Mungu Yuko wapi?

Al-An'am 6:27

وَلَوْ تَرَىٰٓ إِذْ وُقِفُوا۟ عَلَى ٱلنَّارِ فَقَالُوا۟ يَٰلَيْتَنَا نُرَدُّ وَلَا نُكَذِّبَ بِـَٔايَٰتِ رَبِّنَا وَنَكُونَ مِنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ



Na unge ona watakapo simamishwa kwenye Moto, wakawa wanasema: Laiti tungeli rudishwa, wala hatutakanusha tena Ishara za Mola wetu Mlezi, na tutakuwa miongoni wa Waumini.
 
Al-An'am 6:28

بَلْ بَدَا لَهُم مَّا كَانُوا۟ يُخْفُونَ مِن قَبْلُۖ وَلَوْ رُدُّوا۟ لَعَادُوا۟ لِمَا نُهُوا۟ عَنْهُ وَإِنَّهُمْ لَكَٰذِبُونَ



Bali yamewadhihirikia waliyo kuwa wakiyaficha zamani. Na kama wangeli rudishwa bila ya shaka wange yarejea yale yale waliyo katazwa. Na hakika hao ni waongo.
 
Al-An'am 6:29

وَقَالُوٓا۟ إِنْ هِىَ إِلَّا حَيَاتُنَا ٱلدُّنْيَا وَمَا نَحْنُ بِمَبْعُوثِينَ


Na walisema: Hakuna mengine ila maisha yetu haya ya duniani, wala sisi hatutafufuliwa.
 
Al-An'am 6:30

وَلَوْ تَرَىٰٓ إِذْ وُقِفُوا۟ عَلَىٰ رَبِّهِمْۚ قَالَ أَلَيْسَ هَٰذَا بِٱلْحَقِّۚ قَالُوا۟ بَلَىٰ وَرَبِّنَاۚ قَالَ فَذُوقُوا۟ ٱلْعَذَابَ بِمَا كُنتُمْ تَكْفُرُونَ


Na lau ungeli ona watavyo simamishwa mbele ya Mola wao Mlezi, akawaambia: Je, si kweli haya? Na wao watasema: Kwani? Tunaapa kwa Mola Mlezi wetu ni kweli. Yeye atasema: Basi onjeni adhabu kwa sababu ya vile mlivyo kuwa mnakataa.
 
Al-An'am 6:31

قَدْ خَسِرَ ٱلَّذِينَ كَذَّبُوا۟ بِلِقَآءِ ٱللَّهِۖ حَتَّىٰٓ إِذَا جَآءَتْهُمُ ٱلسَّاعَةُ بَغْتَةً قَالُوا۟ يَٰحَسْرَتَنَا عَلَىٰ مَا فَرَّطْنَا فِيهَا وَهُمْ يَحْمِلُونَ أَوْزَارَهُمْ عَلَىٰ ظُهُورِهِمْۚ أَلَا سَآءَ مَا يَزِرُونَ


Hakika wamekhasirika walio kanusha kukutana na Mwenyezi Mungu, mpaka ilipo wajia Saa kwa ghafla, wakasema: Ole wetu kwa tuliyo yapuuza! Nao watabeba mizigo yao juu ya migongo yao. Ni maovu hayo wanayo yabeba.
 
Al-An'am 6:32

وَمَا ٱلْحَيَوٰةُ ٱلدُّنْيَآ إِلَّا لَعِبٌ وَلَهْوٌۖ وَلَلدَّارُ ٱلْءَاخِرَةُ خَيْرٌ لِّلَّذِينَ يَتَّقُونَۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ


Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao tu. Na hakika nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa wanao mcha Mungu. Basi, je, hamtii akilini?
 
Una hoja, usikilizwe.
 
Khaa!! Ila biblia na quraani ni vitabu vinavyo randana kabisa yaani tofauti ni baahdi ya mambo tu hasa umungu WA Yesu na kuoa na kuhusu pepo
Hayo maneno uliyo yaandika hapo kwenye biblia yapo Kwa mantiki hiyohiyo kasoro uandishi tu!!
 
Khaa!! Ila biblia na quraani ni vitabu vinavyo randana kabisa yaani tofauti ni baahdi ya mambo tu hasa umungu WA Yesu na kuoa na kuhusu pepo
Hayo maneno uliyo yaandika hapo kwenye biblia yapo Kwa mantiki hiyohiyo kasoro uandishi tu!!
Kwa sababu Biblia imeanza kabla ya Quran. Ni sawa we ucopy homework ya mtu
 
Khaa!! Ila biblia na quraani ni vitabu vinavyo randana kabisa yaani tofauti ni baahdi ya mambo tu hasa umungu WA Yesu na kuoa na kuhusu pepo
Hayo maneno uliyo yaandika hapo kwenye biblia yapo Kwa mantiki hiyohiyo kasoro uandishi tu!!
Aal-e-Imran 3:2

ٱللَّهُ لَآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلْحَىُّ ٱلْقَيُّومُ


Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele.

