Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

W

Kuthibitisha kupi tena? Mie nimekwambia kuwa endapo itatokea mtu akakuuliza swali kuwa je, Mungu yupo wewe kwa uelewa wako sasa utajibu nini?
Utajibu yupo,utajibu hayupo au hujui?
Uelewa wangu si pamoja na uhalisia wa hicho kitu?

Na uhalisia nitaujuaje bila kudai uthibitisho kutoka kwa mtu aliyeniletea habari hizo mpya?

Nikikuambia Spiderman, Harry Potter, Batman wapo au hawapo. Utategemea utoe jibu gani?
 
Zote hizi Ni tamaduni tu hazina uhalisia wowote
Uhalisia ni upi katika hizi habari nzima za kuhusu Mungu? maana wapo wengine ambao huona hakuna kabisa huyo Mungu na wengine huona anaweza kuwepo au asiwepo na wengine huona yupo ila hajihusishi na maisha ya watu.

Wewe unadhani uhalisia ni upi?
 
Uelewa wangu si pamoja na uhalisia wa hicho kitu?

Na uhalisia nitaujuaje bila kudai uthibitisho kutoka kwa mtu aliyeniletea habari hizo mpya?

Nikikuambia Spiderman, Harry Potter, Batman wapo au hawapo. Utategemea utoe jibu gani?
Uelewa wangu mimi kuhusu Spiderman, Harry potter na Battman ni kwamba kiuhalisia hawapo. Kwahiyo ukiniuliza kama wapo au hawapo nitakujibu hawapo.
 
Uelewa wangu mimi kuhusu Spiderman, Harry potter na Battman ni kwamba kiuhalisia hawapo. Kwahiyo ukiniuliza kama wapo au hawapo nitakujibu hawapo.
We umejuaje kiuhalisia hawapo?
 
Hakuna hivyo vitu nje ya filamu kwa maana sijaviona wala sijasikia kuwa kuna uwepo wa hivyo viumbe.
Kwa hiyo wewe ukiwa hujasikia nje ya filamu, hiyo inathibitisha kuwa hivyo vitu sio uhalisia?
 
Kwa hiyo wewe ukiwa hujasikia nje ya filamu, hiyo inathibitisha kuwa hivyo vitu sio uhalisia?
Sijazungumzia kuthibitisha mbona unalipenda sana hilo neno? Nimesema kabisa kwa uelewa wangu.
 
Sasa kama hujathibitisha kwanini unahitimisha kuwa havipo kihalisia?
Kwa uelewa wangu endapo utaniuliza kuhusu hivyo vitu nitajibu hivyo kuwa havipo kiuhalisia, kama hivyo ni hitimisho basi ndio uelewa wangu kwa sababu nilizozitaja ila mwengine yeye asipoweka hitimisho pia atakuwa ana sababu zake tofauti na zangu.
 
Kwa uelewa wangu endapo utaniuliza kuhusu hivyo vitu nitajibu hivyo kuwa havipo kiuhalisia, kama hivyo ni hitimisho basi ndio uelewa wangu kwa sababu nilizozitaja ila mwengine yeye asipoweka hitimisho pia atakuwa ana sababu zake tofauti na zangu.
Hujaulizwa kuhusu uelewa wako, umeulizwa utoe majibu kwa mujibu wa uhalisia halisi wa hicho kitu.

Ukisema "uelewa wangu" huoni hapo unakuwa unaruhusu majibu mengi ya uongo kwenye hoja yeyote as long as mtu atasema "kwa uelewa wangu"?
 
Hujaulizwa kuhusu uelewa wako, umeulizwa utoe majibu kwa mujibu wa uhalisia halisi wa hicho kitu.

Ukisema "uelewa wangu" huoni hapo unakuwa unaruhusu majibu mengi ya uongo kwenye hoja yeyote as long as mtu atasema "kwa uelewa wangu"?
Kwanini niulizwe mimi? Kwani mimi ndio najua kila kitu? Mimi nimejibu kwa kile nachokielewa sasa utasemaje naruhusu uongo? Halafu nimetoa sababu zangu za wazi kabisa.

Sijui hata ulitaka vp?
Ulitaka nijibu tofauti na mimi navyoelewa?
 
Kwanini niulizwe mimi? Kwani mimi ndio najua kila kitu? Mimi nimejibu kwa kile nachokielewa sasa utasemaje naruhusu uongo? Halafu nimetoa sababu zangu za wazi kabisa.

Sijui hata ulitaka vp?
Hujaambiwa ujibu kile unachokielewa, swali halijalenga kujua mtazamo wako binafsi juu ya hicho kitu.

Wewe ukisema spiderman hayupo kwasababu hayupo kwenye uhalisia, na mwingine akasema yupo.

Wakati wa kutafuta jibu moja sahihi kati ya hao watu wawili waliojibu majibu yanayopingana, unafikiria tutaangalia kigezo gani kama wote walijibu kwa namna walivyoelewa?
 
