Kitu ambacho hakipo kabisa hakina athari za kuwepo, vitu kama furaha au chuki tunaona athari zake tu japo vyenyewe hatuvioni wala kuvishika.Kuna tofauti gani na kitu ambacho hakionekani, hakishikiki, hakinusiki, hakionjeka, hakiskiski, kinatofautiana maelezo kutoka kwa watu na sehemu, hakipimiki, hakina mantiki... Na kitu ambacho hakipo kabisa. Tofauti ya hivi vitu viwili ni Nini?
1. Tafiti zimeanzishwa kwenye kuhoji bible na Quran na vitabu vingine vya dini, ikajulikana vina makosa ya kisayansi, KIMANTIKI, kimaadili, kihistoria so haviwezi kuwa vya mungu.Kwahiyo hakuna ushahidi wa kisayansi na wakati huo huo hakuna utafiti wowote wa kisayansi unaofanywa kujua ukweli kwamba Mungu au hayupo?
Furaha evidence yake ni smiles, vibes, presents, good words, hizi ni evidence. Na unaweza trace kwamba zinacome from happiness kwa sababu Kuna hormones zinawork na hivi vitu ..so it can be proven scientifically through biology...๐haya leta evidence ya RohoKitu ambacho hakipo kabisa hakina athari za kuwepo, vitu kama furaha au chuki tunaona athari zake tu japo vyenyewe hatuvioni wala kuvishika.
Ili kumaliza utata wa hayo yote na uweze kujua kuwa hakika hakuna Mungu kufanyike utafiti wa kisayansi ili tuwe na majibu ya kisayansi. Mfano hoja ya maombi ukisema ukimwombea mtu inakuwa sawa na kutomuombea hilo sijui tafiti mmefanyia wapi? Maana maombi ni sehemu ya maisha ya watu ya kila siku kutokana na changamoto mbalimbali.1. Tafiti zimeanzishwa kwenye kuhoji bible na Quran na vitabu vingine vya dini, ikajulikana vina makosa ya kisayansi, KIMANTIKI, kimaadili, kihistoria so haviwezi kuwa vya mungu.
2. Tafiti nyingine ni kwenye personal experience za watu ikajulikana watu Wana hallucinations tu, we unaweza tokewa na malaika chumbani ukatuhadithia kumbe ni akili yako Ina mauzauza..so that ikawa out
3. Prayer imekuwa tested Mara kibao imeonekana kwamba hamna proof ya direct positive effect ya prayer so mtu ukimwombea haina difference na usipomwombea
4. Argument ya nature imekuwa disproven huwezi sema nature is beautiful wakati Kuna magonjwa, disasters, mateso, mauaji throughout all areas of life, so huwezi sema a perfect god made this.
5. Argument ya popularity pia imedismiss coz watu wengi wanaweza amini kitu wrong pia. Kama zamani flat earth na jua kuzunguka dunia.
6. Science pia inasema kwamba it's unlikely the earth was made before the sun and stars 6000 years ago in 6 days. Wakati Kuna archaeological data inaonyesha vitu vya million of years ago...
7. Ukisema "universe can't exist out of nothing" unabaki na unanswered question huyo Mungu katoka wapi, ukisema alikuwepo tu siku zote, ๐alikuwa anafanya Nini na wapi na mda uliendaje mpaka akaboreka akaamua kutengeza ulimwengu? ๐So the god hypothesis fails apart completely with the question haya who created god...if noone bac na the universe inaweza ikawa imeexist bila creation ya a male Judeo-Christian god
Sio kila anaye smile ni kweli anafuraha unaweza ukaonyesha tabasamu ili hali una hasira hivyo huwezi kusema et smile ni evidence ya furaha.Furaha evidence yake ni smiles, vibes, presents, good words, hizi ni evidence. Na unaweza trace kwamba zinacome from happiness kwa sababu Kuna hormones zinawork na hivi vitu ..so it can be proven scientifically through biology...๐haya leta evidence ya Roho
Ingia Google search "prayer studies, a scientific investigation on prayer" wazungu wamefanya tafiti kuangalia effectiveness of prayer wamegundua hamna tofauti...we utaambiwa tu mtu akipata alichokiomba kwamba Mungu katenda wakati ye mwenyewe kafanya kazi na asipopata utaskia ni mipango ya Mungu...๐คฃyaani Mungu amekuwa Kama ticket ya kubeti... We tafuta hata AI uliza kuhusu scientific investigation on prayer hata chat gbt watakupa majibu Kama huamini googleIli kumaliza utata wa hayo yote na uweze kujua kuwa hakika hakuna Mungu kufanyike utafiti wa kisayansi ili tuwe na majibu ya kisayansi. Mfano hoja ya maombi ukisema ukimwombea mtu inakuwa sawa na kutomuombea hilo sijui tafiti mmefanyia wapi? Maana maombi ni sehemu ya maisha ya watu ya kila siku kutokana na changamoto mbalimbali.
Ndo maana sijaishia kwenye smiles tu... Soma message nzimaSio kila anaye smile ni kweli anafuraha unaweza ukaonyesha tabasamu ili hali una hasira hivyo huwezi kusema et smile ni evidence ya furaha.
Niwekee link.Ingia Google search "prayer studies, a scientific investigation on prayer" wazungu wamefanya tafiti kuangalia effectiveness of prayer wamegundua hamna tofauti...we utaambiwa tu mtu akipata alichokiomba kwamba Mungu katenda wakati ye mwenyewe kafanya kazi na asipopata utaskia ni mipango ya Mungu...๐คฃyaani Mungu amekuwa Kama ticket ya kubeti... We tafuta hata AI uliza kuhusu scientific investigation on prayer hata chat gbt watakupa majibu Kama huamini google
Unakumbuka tunachojadili?Ndo maana sijaishia kwenye smiles tu... Soma message nzima
Niwekee link.
