SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
- Thread starter
- #161
Nani kasema Mungu yupo au hayupo. Tumesema Biblia na Quran ni story za kutunga.Hivi huu msimamo wa kwamba "hakuna Mungu" umejengwa kwenye msingi gani? Yani kipi kinabeba huu msimamo na kufanya kuwa ni uhakika kuwa Munguni hayupo tu na si vinginevyo?