa ndipo likaibuka zao jipya la mashetan chotara yaan mapepo ambao ndio hao majini na vibwengo,

Haya matukuio yalitokea hapa hapa dunian na kuna shahidi nyingi kihistoria na kibaolojia, pia shahid za nakala za matukio haya zipo.

Kwakumalizia, wale mnaoita malaika ktk ulokole ni Uzao wa mashetan ambao kinuru hujiita malaika, the same way kwa wale majin wanaojihusisha na ukatoric pia uislam,

Mungu wa dunia hii si mmoja bali wako wengii sana kila dini ina Mungu, na Miungu wote hawa wako chini ya Shetan mmoja wa Alien waliofukuzwa ktk Ulimwengu wa Viumbe vya rohon ambako ndiko hata mtu mweusi asili yake yatoka huko.

Maajabu Hizi habari hautofundishwa ktk makanisa wala misikiti maana hawa wote wanadini ndio walioiba story hizi wakaziEdit na kuunda mifumo ya dini zao za kipuuzi zinazomuabudu shetan kwa kificho.

Amkeni jamani dini zote ni Ujinga na uongo mtupu
Dini ni mfumo wa maisha kwa jamii husika ambapo kimsingi kila jamii ina mfumo wa kimapokeo.
Lakini maisha ya utakatifu na wokovu kuzishinda hizi dini zote ndio uhusiano wa mtu binafsi na Mungu mtakatifu muumba mbingu na nchi aliye juu ya miungu mingine yote iliyoinuliwa na mapokeo ya wanadamu.
Katika manabii wote wa Mungu mtakatifu aliye juu sana ambao neno la Mungu wa biblia limepitia kwao hakuna hata mmoja anaetokana na dini(dhehebu) lolote lile katika agano la kale na jipya.
Hata mwana wa mmiliki(Yesu) aliwashutumu wayahudi kwa kuzihalifu sheria na amri za muumba kwa mapokeo yaliyo maagizo ya wazee wakidhani ni NENO.
Kwani wewe mkuu ni dini gani?.
 
Kumbe ukizaliwa maisha bora uchawi haukupati? Kwahiyo uchawi nguvu zake zipo kwa maskini tu? Ndo maana tunasema story za ushirikia zinatamalaki kwenye jamaa za watu wajinga na maskini. Ileje hata mtu akiumwa Malaria anasema karogwa, Masaki hata mtu akipooza anaenda hospital anajua anaweza apate matibabu au lah. Vivyo hivyo bongo na Ulaya, huu utopolo mnaamini huko huko kwenye nchi maskini, mbele watu washaachana na huu ujinga wa kuamini kiboya si habari za mungu au ushirikina.
Wacha weeeeeee, umeandika kwa mbwembwe kweli ila umeandika kitu cha hovyo sana. Eti maskini ndio wanaamini uchawi. Kupinga kwako hakutufundishi wala hakutuaminishi kuwa hakuna uchawi. Nijuacho, wengi wanaopinga na wanaolazimisha wanadamu kuwa hakuna Mungu wala uchawi huwa ni either wachawi au maagent wa shetani. Kizazi hiki, hakuna mtu aliye serious na akimaanisha toka moyoni mwake kwamba hakuna Mungu wala uchawi akawa "neutral".

Kwenye uzi huu, hizi comments zako ni kujifurahisha tu wala hatukufuatilii kwani wote tuna uhakika na uwepo tena pasi za shaka wa Mungu wa walokole.

Hao sijui wa masaki sijui kama unawajua wote huwa tunawaombea na wanaanguka sana mapepo. Tunao wazungu wengi tena matajiri tu huko kwao huja kuhubiri Injili huku vijijini. Wao wana uchawi wao wanauremba na kupita "white magic" so dogo tulia na acha mbwembwe.
 
Huo utafiti naona bado unakusanya data maana bado hujakamilika, kuna mapungufu mengi sana kwenye tafiti yako
Kwake unajitosheleza na sidhani kama kuna tafiti iliyokamilika 100 na haina "errors" na ndio maana toka enzi na enzi watu wanaendelea kutafiti. Kwake inatosha, sasa hizo "errors" nenda na wewe kutafiti mkuu.
 
