Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

Hakufa... Kama alikufa angetangazwa kafa afu akatangazwa kafufuka... Hii story unaijua wewe na wafuasi wenzako wa habari za uwongo. Hamna sehemu yoyote katangazwa hivyo kafa na kuona moto sijui mbingu...if so leta official government au hospital statement ikisema hivi na kukubali if not. Ni story zake tu kichwani hata me naweza kuwa clinically dead na nikasema nakumbuka kuona vitu fulani doesn't make hell n heaven exist. Coz if it did, hizo story zote zingekuwa zinaelezea sehemu moja
Hakufa?

Daktari aliyesaini cheti chake cha kifo alidanganya?

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza aliyesaini kwa niaba ga Serikali ya Tanzania hati ya kuwaruhusu madaktari kuziona mtambo wa Oxygen naye alishiriki uongo?

Binti wa Msuya aliyekuwa naye huko Uingereza aliridhia baba yake kusingiziwa kifo?

CDF wa kipindi hicho, Davis Mwamunyange ambaye ndiye aliyemsainia kibali cha kwenda kutibiwa Uingereza, angekubali Jeshi kudanganywa?

Maandalizi ya mazishi yaliyokuwa yakifanywa na JWTZ, kabla ya baadaye taarifa kutolewa kuwa marehemu kafufuka, nayo yalikuwa maigizo?

Kifo chake kilitangazwa na Serikali, lakini suala la yeye kwenda Mbinguni na Jehanamu, ni ushuhuda wake binafsi.
 
Bro..hiyo ni akili yako..ndo maana tuna mawazo tofauti...Kama hiyo akili ndo Mungu bac binadamu wote tungekuwa na dini moja lakini dini zipo 10k, coz hizi ni fikra za watu. Hamna kitu kiitwacho roho, fikra zipo katika ubongo. Hizo dhana za roho nafsi moyo ni dhana za watu wa kale wasioelewa mwili wa binadamu, Kama unabisha tikisa ubongo kidogo tu uone Kama utakuwa sawa. Soma biology form 2 itakusaidia
BASI Sawa mkuu...
 
No...siamini superstition yoyote that includes the bible na maujinga yote ya dini mauchawi sijui nyota zote ni fikra za watu wazamani walioshindwa kuelewa dunia
Kama huamini kuwa Kuna uchawi, unastahili kupewa pole. Isije ikawa umeshalogwa! Kitendo cha kutilia mashaka juu ya uwepo wa Mungu si jambo la kawaida.

Unasemaje kuhusiana na matukio ambayo yameshawahi kutokea maeneo kadhaa hapa Tanzania, ambayo yapo beyond Science explanation?

Humu Jamii Forum, kuna nyuzi zenye taarifa ya vifo vyenye utata, mfano, mtu kufa na kuzikwa na baada ya muda akaonekana akiwa hai, na Polisi walipofukua kaburi wakakuta gogo badala ya maiti.

Hayo matukio unayaelezeaje? Yashatokea Mwanza, Kigoma, Simiyu, n.k., na kote huko, Polisi walithibitisha.
 
Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.

Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.

Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.

So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.

Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.

Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.

Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku
Biblia ni Jibu la kila Swali katika maisha yako;Hivyo basi soma Biblia.
 
Yani hata uki simplify ukasema elimu ni literacy, numeracy, degrees na diplomas (as overall metrics and indicators for more complex versions of "elimu" ambazo kuzipima si rahisi), jamii zenye elimu hiyo kubwa (e.g Northern Europe) ndizo zenye kukataa uwepo wa Mungu zaidi ya jamii zisizo na elimu hiyo kwa sana kama Afrika na Middle East

Na jinsi jamii zisizo na elimu hiyo kwa sana kama Africa na Middle East zinavyozidi kupanua mawazo kutokana na kupata elimu hizo kwa sana, adjusting for cultural factors, ndivyo jamii hizo zinavyozidi kutoka kwenye imani ya Mungu.

Nimetoa links tatu za Middle East and North Africa hapo juu. Huku Africa kusini ya Sahara nimeeleza kwa nini hata wasomi bado wanajinadi kuamini Mungu kwa unafiki lakini ukiangalia wanavyoiba unaona wazi hawaamini Mungu.

Action speaks louder than words.
Kuamini juu ya uwepo wa Mungu ni tofauti na kumwamini Mungu.

Kumwamini ndiko kunakomfanya mtu awe na matendo yanayoshabihiana na imani yake.

Hata Shetani na wachawi wanaamini kuwa Mungu yupo, lakini wamechagua kutokumwamini, hivyo matendo yao yanapingana na matakwa ya Mungu.