Mkuu tunapozungumzia maombi ni kwamba ni kitu ambacho ni sehemu ya maisha yetu kwa maana kuanzia kuondoa shida,maradhi na hata kupata unachotaka. Wapo watu shughuli zao za kila siku ni kufanyia watu dua kwa shida na mahitaji mbalimbali(sizungumzii miujiza) sijui kama unajua hili?
Ushahidi wa rohoUnakumbuka tunachojadili?
We jamaa unafurahisha sana.
Kijana acha nikuache kwanza.Ushahidi wa roho
Ukirudi njoo na hojaKijana acha nikuache kwanza.
Unachakusema?We jamaa unafurahisha sana.
Toa hoja, sio keleleMungu yuko juu ya Uwezo wako kila kitu
Leo hii jaribu kupaa angani utaona unakufa kwa baridi pressure na kukosa oxygen ..Ila waliotunga hizi story hawakujua Hilo...๐คฃso sorryKwa Wakristu yupo angani kwemye mawingu kwa kuwa Yesu alipaa angani.
Hii Dunia imeumbwa katika mfumo wa muda. Na huyo Mungu anaishi nje ya huu mfumo yaan hana muda๐ผ๐๐จ๐๐ ๐๐ช๐ฃ๐ ๐ข๐๐ข๐๐ค ๐ฎ๐๐ฃ๐๐๐๐ ๐๐ง๐๐จ๐๐ ๐จ๐๐ฃ๐ ๐๐ช๐ฃ๐ ๐๐ช๐๐ ๐ช๐ฃ๐๐ ๐๐ ๐ช๐ฃ๐๐ฌ๐๐ฏ๐ ๐๐๐ซ๐ ๐๐ช๐ฃ๐๐ช ๐๐ก๐๐ฉ๐ค๐ ๐๐ ๐ฌ๐๐ฅ๐ ๐๐ ๐๐ช๐ฃ๐๐ช ๐๐จ๐๐ฃ๐๐๐ ๐ช๐ฌ๐๐ฅ๐ค ๐ ๐ช๐ฃ๐๐๐ ๐ช๐ฌ๐ ๐ฃ๐ ๐๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ๐จ๐๐จ๐ ๐ฉ๐ช๐ฃ๐๐๐ฉ๐ค๐ ๐๐ ๐ฌ๐๐ฅ๐ ๐ฃ๐๐ฃ๐ ๐๐ก๐๐ข๐ช๐ช๐ข๐๐ ๐๐ช๐ฃ๐๐ช ๐๐๐๐๐ ๐ฃ๐๐๐๐ ๐ ๐ฃ๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐ช๐๐๐จ๐๐ข๐๐ ๐ฃ๐๐จ๐๐๐ ๐ ๐ช๐ ๐ช๐๐ช๐ง๐ช ๐ ๐๐ข๐ ๐ฌ๐๐จ๐ฌ๐๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐๐จ๐๐ข๐๐ซ๐ฎ๐ค.
Bro Mungu anapatikana kwenye unyenyekevu. One's umeamua kutaka kumjua na kumuishi ukajishusha utapata mwanga na majibu yote magumu uliyonayo.1. Tabia ni activity za ubongo wako, ubongo wako ndo unaamua we ulale au uamke, upumue au ufe, uote au usiote, uongee ama usionge, ule ama usile, walioandika hekaya zenu hawakujua Hilo ndo wakaja na mambo ya nafsi sijui roho sijui moyo ni kwamba hawakuwa na elimu ya Sayansi. Ndo maana katika Sayansi especially neurology ushaambiwa soul doesn't exist kila kitu Kiko kwa brain.
2. Kabla ya kuzaliwa ulikuwa tumboni kwa mama Ako na haukuwa na uwezo wa kujenga mawazo na fikra ndo maana hukumbuki chochote kuhusu ukiwa tumboni
3. Baada ya kufa???๐คฃni sawa na kuuliza moto ukizimika huo moto unaenda wapi.. ukifa umekufa..kuhusu mwili wako inategemea wanaokuzika watauzika wapi na saa ngapi
4. Sayansi imeweza kuelezea asili za wanyama waliopo Sasa kutokana na vipimo na tafiti walizofanya, pia wameweza kugundua kuhusu umri wa dunia na sio miaka 6000 Kama Biblia inavyosema kwa sababu Kuna evidence za jamii zilizokuwepo kabla ya mda huo pia Kuna mawe yanadate back millions of years,mifupa ya wanyama pia, so Sayansi haiwezi kuleta video proof ya kuwa ulimwengu ulianzaje Ila we sure kwamba hata bible haiwezi kwa sababu ilishatudanganya kuhusu siku sita za kuumba dunia, dunia kuumbwa kabla ya jua nyota na mwezi, mimea kuumbwa kabla ya jua sijui inakuwaje bila photosynthesis, nyoka kuongea etc, so Bora ufate kitu ambacho kina make more sense na kina more evidence kuliko story ya kucopy na kupaste kutoka dini za kipagani.
Mfano mzuri, wanasayansi wanaweza wakajua mtu kafa kwa Nini, au mwizi ni yupi na kaibaje kwa kuangalia evidence zilizopo bila hata msaada wa video. Na hivyo hivyo kupitia evidence zilizopo wanasayansi wanaweza wakajua asili ya kitu. So u r dead wrong