Azazel ni angel of desert au angel of death ambae aliwafundisha wanajimu wa mwanzo duniani uchawi wa kubashiri na kuua.Wanajimu wanamuona kama nabii wao na katika ukrsto ametajwa kama pepo wa jangwani alikofungiwa kama adhabu yake.Na katika theory za waroma anaitwa Mungu wa vifo Azazel.Na katika uislamu ametajwa kama malaika wa Mungu allah anayehusika na vifo,kwa kiarabu anaitwa""Azra il au Izra il"""Lakini kutokana na uhasama wa jadi kati ya wayahudi waebrania (Waisrael) na waarabu wenye itikadi kali,basi waarabu humuita huyo Azazel ""Israel""ili kuwakebehi wayahudi.....Huyo ndio Azazel muasisi wa uchawi na uganga wa wanajimu duniani.
Kwenye Biblia Azazel hakutajwa kama malaika muasi na kimsingi, Biblia haitifindishi sana kuhusu Malaika ila inatufundisha kuhusu uhusiano wetu na Mungu. Kibiblia Azazel ina maana ya mnyama aliyekuwa anatumika kama ishara ya toba kwa wana Israel. Mnyama huyu alikuwa anawekewa mikono na makuhani ikimaanisha anabebeshwa dhambi za wana Israel kisha huruhusiwa/pelekea jangwani akatange tangu huko jangwani akibeba dhambi za Waisraeli.

Tendo hili lilikuwa ni fumbo la ujio wa Yesu kwani lilithibitika mara baada ya ubatizo wa Yohana Mbatizaji pale Jordani. Yohana alipomaliza Yesu alimuwekea mkono wake na baada ya hapo, Yesu alikwenda kuzunguka jangwani kwa siku 40 akijaribiwa na shetani. Tutaanzisha uzi wake katika hili.

Azazel kama Pepo tunaiona Jina hilo kwenye kitabu cha Henoko ambacho kimsingi hakipo kwenye Biblia. Yeye ndio anataja Majina ya wale malaika waasi akina Azael, Cucubiel, Baraquel n.k na anaeleza hao ndio waliwafundisha wanadamu mambo mengi kama Uchawi na unajimu. Hawa ndio wamefungwa chini ya mto "Euphrat" na watafunguliwa kidogo kwenye wakati wa mwisho (Kama inavyoelezwa kwenye Ufunuo wa Yohana) wakati mto huo ukiwa umekauka(Kuna research nyingi kule you tube kuonesha kukauka kwa mto huo)
 
Wacha weeeeeee, umeandika kwa mbwembwe kweli ila umeandika kitu cha hovyo sana. Eti maskini ndio wanaamini uchawi. Kupinga kwako hakutufundishi wala hakutuaminishi kuwa hakuna uchawi. Nijuacho, wengi wanaopinga na wanaolazimisha wanadamu kuwa hakuna Mungu wala uchawi huwa ni either wachawi au maagent wa shetani. Kizazi hiki, hakuna mtu aliye serious na akimaanisha toka moyoni mwake kwamba hakuna Mungu wala uchawi akawa "neutral".

Kwenye uzi huu, hizi comments zako ni kujifurahisha tu wala hatukufuatilii kwani wote tuna uhakika na uwepo tena pasi za shaka wa Mungu wa walokole.

Hao sijui wa masaki sijui kama unawajua wote huwa tunawaombea na wanaanguka sana mapepo. Tunao wazungu wengi tena matajiri tu huko kwao huja kuhubiri Injili huku vijijini. Wao wana uchawi wao wanauremba na kupita "white magic" so dogo tulia na acha mbwembwe.

🤣 🤣 🤣 eti tunawaombea wanaanguka mapepo nimegundua najibishana na mgonjwa wa akili. Carry on.
 
Hakuna cha mlokole wala nani.

Mnayajua madhara lkn ya kufanya Tahajudi(meditation) ama mnaiga tu tamaduni za watu.

Haya mambo hayakuwai kuwepo Africa kabla ya ujio wa ukolon.

Ulokole ni kitawi cha ukristo, pia uislam kama ulivyo tawi la ukatoric, kiujumla hizi dini zinamilikiwa na kiumbe kimoja ambacho viongoz wenu wa dini hawatak kuwaambien ukweli.

Chunguza vizuri hao viumbe mnaowaona mara nyingi huakisi mionekano ya watu weupe, wazungu, watu wa Asia lkn hutoona viumbe hao wakiakisi mionekano ya watu weusi kwanini?.

Kama walivyowaaminisha Yesu ni mzungu+mtu mweupe, pia manabii na mitume walikuwa weupe the same way hata huko mbinguni wanawaaminisha kuna malaika weupe, kwanini hakuna mweusi?

