Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

[emoji16][emoji16][emoji16] nikudhibitishie ili nifaidike na nin mkuu ,sioni haja ya kufanya hivyo mkuu ,kula ugali , lala sio kila kitu nichakujua.
Hahaha we ndo ule ugali...we huwezi thibitisha...we hujui unachokiamini unafata mkumbo coz unaogopa kuchomwa baada ya kufa. Which doesn't make sense huna mwili afu unaungua ..soma biology form 2 uelewe pain receptors ni zipi na ziko wapi afu uniambie unaunguaje baada ya kufa...
 
Mbinguni ni Mbinguni hutaweza kupajua kila sehemu wewe unapajua hata Namibia kweli ?
😂Ila Kuna watu wanaishi Namibia naweza video call na mtu wa Namibia... Naweza nikaenda nikarudi...Ila mbinguni ni story za mababu wa kale wasio na ujuzi wa dunia
 
Elimu ya critical thinking, logical thinking, abstract thinking, technological advancement.

Waarabu nchi nyingi wamepata hizo huduma za afya kwa sababu ya bahati ya kuwa na mafuta tu, na chumi zao kwa kiasi kikubwa zimeendeshwa na wageni mpaka miaka ya karibuni.

Na jinsi wanavyozidi kusoma na kuelimika, ndivyo wanavyozidi kuhoji dini na kuondoka kwenye imani ya Mungu, nimekuwekea links tatu hapo juu zikielezea waarabu wanavyoondoka kwenye imani, hujazigusa.
Unataka niguse links zenye kuelezea waarabu jinsi wanavyozidi kusoma na kuondoka kwenye imani wakati bado kuna hoja ni elimu ya aina gani? Maana hata huku afrika wapo wengi tu waliyosoma ila umeingiza masuala ya aina ya elimu, mitazamo ya jamii husika,masuala ya siasa, mara tena unasema wangekuwa wanaamini Mungu wasingekuwa wanafanya sana ufisadi.
 
Unataka niguse links zenye kuelezea waarabu jinsi wanavyozidi kusoma na kuondoka kwenye imani wakati bado kuna hoja ni elimu ya aina gani? Maana hata huku afrika wapo wengi tu waliyosoma ila umeingiza masuala ya aina ya elimu, mitazamo ya jamii husika,masuala ya siasa, mara tena unasema wangekuwa wanaamini Mungu wasingekuwa wanafanya sana ufisadi.
we umesoma biology Ila unaamini mwili kufa na kufufuka, unaamini bikra kuzaa, unaamini magonjwa kuponywa kwa kupigiwa kelele au kuongea mwenyewe, unaamini matatizo ya akili ni mapepo, unaamini watu kupaa, unaamini species zote duniani zilijaa kwenye boat ya mtu mwenye miaka 600. Sasa we elimu yako ya biology tu ya form 2 imekusaidia nini zaidi ya chetu tu.
 
Dini ya uislamu inasema yoyote ambae haamini anaenda Motoni na ukiacha uislamu adhabu ni kifo...plus sio nchi zote za kiislamu ni za kiarabu na sio nchi zote za kiarabu ni za kiislamu. Taja nchi ambayo ni Islamic imeendelea bila mafuta na partnership na marekani...nakusubiria
Mimi nazungumzia utajiri kwa maana kutokuwa masikini na huduma bora za afya, sizungumzii wamepataje huo utajiri bali nazungumzia kitu ambacho kipo.
 
we umesoma biology Ila unaamini mwili kufa na kufufuka, unaamini bikra kuzaa, unaamini magonjwa kuponywa kwa kupigiwa kelele au kuongea mwenyewe, unaamini matatizo ya akili ni mapepo, unaamini watu kupaa, unaamini species zote duniani zilijaa kwenye boat ya mtu mwenye miaka 600. Sasa we elimu yako ya biology tu ya form 2 imekusaidia nini zaidi ya chetu tu.

