Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

1. We umeona Mungu mwingine ameona vitu vya kawaida katika nature, ukosaji wako wa maarifa ndo umekufanya uamini ni Mungu na sio vitu vya kawaida tu.
2. Uhai sio Kama Maji, hauwezi kuwekwa kwenye chombo hiki na kupelekwa kile. Uhai ni kama moto wa kiberiti, ukiuwasha ukizima huwezi uwasha Tena bila kutumia moto mwingine.
3. Mtu mawazo yake yote yapo kwenye ubongo, hence ubongo ukifa na mawazo hufa, unakua hujui chochote huoni chochote, na madoctor wameprove hivyo kwa watu wenye matatizo ya ubongo. Watu walioandika hizi story walikuwa wanajua moyo ndo unafikra, roho sijui Nini, ndo maana wakasema hivyo. Ila now tunajua hamna kitu Kama roho na ishakuwa disproven Mara kibao.
4. Kingine acha uwoga. Waliokutishia wanataka sadaka zako na kucontrol maisha yako?
Nikianzia namba 4. Sijaongelea ibada wala sadaka.

3. Unaonesha mapungufu ya maarifa. Mawazo siyo uhai.

2. Wrong again

1. Inawezekana unalazimisha nadharia na siyo kujadili nadharia na facts.

Nimekuelezea nionavyo mimi, lakini sentensi ya kwanza ukaanza kuni degrade personal huo ni upungufu mkubwa kwenye meza ya mjadala.

Maoni yangu bado haujayajibu bali umekuja na hoja dhaifu tena za kukurupuka bila kujua unaongea nini.
 
Sijazungumzia biblia bali dhana nzima ya Mungu bila kujali kitabu cha dini wala dini, kuna vitabu na dini nyingi sana ila kote kuna dhana ya kuwepo Mungu na ndio nauliza hao wazungu wamefanya utafiti wa kisayansi na kupata majibu?
Sayansi haiwezi thibitisha Kila kitu sayansi udili na vinavyoonekana nje ya hapo mfano Roho,ndoto,UFO, Tabia,asili ya kitu, mwisho wa kitu,muunganiko wa Roho, nafsi na mwili haina majibu.
Ni asilimia 10% ya mambo yaliyopo Duniani ndo sayansi imejibu
 
Sayansi haiwezi thibitisha Kila kitu sayansi udili na vinavyoonekana nje ya hapo mfano Roho,ndoto,UFO, Tabia,asili ya kitu, mwisho wa kitu,muunganiko wa Roho, nafsi na mwili haina majibu.
Ni asilimia 10% ya mambo yaliyopo Duniani ndo sayansi imejibu
Sawa sayansi haiwezi kujibu kila kitu ila watu hutumia hiyo sayansi kupinga kila kitu, mfano mtu atakwambia hakuna roho na kama wewe unambishia basi toa ushahidi wa kisayansi na kama ukishindwa kutoa ushahidi wa kisayansi basi moja kwa moja inakuwa hakuna roho.
 
Sawa sayansi haiwezi kujibu kila kitu ila watu hutumia hiyo sayansi kupinga kila kitu, mfano mtu atakwambia hakuna roho na kama wewe unambishia basi toa ushahidi wa kisayansi na kama ukishindwa kutoa ushahidi wa kisayansi basi moja kwa moja inakuwa hakuna roho.
Sayansi Sio only factor ya kupima uthibitisho wa jambo sayansi ni branch tu ya elimu kati ya mamilioni ya elimu au njia zingine za kuthibitisha mambo.
Usijifungie kwenye box moja tu la sayansi.
Sayansi inapokoma kutoa jibu tunaangalia elimu zingine kutafuta jibu, mfano sayansi haiwezi kukupa jibu tabia ukaa wapi mwilini, kwenye nafsi au kwenye Roho,maisha baada ya kifo,kabla ya mtu kuzaliwa alikua wapi.
Sayansi ukupa majibu ya kile kinachoonekana tu, lakini Haina majibu juu ya asili au chanzo Cha Hicho kitu.
Hata kitu kiitwachwo technolojia ni transformation ya imagination ambapo imagination ni copy na paste ya ideology ya vitu toka outer world either kupitia ndoto au factors zingine.
Watu wafanyao transformers ya idea toka outer worlds na kuleta in physical world wanaitwa genius au wabunifu.
 
Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza
Hapa ndipo nilipogundua wewe ni pumbavu
 
Sayansi Sio only factor ya kupima uthibitisho wa jambo sayansi ni branch tu ya elimu kati ya mamilioni ya elimu au njia zingine za kuthibitisha mambo.
Usijifungie kwenye box moja tu la sayansi.
Sayansi inapokoma kutoa jibu tunaangalia elimu zingine kutafuta jibu, mfano sayansi haiwezi kukupa jibu tabia ukaa wapi mwilini, kwenye nafsi au kwenye Roho,maisha baada ya kifo,kabla ya mtu kuzaliwa alikua wapi.
Sayansi ukupa majibu ya kile kinachoonekana tu, lakini Haina majibu juu ya asili au chanzo Cha Hicho kitu.
Hata kitu kiitwachwo technolojia ni transformation ya imagination ambapo imagination ni copy na paste ya ideology ya vitu toka outer world either kupitia ndoto au factors zingine.
Watu wafanyao transformers ya idea toka outer worlds na kuleta in physical world wanaitwa genius au wabunifu.
Sio mimi mkuu naelezea hao watu ambao hawaamini Mungu,roho n.k ndio hutumia sayansi kupinga kila watakacho kukipinga na hujiita ni waumini wa sayansi.
 
Sio mimi mkuu naelezea hao watu ambao hawaamini Mungu,roho n.k ndio hutumia sayansi kupinga kila watakacho kukipinga na hujiita ni waumini wa sayansi.
Wamejilimiti elimu kwa kujifungia kwenye box la sayansi.
Hao ni tomaso
 
𝘼𝙞𝙨𝙚𝙚 𝙆𝙪𝙣𝙖 𝙢𝙖𝙢𝙗𝙤 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙛𝙞𝙠𝙞𝙧𝙞𝙨𝙝𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙆𝙪𝙣𝙖 𝙈𝙪𝙙𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙠𝙖𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙖𝙯𝙖 𝙝𝙞𝙫𝙞 𝙈𝙪𝙣𝙜𝙪 𝙖𝙡𝙞𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙬𝙖𝙥𝙞 𝙟𝙚 𝙈𝙪𝙣𝙜𝙪 𝙖𝙨𝙞𝙣𝙜𝙚𝙠𝙪𝙬𝙚𝙥𝙤 𝙠𝙪𝙣𝙜𝙚𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙣𝙖 𝙉𝙞𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙨𝙞𝙨𝙞 𝙩𝙪𝙣𝙜𝙚𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙬𝙖𝙥𝙞 𝙣𝙖𝙣𝙞 𝙖𝙡𝙞𝙢𝙪𝙪𝙢𝙗𝙖 𝙈𝙪𝙣𝙜𝙪 𝙙𝙖𝙖𝙖𝙝 𝙣𝙖𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙣𝙖𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙠𝙪𝙟𝙞𝙨𝙚𝙢𝙚𝙖 𝙣𝙞𝙨𝙞𝙟𝙚 𝙠𝙪𝙠𝙪𝙛𝙪𝙧𝙪 𝙠𝙖𝙢𝙖 𝙬𝙖𝙨𝙬𝙖𝙝𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙨𝙚𝙢𝙖𝙫𝙮𝙤.[emoji114]
 
Nikianzia namba 4. Sijaongelea ibada wala sadaka.

3. Unaonesha mapungufu ya maarifa. Mawazo siyo uhai.

2. Wrong again

1. Inawezekana unalazimisha nadharia na siyo kujadili nadharia na facts.

Nimekuelezea nionavyo mimi, lakini sentensi ya kwanza ukaanza kuni degrade personal huo ni upungufu mkubwa kwenye meza ya mjadala.

Maoni yangu bado haujayajibu bali umekuja na hoja dhaifu tena za kukurupuka bila kujua unaongea nini.
🤣Umeshindwa kujibu
1. Ukosaji wa maarifa ndo uumbaji wa miungu, zamani watu waliojua mawinguni Kuna Mungu na anafungua madirisha kusababisha mvua Leo hii huamini hivyo coz una maarifa, unavyozidi kuwa na maarifa kuhusu maisha na Hali halisi ya ulimwengu unakuwa muelewa na huwezi ukaishia kuamini miujiza
2. Mbwa ana roho? Mbwa nao wataenda mbinguni na Motoni? Tell me why?
 
