Muogope sana mwanamke, ishi nae kwa akili usiteketee!!

Muogope sana mwanamke, ishi nae kwa akili usiteketee!!

Never trust them,wako wa kuaminiwa lakini sio wote,tumia akili kuishi nao.Hapo jamaa asingekuwa na ushaihidi angemgeuzia kibao kuwa yeye ndio kauleta...
Chochote unachofanya na mwanamke kutunza ushaidi ni muhimu sana, kwa sababu ikitokea mgogoro wowote kati yenu na mwanamke akakushtaki(hata kwa kukusingizia) basi moja kwa moja mwanaume unakua na hatia mpaka pale utakapoweza kuthibitisha kwamba haukufanya ilo kosa, sasa hapo kama hauna ushahidi wa kuthibitisha hauna hatia imekula kwako

Hapo kama jamaa angeupata kwa uyo dada halafu kesi ifike mahakamani basi mshkaji ndio angeambiwa kamuambukiza. Angekula kifungo au faini kubwa tu hapo.

Hata legend baltasar kwa kujua au kutokujua zile video zimemuokoa sana. Wanawake wote kwenye video wameonyesha ushirikiano lakini bila uwepo wa zile video angetokea mmoja pale angesema amembakwa na legend angetoboka hela nyingi sana.
 
Usijaribu kumheshimu wala kumuamini kiumbe anayeitwa mwanamke , wewe panga mambo yako jiheshimu, jipende wewe jipe kipaumbele kwanza and note otherwise,
Umetisha mzee,tujipende na tujipe vipaumbele kwanza.👊👊
 
Unajua bwana wanawake sijui akili zao zipoje,huyo Juma atakuwa alipewa papa just kwa sababu ni fundi yaani mwanamke unaweza ukampa nyumba lakini akamvulia nguo fundi umeme mbadilisha bulb iliyoungua,miaka ya nyuma 2000s kipindi hicho naishi Mabibo Dar nilikuwa namfahamu dada mmoja mzuri kweli nurse Muhimbili alikuwa anakandwa na konda tena teja wa vi-Hiace daladala za enzi hizo.

Huyo jamaa alikuwa rafiki wa bro nilishawahi kuwasikia ktk mazungumzo yao akimwambia “yule demu nasukuma ni mwenyewe tu amenielewa,siku ya kwanza kufahamiana aliniambia anapenda namna ninavyogonga gonga coin wakati nakusanya salio nikamchomekea wala hakusumbua” kwa tunaopanda daladala unajua ile konda akidai nauli yake anavyofanya,alikuja mpaka kumgeuza single mama.

Anayemkumbuka Salim Chicago Matelephone kipindi akiwa na yard ya kuuza magari pale Town Clock Tower early 2000s jamaa alikuwa na mke mmoja mkali sana alimpa kila kitu namkumbuka kipindi hicho akitembelea Hilux Surf 4x4 but surprisingly alikuja kumpa maku driver anae-park magari pale yard halafu mshkaji mchafu mchafu tu akienda huelewi akirudi huelewi,yaani yule jamaa kama gari ikinunuliwa na ipo nyuma ya nyengine inabidi azitoe zote aitoe then azirudishe tena akaja kulala na mke wa boss mwenye yard.Hovyo kabisa
Kosa kubwa sana ambalo wanaume tulilifanya na kupelekea anguko la ustawi wa jamii duniani kote ni kusikiliza na kukubali kufanya anachosema mwanamke kwa jina la usawa wa kijinsia.

Mwanamke hajui anataka nini, hana uwezo wa kufikiri kimantiki, hana msimamo, anafanya maamuzi kwa hisia, hawezi kujiongoza mwenyewe, hana maono. Hivi mtu kama uyo ni wa kumzingatia kweli?
 
Chochote unachofanya na mwanamke kutunza ushaidi ni muhimu sana, kwa sababu ikitokea mgogoro wowote kati yenu na mwanamke akakushtaki(hata kwa kukusingizia) basi moja kwa moja mwanaume unakua na hatia mpaka pale utakapoweza kuthibitisha kwamba haukufanya ilo kosa, sasa hapo kama hauna ushahidi wa kuthibitisha hauna hatia imekula kwako

Hapo kama jamaa angeupata kwa uyo dada halafu kesi ifike mahakamani basi mshkaji ndio angeambiwa kamuambukiza. Angekula kifungo au faini kubwa tu hapo.

Hata legend baltasar kwa kujua au kutokujua zile video zimemuokoa sana. Wanawake wote kwenye video wameonyesha ushirikiano lakini bila uwepo wa zile video angetokea mmoja pale angesema amembakwa na legend angetoboka hela nyingi sana.
Umenifanya nitafakari zaidi mkuu, hongera
 
Ukikosea kuruhusu namba ya juma ndani ya simu ya mkeo, tena ili hali unajua kuwa Juma ni muathirika
 
Kosa kubwa sana ambalo wanaume tulilifanya na kupelekea anguko la ustawi wa jamii duniani kote ni kusikiliza na kukubali kufanya anachosema mwanamke kwa jina la usawa wa kijinsia.

Mwanamke hajui anataka nini, hana uwezo wa kufikiri kimantiki, hana msimamo, anafanya maamuzi kwa hisia, hawezi kujiongoza mwenyewe, hana maono. Hivi mtu kama uyo ni wa kumzingatia kweli?
Sio wa kumzingatia kabisa, na kamwe biblia haiongopi, na ndio maana hata urithi wanapewa mwanaume na sio tofauti ( hii ni Siri kubwa sna inayofikirisha )
 
Back
Top Bottom