Mtu anaweza kuamini juu ya uwepo wa Mungu na bado akatenda kinyume na Mungu, lakini yeyote anayemwamini Mungu hata matendo yake yataakisi hivyo.
 
Hakufa?

Daktari aliyesaini cheti chake cha kifo alidanganya?

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza aliyesaini kwa niaba ga Serikali ya Tanzania hati ya kuwaruhusu madaktari kuziona mtambo wa Oxygen naye alishiriki uongo?

Binti wa Msuya aliyekuwa naye huko Uingereza aliridhia baba yake kusingiziwa kifo?

CDF wa kipindi hicho, Davis Mwamunyange ambaye ndiye aliyemsainia kibali cha kwenda kutibiwa Uingereza, angekubali Jeshi kudanganywa?

Maandalizi ya mazishi yaliyokuwa yakifanywa na JWTZ, kabla ya baadaye taarifa kutolewa kuwa marehemu kafufuka, nayo yalikuwa maigizo?

Kifo chake kilitangazwa na Serikali, lakini suala la yeye kwenda Mbinguni na Jehanamu, ni ushuhuda wake binafsi.
Hakufa Sasa unalazimisha au...which one is more likely the law of nature zimekuwa suspended kwa ajili yake peke ake au wamekosea kumdiagnose, doctors ain't perfect so they make mistakes. Nimekuuliza if kufufuka is real na hao unaosema wamefufuka, mbona Kuna story tofauti kuhusu hio mbingu na motoni, tumsikilize nani tumwache nani...nijibu bac naona unakazia sijui Nani kaona kafa nijibu swali.. why different stories abt heaven n hell
 
Kuamini juu ya uwepo wa Mungu ni tofauti na kumwamini Mungu.

Kumwamini ndiko kunakomfanya mtu awe na matendo yanayoshabihiana na imani yake.

Hata Shetani na wachawi wanaamini kuwa Mungu yupo, lakini wamechagua kutokumwamini, hivyo matendo yao yanapingana na matakwa ya Mungu.

Mtu anaweza kuamini juu ya uwepo wa Mungu na bado akatenda kinyume na Mungu, lakini yeyote anayemwamini Mungu hata matendo yake yataakisi hivyo.
Mungu yupi Sasa wapi 3000
 
Hakufa Sasa unalazimisha au...which one is more likely the law of nature zimekuwa suspended kwa ajili yake peke ake au wamekosea kumdiagnose, doctors ain't perfect so they make mistakes. Nimekuuliza if kufufuka is real na hao unaosema wamefufuka, mbona Kuna story tofauti kuhusu hio mbingu na motoni, tumsikilize nani tumwache nani...nijibu bac naona unakazia sijui Nani kaona kafa nijibu swali.. why different stories abt heaven n hell
Sijui hao uliowasikiliza, ila mimi niliutoa huo mfano Msuya kwa vile ni mtu anayefahamika.

Ubishi hautasaidia mkuu. Mbingu ipo, na jehanamu ipo pia. Bora ufahamu hilo mpema na ukafanya uamuzi sahihi kungali muda unaruhusu.

Hakuna kukata rufaa Jehanamu.
 
Sijui hao uliowasikiliza, ila mimi niliutoa huo mfano Msuya kwa vile ni mtu anayefahamika.

Ubishi hautasaidia mkuu. Mbingu ipo, na jehanamu ipo pia. Bora ufahamu hilo mpema na ukafanya uamuzi sahihi kungali muda unaruhusu.

Hakuna kukata rufaa Jehanamu.
Hahaha ndo mnatishiana hivyo...nijibu kibaolojia.. Nini kitachoungua baada ya Mimi Kufa. Kama ni roho, Ina ngozi Ina nerves na pain receptors Ina misuli why niogope siwezi skia maumivu coz pain inahusisha ubongo na spinal cord ambayo Sina mda huo. If ni mwili, unatoka wapi, unajiphotocopy...in short hii concept ni ya mababu na kwa elimu ya saa hivi inafeli in logic na reason ndo maana mtu mwenye akili timamu hawezi kukaa na kuwaza ataungua baada ya kufa ni vitisho vya ajabu kisa watu wajinga bac
 
Mwenye Enzi Yote.
Kila dini Ina Mungu wa hivi, wako ndo anajulikana zaidi... Either Yahweh au Allah wote wametengenezwa na jamii zao husika na wanasheria na historia kutokana na jamii zao na kipindi chao.
 