Sayansi haiwezi thibitisha Kila kitu sayansi udili na vinavyoonekana nje ya hapo mfano Roho,ndoto,UFO, Tabia,asili ya kitu, mwisho wa kitu,muunganiko wa Roho, nafsi na mwili haina majibu.
Ni asilimia 10% ya mambo yaliyopo Duniani ndo sayansi imejibu
Na imejibu maswali Kama mvua zinasababishwa na Nini, volcano na tsunami zinasababishwa na Nini, kuangaza na kuzama kwa jua inasababishwa na Nini na vitu vingine vingi ambavyo zamani walijua ni Mungu ndo anafanya hii kazi. So why usiwe na subira na uvumilivu Kama wanasayansi katika kutafuta majibu kuliko kuja na conclusion kwamba sijui roho sijui Mungu, huo ni uvivu wa kufikiria na uvivu wa kutafiti ndo maana mzungu anatengeneza chanjo ya corona, mbongo anaenda kwa mwamposa kukanyagana mafuta, afu unauliza why wazungu wanaendelea. Kingine ukiongelea roho uniambie mbwa ana roho au Hana, na Kama anayo kutakuwa na mbwa wanaenda mbinguni au motoni
 
Wanafanya huo uchunguzi wa kisayansi ili kupata ukweli au wanasema tu hakuna ushahidi wa kisayansi?
Hamna ushahidi wa kisayansi kwamba Mungu, especially huyo wa kwenye Biblia ambae kitabu chake kina makosa nje ndani, yupo
 
Sawa sayansi haiwezi kujibu kila kitu ila watu hutumia hiyo sayansi kupinga kila kitu, mfano mtu atakwambia hakuna roho na kama wewe unambishia basi toa ushahidi wa kisayansi na kama ukishindwa kutoa ushahidi wa kisayansi basi moja kwa moja inakuwa hakuna roho.
Kuna tofauti gani na kitu ambacho hakionekani, hakishikiki, hakinusiki, hakionjeka, hakiskiski, kinatofautiana maelezo kutoka kwa watu na sehemu, hakipimiki, hakina mantiki... Na kitu ambacho hakipo kabisa. Tofauti ya hivi vitu viwili ni Nini?
 
Sayansi Sio only factor ya kupima uthibitisho wa jambo sayansi ni branch tu ya elimu kati ya mamilioni ya elimu au njia zingine za kuthibitisha mambo.
Usijifungie kwenye box moja tu la sayansi.
Sayansi inapokoma kutoa jibu tunaangalia elimu zingine kutafuta jibu, mfano sayansi haiwezi kukupa jibu tabia ukaa wapi mwilini, kwenye nafsi au kwenye Roho,maisha baada ya kifo,kabla ya mtu kuzaliwa alikua wapi.
Sayansi ukupa majibu ya kile kinachoonekana tu, lakini Haina majibu juu ya asili au chanzo Cha Hicho kitu.
Hata kitu kiitwachwo technolojia ni transformation ya imagination ambapo imagination ni copy na paste ya ideology ya vitu toka outer world either kupitia ndoto au factors zingine.
Watu wafanyao transformers ya idea toka outer worlds na kuleta in physical world wanaitwa genius au wabunifu.
1. Tabia ni activity za ubongo wako, ubongo wako ndo unaamua we ulale au uamke, upumue au ufe, uote au usiote, uongee ama usionge, ule ama usile, walioandika hekaya zenu hawakujua Hilo ndo wakaja na mambo ya nafsi sijui roho sijui moyo ni kwamba hawakuwa na elimu ya Sayansi. Ndo maana katika Sayansi especially neurology ushaambiwa soul doesn't exist kila kitu Kiko kwa brain.
2. Kabla ya kuzaliwa ulikuwa tumboni kwa mama Ako na haukuwa na uwezo wa kujenga mawazo na fikra ndo maana hukumbuki chochote kuhusu ukiwa tumboni
3. Baada ya kufa???🤣ni sawa na kuuliza moto ukizimika huo moto unaenda wapi.. ukifa umekufa..kuhusu mwili wako inategemea wanaokuzika watauzika wapi na saa ngapi
4. Sayansi imeweza kuelezea asili za wanyama waliopo Sasa kutokana na vipimo na tafiti walizofanya, pia wameweza kugundua kuhusu umri wa dunia na sio miaka 6000 Kama Biblia inavyosema kwa sababu Kuna evidence za jamii zilizokuwepo kabla ya mda huo pia Kuna mawe yanadate back millions of years,mifupa ya wanyama pia, so Sayansi haiwezi kuleta video proof ya kuwa ulimwengu ulianzaje Ila we sure kwamba hata bible haiwezi kwa sababu ilishatudanganya kuhusu siku sita za kuumba dunia, dunia kuumbwa kabla ya jua nyota na mwezi, mimea kuumbwa kabla ya jua sijui inakuwaje bila photosynthesis, nyoka kuongea etc, so Bora ufate kitu ambacho kina make more sense na kina more evidence kuliko story ya kucopy na kupaste kutoka dini za kipagani.
Mfano mzuri, wanasayansi wanaweza wakajua mtu kafa kwa Nini, au mwizi ni yupi na kaibaje kwa kuangalia evidence zilizopo bila hata msaada wa video. Na hivyo hivyo kupitia evidence zilizopo wanasayansi wanaweza wakajua asili ya kitu. So u r dead wrong
 
