Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

Kama huamin Mungu mmoja bhas we ni mfuasi wa shetani, na kama si hivo pia...We upo upo tu huna unalojua. Hata hiyo sayans unaijua jina tu
 
Elimu sio shule jamani....elimu ni maarifa...kujitambua..kuelewa ukweli wa maisha...Sasa mambo ya Assad kusoma yanaingiaje... Ndo maana wanasayansi wengi wa 21st century hawapo na Imani coz wanajua vingi na wanajua logic na Imani hazina logic kwenye vitu vingi coz waliotunga hizi story ni watu wazamani wenye fikra finyu
Nchi masikini zina mifumo ya kukariri kwa woga.

Ndiyo maana rais mwenye Ph.D anaweza kuvunja katiba halafu mamilioni ya watu wakajua na kukaa kimya.

Na huyo rais akaitwa msomi.

Tunalinganisha usomi na madarasa, paper qualification.

Wakati dunia inabadilika kwa kasi sana.
 
Swali langu utamuamini kwa uthibitisho upi huyo mtu?
Si character yake coz naiona, Sasa I can't answer this directly. We ishi na watu tofauti afu uone ur judgement. Plus mi kumtrust mtu na mwingine kumtrust kunaweza kuwa na sababu tofauti coz we have different mental abilities
 
Kama huamin Mungu mmoja bhas we ni mfuasi wa shetani, na kama si hivo pia...We upo upo tu huna unalojua. Hata hiyo sayans unaijua jina tu
Black n white fallacy...eti Kama huamini Mungu ninamfuata shetani au nipo nipo tu...we ndo upo upo tu..ushawahi kuvisoma hivyo vitabu vizuri au unakubalikubali...ni sawa na unavyodownload app na kuaccept conditions bila kuzisoma. Ukisoma vitabu vya dini kwa kina we mwenyewe utajiona mjinga
 
Black n white fallacy...eti Kama huamini Mungu ninamfuata shetani au nipo nipo tu...we ndo upo upo tu..ushawahi kuvisoma hivyo vitabu vizuri au unakubalikubali...ni sawa na unavyodownload app na kuaccept conditions bila kuzisoma. Ukisoma vitabu vya dini kwa kina we mwenyewe utajiona mjinga
Kwnn na ww usiandike cha kwako nikakisoma? Ingia class ufundishwee
 
Kama huamin Mungu mmoja bhas we ni mfuasi wa shetani, na kama si hivo pia...We upo upo tu huna unalojua. Hata hiyo sayans unaijua jina tu
Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujathibitisha shetani yupo.

Hujaondoa conyradictions zilizopo katika dhananya kuwepo Mungu.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha.

Thibitisha Mungu yupo.

Thibitisha shetani yupo.

Ondoa conymtradictions katika dhana ya kuwepo Mungu.
 
Sijaaminishwa...Mungu Kama ni mmoja kwa Nini kila mtu anakuja na yake. Ni kitu ambacho ukikaa mwenyewe unaweza fikiria ukajua ni uvushaji tu
Wamatafuta tu sifa kupitia wanayoamishwa kwamba wao wapo sahihi kuliko wengne, ila Mungu sio personality kama wanavyosema ,kitu chochote chenye personality kina mipaka , ili kuwa na mawanda yasiyo na mipaka ya hiyo nguvu kuu hilo jina Mungu linapaswa kwanza life ili kutokuonyesha mipaka .
 
Wamatafuta tu sifa kupitia wanayoamishwa kwamba wao wapo sahihi kuliko wengne, ila Mungu sio personality kama wanavyosema ,kitu chochote chenye personality kina mipaka , ili kuwa na mawanda yasiyo na mipaka ya hiyo nguvu kuu hilo jina Mungu linapaswa kwanza life ili kutokuonyesha mipaka .
Ehe we unayemjua Mungu Yuko wapi? Yukoje? Alitokea wapi? Anataka Nini? Una uthibitisho gani?
 
Ngoja nikageuze nguo kwenye kamba kwanza jua leo naona lakuotea sana
 
Mpaka sasa hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu gani?

Kwa sababu hayupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo umalize utata kuhusu kuwepo kwa Mungu.
 
Nimeongelea elimu za jamii nzima as a collective.

Huko Africa kuna tatizo la elimu ya jamii nzima.

Ndiyo maana unaweza kuwa na rais ana Ph.D ya Chemistry lakini anapinga chanjo wakati hajapinga kunywa kikombe cha babu.

Kwa sababu hajui basic logical thinking, critical thinking, abstract thinking, kazoea maisha ya kupigwapigwa tangu mtoto, anafanya maamuzi kimagutu magutu. Ya hila hila tu.

Zaidi, wasomi wengi wa Africa wanatumia dini kama "virtue signaling" na "shortcut to gain the morality currency".

Africa usiposema unampenda Mungu unapoteza wapiga kura na ukisema huamini Mungu unaweza kuondolewa kazini.

