Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scenario za kutunga ili kuchafua Ndoa takatifu zionekane hazina maana
Hivyo vi meseji vya kutunga vimekuharibu nafsiUsijaribu kumheshimu wala kumuamini kiumbe anayeitwa mwanamke , wewe panga mambo yako jiheshimu, jipende wewe jipe kipaumbele kwanza and note otherwise,
TrueCha chapchap kimemponza
Swali la kingese sana, huyo ke ni malaya jamaa alioa malaya aliekubuhu.😂😂
Dah Nimecheka sana, ety kwann hukunambia Juma n mgonjwa 😂
Wanazimikaga na vitu vya ajabuUnajua bwana wanawake sijui akili zao zipoje,huyo Juma atakuwa alipewa papa just kwa sababu ni fundi yaani mwanamke unaweza ukampa nyumba lakini akamvulia nguo fundi umeme mbadilisha bulb iliyoungua,miaka ya nyuma 2000s kipindi hicho naishi Mabibo Dar nilikuwa namfahamu dada mmoja mzuri kweli nurse Muhimbili alikuwa anakandwa na konda tena teja wa vi-Hiace daladala vya enzi hizo.
Huyo jamaa alikuwa rafiki wa bro nilishawahi kuwasikia ktk mazungumzo yao akimwambia “yule demu nasukuma ni mwenyewe tu amenielewa,siku ya kwanza kufahamiana aliniambia anapenda namna ninavyogonga gonga coin wakati nakusanya salio nikamchomekea wala hakusumbua” kwa tunaopanda daladala unajua ile konda akidai nauli yake anavyofanya,alikuja mpaka kumgeuza single mama.
Aisee usishangae mwingeni akawa kazimika na harufu ya kikapwa Cha muokota makopoUnajua bwana wanawake sijui akili zao zipoje,huyo Juma atakuwa alipewa papa just kwa sababu ni fundi yaani mwanamke unaweza ukampa nyumba lakini akamvulia nguo fundi umeme mbadilisha bulb iliyoungua,miaka ya nyuma 2000s kipindi hicho naishi Mabibo Dar nilikuwa namfahamu dada mmoja mzuri kweli nurse Muhimbili alikuwa anakandwa na konda tena teja wa vi-Hiace daladala vya enzi hizo.
Huyo jamaa alikuwa rafiki wa bro nilishawahi kuwasikia ktk mazungumzo yao akimwambia “yule demu nasukuma ni mwenyewe tu amenielewa,siku ya kwanza kufahamiana aliniambia anapenda namna ninavyogonga gonga coin wakati nakusanya salio nikamchomekea wala hakusumbua” kwa tunaopanda daladala unajua ile konda akidai nauli yake anavyofanya,alikuja mpaka kumgeuza single mama.
Alikudanganya.Unajua bwana wanawake sijui akili zao zipoje,huyo Juma atakuwa alipewa papa just kwa sababu ni fundi yaani mwanamke unaweza ukampa nyumba lakini akamvulia nguo fundi umeme mbadilisha bulb iliyoungua,miaka ya nyuma 2000s kipindi hicho naishi Mabibo Dar nilikuwa namfahamu dada mmoja mzuri kweli nurse Muhimbili alikuwa anakandwa na konda tena teja wa vi-Hiace daladala vya enzi hizo.
Huyo jamaa alikuwa rafiki wa bro nilishawahi kuwasikia ktk mazungumzo yao akimwambia “yule demu nasukuma ni mwenyewe tu amenielewa,siku ya kwanza kufahamiana aliniambia anapenda namna ninavyogonga gonga coin wakati nakusanya salio nikamchomekea wala hakusumbua” kwa tunaopanda daladala unajua ile konda akidai nauli yake anavyofanya,alikuja mpaka kumgeuza single mama.
Anayemkumbuka Salim Chicago Matelephone kipindi akiwa na yard ya kuuza magari pale Town Clock Tower early 2000s jamaa alikuwa na mke mmoja mkali sana alimpa kila kitu namkumbuka kipindi hicho akitembelea Hilux Surf 4x4 but surprisingly alikuja kumpa maku driver anae-park magari pale yard,yaani yule jamaa kama gari ikinunuliwa na ipo nyuma ya nyengine inabidi azitoe zote aitoe then azirudishe tena akaja kulala na mke wa boss mwenye yard.
Amini mkuu!Aisee usishangae mwingeni akawa kazimika na harufu ya kikapwa Cha muokota makopo
Anidanganye nani wakati ni matukio nimeyashuhudia kwa macho yangu na ufahamu wangu?Alikudanganya.
Lawama alizotupiwa mwanaume mwenzetu asee!!!Hilo swali la mwisho linaonyesha kuna wanawake ni kama wanaolewa ili wapate mtu wa kumlaumu kwa madhaifu yao.
Hii pia nimeipendaJamaa mstaarabu sana, busara zimekaa, hakuna paniki hakuna hasira. Hana lawama. Ni fact tu anaongea.