Majibu utayapata ni kuwa, mtu mweusi/muafrika kabla hajatawaliwa kimwili, alitawaliwa kiroho na viumbe mashetani ambao wako wa kila aina lkn wote RACE YAO NI hao hao watu weupe(aliens), ndipo utawala kimwili wa watu weupe ukafuata afrika na kutuaminisha kuhusu biblia&quran ikihusisha wahusika wa maeneo yao tuu(hii ni akisi ya viumbe vilivyotawala watu weusi kiroho)

Nisiwachoshe kiufupi yule mnaemuita Mungu ndie yule yule shetan anaetawala dunia kupitia mifumo ya kiimani(dini zote), kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kiimani anatawala kupitia washirika wake ama wafuasi wake wa cheo kidogo(mashetani wadogo) ambao ndio wawakilishi wa dini ama Miungu inayotumika kuabudiwa na dini zenu, ndiomaana dini zote zina majina tofaut tofaut ya Miungu wao na stori tofaut lkn nyuma ya pazia wanamtumikia Kiumbe mmoja, yaani nyuma ya huyo mnaemuita Yesu+Yehova, Allah, kuna master ambaye ndie shetan anawaongoza hao Miungu wenu jinsi ya kuwacontrol kiroho.

Majini, malaika hawa wote ni majeshi ya kiroho ambayo hufanya kazi kulingana na imani na dini fulani.

Majeshi wa dini ya ukristo ni tofaut na majeshi wa dini ya uislam the same way kwa wabudha, waabudu mizimu, marastafali, na washirikina.

Majeshi yote hayo hutofautiana viwango vya nguvu na uwezo wa kumtumikia mwanadamu.

Majeshi hao wote wanatoka ktk uzao mmoja wa Aliens akiwepo shetan, ambapo pia majeshi hawa hawa kimwili ndio waliosababisha mchafuko wa Jamii za kibinadamu kwa kuleta Utofauti wa Rangi.

Hapo mwanzo Rangi ya watu ilikuwa ni moja tu, lkn baada ya ujio wa Aliens(mashetan) kuzaa na hawa watu wa Asili(watu weusi) ndipo ukaibuka uzao chotara wa hao watu weupe, pia uzao wa wanyawama machotara, pia hapa ndipo likaibuka zao jipya la mashetan chotara yaan mapepo ambao ndio hao majini na vibwengo,

Haya matukuio yalitokea hapa hapa dunian na kuna shahidi nyingi kihistoria na kibaolojia, pia shahid za nakala za matukio haya zipo.

Kwakumalizia, wale mnaoita malaika ktk ulokole ni Uzao wa mashetan ambao kinuru hujiita malaika, the same way kwa wale majin wanaojihusisha na ukatoric pia uislam,

Mungu wa dunia hii si mmoja bali wako wengii sana kila dini ina Mungu, na Miungu wote hawa wako chini ya Shetan mmoja wa Alien waliofukuzwa ktk Ulimwengu wa Viumbe vya rohon ambako ndiko hata mtu mweusi asili yake yatoka huko.

Maajabu Hizi habari hautofundishwa ktk makanisa wala misikiti maana hawa wote wanadini ndio walioiba story hizi wakaziEdit na kuunda mifumo ya dini zao za kipuuzi zinazomuabudu shetan kwa kificho.

Amkeni jamani dini zote ni Ujinga na uongo mtupu
Umepotea sana ndugu, amka muombe Mungu akupe neema ya kumjua na kumtumikia hutajuta!

Umekaririshwa na sasa unaongea usiyoyajua! Wenzio twaongea tunayoyajua, tuliyoyashuhudia!

Mara zote shetani amewafunga watu ufahamu na kuwafanya wakumbatie uchafu wakifikiri wamebeba vito vya thamani kumbe la!

Kuna wengine wamekumbatia uzinzi wakifikiri ni deal lakini la! Kuna wengine wamekamata uchawi na shetani kawaaminisha yeye ndiye Mungu na kwa kukosa maarifa kama ulivyokosa wewe wamemuamini 100%!

Unapaswa umrudie Mungu. Muombe akupe neema ya kumjua. Fanya hivyo leo akuokoe!
 
Viumbe wa ulimwengu wa rohoni ni viumbe Gani? Wanaishi wapi? Kazi Yao kubwa ni ipi? Tafadhali.
 