So, watu wengi wana maswali mengi sana kuhusu Mungu lakini hawawezi kusema wazi kwa sababu wanaogopa kupigwa mawe na jamii kama watu wanaokufuru. Jamii zetu hazina tolerance kwa watu wasioamini uwepo Mungu.

Na watu wanaosema wanaamini Mungu wanazawadiwa kupata networks misikitini, makanisani etc.

Kwa hivyo si ajabu kuona wasomi wengi wanajinadi wanamuamini Mungu wakati hawamuamini.

This is not to say Dr. Assad hamuamini Mungu.

This is to say wasomi wengi wa Tanzania hawamuamini Mungu, wangemuamini wasingeiba sana kiasi cha kumfanya Dr. Assad kuwa mtu maarufu kwa kazi yake ya CAG.

Mfano wako hauoneshi kwamba kuna wasomi wengi wanaamini Mungu.

Mfano wako unaonesha wasomi wengi hawaamini Mungu, ila wana fake tu kwamba wanaamini Mungu. Kwa sababu ku fake hivyo kuna faida nyingi sana.

Wangeamini Mungu hata CAG Assad asingejulikana, ripoti zake zingekuwa very boring kwa sababu kusingekuwa na wizi.
Ukosefu wa elimu,huduma bora za afya na umasikini hivyo ndio vitu ambavyo napinga kwamba hufanya watu kuamini habari za Mungu ambapo nikatoa mfano wa waarabu ambao ni matajiri hivyo hawana tatizo la umasikini na huduma bora za afya ila ukasema hawana elimu.

Naona ni vyema ukaeleza unakusudia nini unaposema elimu au elimu gani uliyokusudia au kiwango gani cha elimu?
 
Ukosefu wa elimu,huduma bora za afya na umasikini hivyo ndio vitu ambavyo napinga kwamba hufanya watu kuamini habari za Mungu ambapo nikatoa mfano wa waarabu ambao ni matajiri hivyo hawana tatizo la umasikini na huduma bora za afya ila ukasema hawana elimu.

Naona ni vyema ukaeleza unakusudia nini unaposema elimu au elimu gani uliyokusudia au kiwango gani cha elimu?
Elimu ya critical thinking, logical thinking, abstract thinking, technological advancement.

Waarabu nchi nyingi wamepata hizo huduma za afya kwa sababu ya bahati ya kuwa na mafuta tu, na chumi zao kwa kiasi kikubwa zimeendeshwa na wageni mpaka miaka ya karibuni.

Na jinsi wanavyozidi kusoma na kuelimika, ndivyo wanavyozidi kuhoji dini na kuondoka kwenye imani ya Mungu, nimekuwekea links tatu hapo juu zikielezea waarabu wanavyoondoka kwenye imani, hujazigusa.
 
Usitake kuonekana mwelevu kufanya kufuru ili ufurahishe watu au kikundi fulani nakushauri usijitafutie laana kwa haya maandiko yako maana hasira ya Mungu ni kali sana tubu jiepusha na hizi kauli (acha kumfanyia kazi shetani kupotosha kondoo wa Mungu ) usipo sikia ipo siku na saa utakumbuka maandishi haya
Usimtishe acha aujue ukweli
 
Ehe we unayemjua Mungu Yuko wapi? Yukoje? Alitokea wapi? Anataka Nini? Una uthibitisho gani?
[emoji16][emoji16][emoji16] nikudhibitishie ili nifaidike na nin mkuu ,sioni haja ya kufanya hivyo mkuu ,kula ugali , lala sio kila kitu nichakujua.
 
Elimu sio shule jamani....elimu ni maarifa...kujitambua..kuelewa ukweli wa maisha...Sasa mambo ya Assad kusoma yanaingiaje... Ndo maana wanasayansi wengi wa 21st century hawapo na Imani coz wanajua vingi na wanajua logic na Imani hazina logic kwenye vitu vingi coz waliotunga hizi story ni watu wazamani wenye fikra finyu
Kwani nani kazungumzia shule hapa? Tumezungumzia elimu.
 
Ukosefu wa elimu,huduma bora za afya na umasikini hivyo ndio vitu ambavyo napinga kwamba hufanya watu kuamini habari za Mungu ambapo nikatoa mfano wa waarabu ambao ni matajiri hivyo hawana tatizo la umasikini na huduma bora za afya ila ukasema hawana elimu.

Naona ni vyema ukaeleza unakusudia nini unaposema elimu au elimu gani uliyokusudia au kiwango gani cha elimu?
Dini ya uislamu inasema yoyote ambae haamini anaenda Motoni na ukiacha uislamu adhabu ni kifo...plus sio nchi zote za kiislamu ni za kiarabu na sio nchi zote za kiarabu ni za kiislamu. Taja nchi ambayo ni Islamic imeendelea bila mafuta na partnership na marekani...nakusubiria
 
Back
Top Bottom