Hii dunia hata kwa akili za kawaida tu, ina chanzo. Na hiko chanzo ndio tunakiita MUNGU.

Shida kubwa hapa ni dini. Haswa ukristu na Uislam. Ni sheeda.
 
Hahaha ndo mnatishiana hivyo...nijibu kibaolojia.. Nini kitachoungua baada ya Mimi Kufa. Kama ni roho, Ina ngozi Ina nerves na pain receptors Ina misuli why niogope siwezi skia maumivu coz pain inahusisha ubongo na spinal cord ambayo Sina mda huo. If ni mwili, unatoka wapi, unajiphotocopy...in short hii concept ni ya mababu na kwa elimu ya saa hivi inafeli in logic na reason ndo maana mtu mwenye akili timamu hawezi kukaa na kuwaza ataungua baada ya kufa ni vitisho vya ajabu kisa watu wajinga bac
Wewe n mtaalam wa Biology?

Wanasayansi wanakiri kuwa mpaka sasa, ni sehemu ndogo tu ya ubongo ndiyo ishafahamika kiufasaha. Bado sehemu kubwa haijulikani, tafiti zinaendelea.

Hata miaka ya nyuma, iliaminika kuwa ubongo ndiyo akili, toafauti na inavyofahamika sasa, kuwa ubongo ni kama hardware na akili ni software.

Wewe unajifahamu vizuri? Unafikiri huyo anayeonekana kwa macho ya nje ndiye wewe halisi? Noo!!!

Mwili wako ni jengo la roho yako. Wewe halisi ni roho, na una nafsi. Ndani ya nafsi ndiko kulimo na akili. Hata wataalamu wa Elimu Viumbe na Elimu nafsi wanalifahamu hiloe. Au unafikiri neno SUBCONSCIOUS MIND limetoka wapi?

Mtu anapokufa, haimaanishi kuwa anapoteza uwezo wa kujitambua. Kinachotokea ni yeye kutokuwa na uwezo wa kuwasiliana na ulimwengu wa asili. Anapokufa, anatoka kwenye mwili wake na kuelekea panapomstahili.

Akiwa ameshatoka kwenye mwili wake, anakuwa timamu katika mambo yote, ikiwa ni pamoja na kuhisi maumivu endapo mwili wake wa kiroho utaumizwa.

Usijifariji kuwa endapo utaishia Jehanamu hutaweza kusikia maumivu. Si kweli. Jehanamu ni mateso na vilio visivyo na mfano.

Pakimbie.
 
Wewe n mtaalam wa Biology?

Wanasayansi wanakiri kuwa mpaka sasa, ni sehemu ndogo tu ya ubongo ndiyo ishafahamika kiufasaha. Bado sehemu kubwa haijulikani, tafiti zinaendelea.

Hata miaka ya nyuma, iliaminika kuwa ubongo ndiyo akili, toafauti na inavyofahamika sasa, kuwa ubongo ni kama hardware na akili ni software.

Wewe unajifahamu vizuri? Unafikiri huyo anayeonekana kwa macho ya nje ndiye wewe halisi? Noo!!!

Mwili wako ni jengo la roho yako. Wewe halisi ni roho, na una nafsi. Ndani ya nafsi ndiko kulimo na akili. Hata wataalamu wa Elimu Viumbe na Elimu nafsi wanalifahamu hiloe. Au unafikiri neno SUBCONSCIOUS MIND limetoka wapi?

Mtu anapokufa, haimaanishi kuwa anapoteza uwezo wa kujitambua. Kinachotokea ni yeye kutokuwa na uwezo wa kuwasiliana na ulimwengu wa asili. Anapokufa, anatoka kwenye mwili wake na kuelekea panapomstahili.

Akiwa ameshatoka kwenye mwili wake, anakuwa timamu katika mambo yote, ikiwa ni pamoja na kuhisi maumivu endapo mwili wake wa kiroho utaumizwa.

Usijifariji kuwa endapo utaishia Jehanamu hutaweza kusikia maumivu. Si kweli. Jehanamu ni mateso na vilio visivyo na mfano.

Pakimbie.
Hayo maumivu ya moto unayesiaje bila kuwa na ubongo, ngozi, spinal cord na nerve cells. Unajua dawa ya kuuwa ganzi inafanyaje katika mwili. Sasa ndo ukishaelewa medicine, ukijua maumivu yanasababishwa na Nini...utaacha kuamini story za watu wa kale ambao hawakujua chochote kuhusu mwili wa binadamu...eti moyo ndo unafikra na ndo una roho jamani jamani.. biology form 2 rudini
 
Back
Top Bottom