Na huo ndio uganga wenyewe sasa
Kabisa, Jana nilikua nachek clouds tv aubert Angel na Kapora wakihubiri leaders club, Nika fuatilia neno liko vizuri, miujiza sasa ndio ikanifungua macho jamaa kumbe nae kaja na vileso kagawa huko pembeni.. ... Badae sasa ndio Tunaona reports tu wakishuhudia miujiza mingi ila Jana aliomba masikio, test na kunusa... Nafikiri ilikua ratiba ya Mungu wake Siku ya Jana... Hawa jamaa kama huna Neno la Kristo linalotusaidia kumbambanua Roho.. Asee unapiga Mchanga kweupe.... Kumbe ushirikina tu kama mganga atoavyo hirizi...😁 😁 Wale wazee wa maji na keki mpoo.. Povu ruksa ili nione kama si ndano imekuingia😁🙏🙏
 
Kuna member hapo juu kaelezea vizuri.. kuna nabii wa Bwana alipewa historia kamili na mmilik wa aliye juu toka anga za mbali kuhusu malaika hawa walioasi..

Search YouTube anaitwa Prophet David Richard angalia shuhuda zake..
Yule nae Nabii au ndo wale wale... 😁 😁 Maana huduma yake ni ya Malaika, kutwa akisifia Malaika.. Malaika.. Wakati Hawa ni watendakazi wa bwana kwa ajili yetu.. Hatupaswi kuwapa Utukufu zaidi ya Yesu... Ila yeye sasa.... Binafsi simu amini hata kidogo....
 
Yule nae Nabii au ndo wale wale... 😁 😁 Maana huduma yake ni ya Malaika, kutwa akisifia Malaika.. Malaika.. Wakati Hawa ni watendakazi wa bwana kwa ajili yetu.. Hatupaswi kuwapa Utukufu zaidi ya Yesu... Ila yeye sasa.... Binafsi simu amini hata kidogo....
Hata mimi sijawahi muamininwala elewa shuhuda zake. Nyingi ni za kijanja janja. Pia nabii hawezi kuwa brother men namna ile. Muda wa kuchora matatoo na kuongea unalamba mdomo nabii unautoa wapi?
 
Ile ilikuwa ni sehemu ya ibada ya toba ya kitaifa iliyokuwa inafanyika mara moja kwa mwaka.

Mbuzi yule aliwakilisha deposit ya uovu wa wana wa Israel ambao ulikuwa unawekwa juu ya mbuzi na mbuzi kupelekwa jangwani na mtu mmoja atakaye kuwa appointed

Baada ya mbuzi kufikishwa jangwani alikuwa anaachwa atange tange majangwani huko, na alikuwa hachinjwi.

Zoezi hilo pia liliambatana na kumtoa kondoo mmoja, ambaye yeye alichinjwa kwa ajili ya kufanya upatanisho wa nafsi na damu ilimwagwa madhabahuni.

Sasa kuelewa hili inabidi fahamu mambo ya msingi manne

1.Nini tofauti ya uovu na dhambi, pia tofauti ya uovu na makosa, pia tofauti ya uovu(iniquities) na maovu(evils), na uhusiano wake na huyu mbuzi wa Azazel

2. Adhabu iliyokuwa na toba ndani yake ambayo Israel aliipitia jangwani kwa miaka 40 kwa kutanga tanga majangwani, na uhusiano wake na huyu mbuzi wa Azazel

3.Kanuni ya kiroho ya nafsi moja kuhamisha uovu wake kwenda nafsi nyingine, kwa nafsi moja kulipia(kudhamini), jambo ambalo mbuzi huyu alifanya na pia Yesu alifanya

4.Madai ya wafalme wa kuzimu na haki walizo nazo juu ya mwanadamu atendaye dhambi, na uhusiano wake na huyu mbuzi wa Azazel

Ningefafanua kwa mapana na ningejibu swali lako la msingi, ila tusivuruge uzi wa ndugu yetu, una mambo mengi ya kujifunza

Pia ni vyema ukajifunza misimu ya toba za kiroho zilozowekwa kwa wana wa Israel na mahusiano yake na Mahakama za Kiroho.
kama kuna uzi umeongelea hii, naomba unipe link. nimepata kiu ya kujifunz juu ya hili jambo.
 
Hakuna cha mlokole wala nani.

Mnayajua madhara lkn ya kufanya Tahajudi(meditation) ama mnaiga tu tamaduni za watu.

Haya mambo hayakuwai kuwepo Africa kabla ya ujio wa ukolon.

Ulokol
Mhubiri anawaita watu kama wewe wapumbavu! Ujuaji usio na maana mbele za MUNGU na kama umetumwa na kuzimu kuharibu huu uzi nenda kawape ujumbe huku walokole tumejaa. Unakataa uwepo wa MUNGU na kuanza kumuinua shetana akidhani hatutakuelewa kuwa wewe ni wakala wa kuzimu. Ushindwe kwa jina la yesu
nb. Kama unamjua sana shetani katafute wafuasi wake mtengeneze uzi wenu mburudishane huko. Huku hakukuhusu.
 
Back
Top Bottom