Wamejilimiti elimu kwa kujifungia kwenye box la sayansi.
Hao ni tomaso
2+2=4 dunia nzima. Haijalishi we mwindi, msukuma, mzungu, myahudi, mchina. Bora nijifungie kwenye box yenye majibu ya uhakika na ya kuthibitishwa kuliko kujifungia kwenye box la "ni hivi kwa sababu nimesema hivi na usipoamini unaungua baada ya kufa" na kila mtu anakuambia chake na masharti sawa.
 
𝘼𝙞𝙨𝙚𝙚 𝙆𝙪𝙣𝙖 𝙢𝙖𝙢𝙗𝙤 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙛𝙞𝙠𝙞𝙧𝙞𝙨𝙝𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙆𝙪𝙣𝙖 𝙈𝙪𝙙𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙠𝙖𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙖𝙯𝙖 𝙝𝙞𝙫𝙞 𝙈𝙪𝙣𝙜𝙪 𝙖𝙡𝙞𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙬𝙖𝙥𝙞 𝙟𝙚 𝙈𝙪𝙣𝙜𝙪 𝙖𝙨𝙞𝙣𝙜𝙚𝙠𝙪𝙬𝙚𝙥𝙤 𝙠𝙪𝙣𝙜𝙚𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙣𝙖 𝙉𝙞𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙨𝙞𝙨𝙞 𝙩𝙪𝙣𝙜𝙚𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙬𝙖𝙥𝙞 𝙣𝙖𝙣𝙞 𝙖𝙡𝙞𝙢𝙪𝙪𝙢𝙗𝙖 𝙈𝙪𝙣𝙜𝙪 𝙙𝙖𝙖𝙖𝙝 𝙣𝙖𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙣𝙖𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙠𝙪𝙟𝙞𝙨𝙚𝙢𝙚𝙖 𝙣𝙞𝙨𝙞𝙟𝙚 𝙠𝙪𝙠𝙪𝙛𝙪𝙧𝙪 𝙠𝙖𝙢𝙖 𝙬𝙖𝙨𝙬𝙖𝙝𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙨𝙚𝙢𝙖𝙫𝙮𝙤.[emoji114]
Uwoga wako huo ndo unafanya we uombee Mungu akupe gari afu mzungu analitengeneza Hilo gari na wewe unalinunua na anaendelea kua tajiri we unaendelea kumtegemea
 
🤣Umeshindwa kujibu
1. Ukosaji wa maarifa ndo uumbaji wa miungu, zamani watu waliojua mawinguni Kuna Mungu na anafungua madirisha kusababisha mvua Leo hii huamini hivyo coz una maarifa, unavyozidi kuwa na maarifa kuhusu maisha na Hali halisi ya ulimwengu unakuwa muelewa na huwezi ukaishia kuamini miujiza
2. Mbwa ana roho? Mbwa nao wataenda mbinguni na Motoni? Tell me why?
unajitaabisha bure.
Mungu atakuongoza taratibu utaelewa kuwa YEYE siyo concept. Mungu ni HAI na yupo anapatikana popote unapofikiria
 
unajitaabisha bure.
Mungu atakuongoza taratibu utaelewa kuwa YEYE siyo concept. Mungu ni HAI na yupo anapatikana popote unapofikiria
🤣Ni hai Yuko wapi Sasa. Mi simwoni Kama unamwona mlete tupige nae story, sio unajiongelesha na kujiotesha afu unasema yu hai..
 
Back
Top Bottom