we umesoma biology Ila unaamini mwili kufa na kufufuka, unaamini bikra kuzaa, unaamini magonjwa kuponywa kwa kupigiwa kelele au kuongea mwenyewe, unaamini matatizo ya akili ni mapepo, unaamini watu kupaa, unaamini species zote duniani zilijaa kwenye boat ya mtu mwenye miaka 600. Sasa we elimu yako ya biology tu ya form 2 imekusaidia nini zaidi ya chetu tu.
Kwamba ulitaka mtu awe Doctor ndio uone kafaidika na elimu yake au?
 
Kama watanzania mna elimu tengenezeni Simu, magari, chanjo na pelekeni mtu mwezini. If not mna basic knowledge tu...sio elimu ya kuvumbua vitu .
Sasa hayo ya kuvumbua vitu yanahusikaje? Mbona unatoka nje ya reli?
 
Si character yake coz naiona, Sasa I can't answer this directly. We ishi na watu tofauti afu uone ur judgement. Plus mi kumtrust mtu na mwingine kumtrust kunaweza kuwa na sababu tofauti coz we have different mental abilities
Huo sio uthibitisho sasa.
 
It's a better explanation than kusema naamini Mungu yupo coz Kuna kitabu Cha miaka 3000 Cha mababu wayahudi au waarabu wamesema yupo. Na uthibitisho kuwa nitaamka kesho coz najiskia vizuri Leo. That is a better explanation than kusema ni by chance, sio chance,
Kujisikia vizuri sio uthibitisho sio wote waliolala na kushindwa kuamka kesho yake ni kwamba hawakuwa wakijisikia vizuri, na sio suala la afya yako tu hapo lolote laweza kutokea likafanya ushindwe kuamka.
 
Hahaha we ndo ule ugali...we huwezi thibitisha...we hujui unachokiamini unafata mkumbo coz unaogopa kuchomwa baada ya kufa. Which doesn't make sense huna mwili afu unaungua ..soma biology form 2 uelewe pain receptors ni zipi na ziko wapi afu uniambie unaunguaje baada ya kufa...
Umejitekenya mwenyewe alafu unacheka hakuna mahali nmesema hicho unachokisema wewe.
 
Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.

Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.

Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.

So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.

Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.

Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.

Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku

Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.

Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.

Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.

So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.

Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.

Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.

Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku
Kama huamini yasemwayo na Maandiko Matakatifu kuhusu kifo na maisha baada ya kifo, mtafute Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Benjamin Msuya, anaweza akakusaidia katika hilo.

Ukikutana naye, mwulize alichokiona baada ya kufa kwa siku nne alipokuwa amepelekwa na Serikali ya Tanzania kutibiwa nchini Uingereza.
 
Mimi nazungumzia utajiri kwa maana kutokuwa masikini na huduma bora za afya, sizungumzii wamepataje huo utajiri bali nazungumzia kitu ambacho kipo.
Nimekuambiaje taja nchi ya kiislamu ambayo haina mafuta na partnership na marekani afu imekuwa social economically developed ..mbona unakimbia
 
Sasa hayo ya kuvumbua vitu yanahusikaje? Mbona unatoka nje ya reli?
Sasa mwanangu umesoma kila siku tunasoma point ya poor education system au unafananisha elimu yetu na elimu ya nchi zilizoendelea
 
Kujisikia vizuri sio uthibitisho sio wote waliolala na kushindwa kuamka kesho yake ni kwamba hawakuwa wakijisikia vizuri, na sio suala la afya yako tu hapo lolote laweza kutokea likafanya ushindwe kuamka.
It's a better explanation...elewa...hatuwezi kujua kila kitu lakini kubase uelewa wako wa vitu kwa story za mababu wayahudi na waarabu siziso make sense logically na kuforce watu kuamini tu ili wasichomwe... isn't a good explanation
 
Back
Top Bottom