Aal-e-Imran 3:3

نَزَّلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَٰبَ بِٱلْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ ٱلتَّوْرَىٰةَ وَٱلْإِنجِيلَ


Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Aal-e-Imran 3:4

مِن قَبْلُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَأَنزَلَ ٱلْفُرْقَانَۗ إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ بِـَٔايَٰتِ ٱللَّهِ لَهُمْ عَذَابٌ شَدِيدٌۗ وَٱللَّهُ عَزِيزٌ ذُو ٱنتِقَامٍ
Kabla yake, ziwe uwongofu kwa watu. Na akateremsha Furqani (Upambanuo). Hakika walio zikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu kali. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye kulipa.
 
Kwa sababu Biblia imeanza kabla ya Quran. Ni sawa we ucopy homework ya mtu
Mungu alijua kuwa watakuja wajinga watakaosema maneno kama haya ndio maana alimleta Mtume Muhammad akiwa hajui kusoma wala kuandika ili wasije kutokea wajinga watakaosema kuwa alikopi na kupaste Taurat na injili.

Quran imekuja kusadikisha yaliyoteremshwa kabla yake katika Taurat, Zabur na Injili wala haijaja kupingana na vitabu vilivyotangulia na waislam tunawakubali mitume yote ya Mungu wala hatuwabagui.
 
Illuminati inawezekana kutokea maana myaudi,mkristo na mwisalamu tofauti zao hazielewekieleweki yani

Nilimsika Mchungaji Katunzi akisema kuwa itakuja dini ya illuminati itakayo waunganisha wayahudi,wakristo na waislamu
 
Illuminati inawezekana kutokea maana myaudi,mkristo na mwisalamu tofauti zao hazielewekieleweki yani

Nilimsika Mchungaji Katunzi akisema kuwa itakuja dini ya illuminati itakayo waunganisha wayahudi,wakristo na waislamu
Hizo dini haziwezi kuunganishwa hata kidogo maana misingi ya imani katika kila dini ni tofauti
 
Hizo dini haziwezi kuunganishwa hata kidogo maana misingi ya imani katika kila dini ni tofauti
Hamna msingi wao ni Ibrahimu wote hawampingi, isaka pia hakuna dini inayo mpinga nadhani na Yakobo pia jumlisha Akina Musa.
Makanisa yaliyojengwa enzi hizo na CONSTANTINE huko uturuki ndo misikiti ya Sasa hivi na nyumba zingine zimegeuzwa madrasa kiufupi hawa watu Wanatofauti mdogo Ili msingi wao ni mmoja
 
Msingi wa uislam ni kumpwekesha Mungu mmoja (ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa) na kukubali manabii na mitume yote iliyotumwa na Mungu.

Mwenyezi Mungu ametuma mitume na manabii 124000....wakwanza akiwa na Adam na wa mwisho akiwa ni Muhammad.

Uyahudi unakubali kumpwekesha Mungu mmoja pasi na kumshirikisha ila umewakataa mitume miwili ya mwisho ambayo ni Isa (YESU) mwana wa Mariam na Muhammad .

Ukristo umegoma kumpwekesha Mungu mmoja badala yake umemgawa Mungu katika nafsi tatu (Baba ,mwana na Roho Mtakatifu) na vile vile umemkataa Mtume wa Mwisho ambaye ni Muhammad (pbuh). Ukristo umemfanya Yesu kuwa ni Mungu kamili na vilevile ni mwana wa Mungu. Kitu ambacho kinatafsiriwa kuwa ni Ushirikina katika dini ya Uislam na Uyahudi.

Hizi ndio tofauti zao...kitu pekee ambacho kinaweza kuunganisha watu wa hizi dini tatu ni maslahi tu ya kidunia ila si kiimani.
 
W
Kuthibitisha kupi tena? Mie nimekwambia kuwa endapo itatokea mtu akakuuliza swali kuwa je, Mungu yupo wewe kwa uelewa wako sasa utajibu nini?
Utajibu yupo,utajibu hayupo au hujui?
 
Mie mtu anayeamini imani za mababu huko na kuona hizi dini zengine ni za uongo et tumeletewa huwa namshangaa sana, et kisa tu ni imani za mababu yani hilo ndio lifanye aone hizo imani za kweli et za asili ukihoji sana utaambiwa et waliomba mvua zikanyesha!

Kuna vitu vya ajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…