Kwa akili Tu ya kawaida kilichotengeneza ulimwengu na vilivyomo kipo kwasababu vitu vipo kimpangilio sana ingawa hatukijui hicho kitu , ila kwa akili ya ziada kilichotengeneza ulimwengu hakipo kabisa na hii inakuepo ili kile kilichofanya chanzo kitimize malengo yake, huenda haya makanisa na vyote unavyovilalamikia ni moja kati ya mipango yake pia...... Kwahiyo tuhitimishe kusema kwamba hatukitujui kilichotengeneza ulimwengu ila kipo, hatuwezi kujadili mwanzo usio na mwanzo bn. Maana hata mtu awe na majibu kwamba juma ndo alitengeza ulimwengu bado utauliza juma alitengenezwa na nani na aliemtengeneza juma ni nani kwahyo tutarudi nyuma kusiko kuwa na mwisho, wanasayansi wenyewe ili watengeneze vifaa vyao vya utafiti wanatumia material walioyakuta yaaani akili zao zenyewe tu walizikuta.


Achana na hio mada tafuta hela ule mademu wakali ambao mtengenezaji aliekutengenezea .
 
Hujaambiwa ujibu kile unachokielewa, swali halijalenga kujua mtazamo wako binafsi juu ya hicho kitu.

Wewe ukisema spiderman hayupo kwasababu hayupo kwenye uhalisia, na mwingine akasema yupo.

Wakati wa kutafuta jibu moja sahihi kati ya hao watu wawili waliojibu majibu yanayopingana, unafikiria tutaangalia kigezo gani kama wote walijibu kwa namna walivyoelewa?
Labda sasa unieleze, nilitakiwa nijibu vp? Au kwa mtindo gani?

Maana unasema swali halitaki kujua jibu la mtazamo wangu kwa vile navyoelewa.
 
Uhalisia ni upi katika hizi habari nzima za kuhusu Mungu? maana wapo wengine ambao huona hakuna kabisa huyo Mungu na wengine huona anaweza kuwepo au asiwepo na wengine huona yupo ila hajihusishi na maisha ya watu.

Wewe unadhani uhalisia ni upi?
Hatujui uhalisia. Ila dini zote ni uwongo. Kama Mungu yupo hamna mtu ashawahi kutokewa nae na hamna mtu anajua anachokitaka.
 
Kwa akili Tu ya kawaida kilichotengeneza ulimwengu na vilivyomo kipo kwasababu vitu vipo kimpangilio sana ingawa hatukijui hicho kitu , ila kwa akili ya ziada kilichotengeneza ulimwengu hakipo kabisa na hii inakuepo ili kile kilichofanya chanzo kitimize malengo yake, huenda haya makanisa na vyote unavyovilalamikia ni moja kati ya mipango yake pia...... Kwahiyo tuhitimishe kusema kwamba hatukitujui kilichotengeneza ulimwengu ila kipo, hatuwezi kujadili mwanzo usio na mwanzo bn. Maana hata mtu awe na majibu kwamba juma ndo alitengeza ulimwengu bado utauliza juma alitengenezwa na nani na aliemtengeneza juma ni nani kwahyo tutarudi nyuma kusiko kuwa na mwisho, wanasayansi wenyewe ili watengeneze vifaa vyao vya utafiti wanatumia material walioyakuta yaaani akili zao zenyewe tu walizikuta.


Achana na hio mada tafuta hela ule mademu wakali ambao mtengenezaji aliekutengenezea .
Acha uvivu wa kufikiri ndo mwana mwafrika alijua mwezini hakufikiki Ila mzungu kaenda
 
Hatujui uhalisia. Ila dini zote ni uwongo. Kama Mungu yupo hamna mtu ashawahi kutokewa nae na hamna mtu anajua anachokitaka.
Najaribu kuelewa msimamo wako inaonyesha tatizo lako ni imani za dini kuhusu Mungu.
 
Najaribu kuelewa msimamo wako inaonyesha tatizo lako ni imani za dini kuhusu Mungu.
We kwanini Mungu amtokee mzee mmoja huko jangwani miaka 4000 iliyopita ambayo kulikuwa hamna magazeti hamna camera afu Leo hii tuishi tukikubali kihistoria kwamba ni kweli.
 
We kwanini Mungu amtokee mzee mmoja huko jangwani miaka 4000 iliyopita ambayo kulikuwa hamna magazeti hamna camera afu Leo hii tuishi tukikubali kihistoria kwamba ni kweli.
Kwahiyo yote ambayo yanaelezwa kutokea kipindi ambacho hakukuwa na gazeti na camera tuseme si ya kweli kwa sababu hakuna camera na gazeti?
 
Acha uvivu wa kufikiri ndo mwana mwafrika alijua mwezini hakufikiki Ila mzungu kaenda
Kwahyo huyo mwafirika aliesema mwezini hapafikiki ndo afanye kuwa mada? Yaani mtu aseme marekan hapafikiki kwasababu yeye hana nauli ndo pawe ukweli? Kwahyo unataka kusema wazungu ndo walitengeneza ulimwengu kisa mwafrika alisema hapafikiki mwezini? Nimeshauri Tutafute hela kuna vitu vitamu vya kula na kuna vitu vizuri vya kufanya ukiwa hai, .....
Konyo wewe.
 
Back
Top Bottom