Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #41
Ni kuishi nao kwa akili TU.....kama mdau Moja hapo juu kasema ukifanikiwa kuoa ( kama Bado )....Cha kuanza jipende mwenyewe mengine ndio yafuateAmini mkuu!
Wanawake akili hawana au kama wanazo basi ni kidogo sana linapokuja suala serious la kufanya maamuzi.