Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
-
- #41
Ni kuishi nao kwa akili TU.....kama mdau Moja hapo juu kasema ukifanikiwa kuoa ( kama Bado )....Cha kuanza jipende mwenyewe mengine ndio yafuateAmini mkuu!
Wanawake akili hawana au kama wanazo basi ni kidogo sana linapokuja suala serious la kufanya maamuzi.
Hakika mkuu,Lawama alizotupiwa mwanaume mwenzetu asee!!!
Kumbe mchongo anaujua mwanzo mwisho kaambiwa mwanaume malaya sana wewe! nk.
Unakumbuka uzi wangu ulikuwa unasema WANAWAKE NDO CHANZO CHA WANAUME KUFA MAPEMA?
Huyu jamaa hata akioa hata kaa amuamini fundi au mwanamke tena maisha yake yote yatakuwa ya hofu sana.
Atakuwa na mawaza siku zote na anaonekana alikuwa anamkubali sana mke wake
Naukumbuka mkuu. Ila hapa Mwanamke kakutana na chuma. Hivi ndivyo wanaume tunapaswa kuwa. Unategemea lolote kutoka kwa mwanamke. Hii inasaidia sana kuona red alert. Ila ukiwa mshamba ukajifanya una mapenzi makali mno ndo unalishwa shahawa mkeo katoka kuzinywa kwa Juma wewe unakuja kuzilamba.Lawama alizotupiwa mwanaume mwenzetu asee!!!
Kumbe mchongo anaujua mwanzo mwisho kaambiwa mwanaume malaya sana wewe! nk.
Unakumbuka uzi wangu ulikuwa unasema WANAWAKE NDO CHANZO CHA WANAUME KUFA MAPEMA?
Huyu jamaa hata akioa hata kaa amuamini fundi au mwanamke tena maisha yake yote yatakuwa ya hofu sana.
Atakuwa na mawaza siku zote na anaonekana alikuwa anamkubali sana mke wake
πππ Mambo ya shahawa tenaNaukumbuka mkuu. Ila hapa Mwanamke kakutana na chuma. Hivi ndivyo wanaume tunapaswa kuwa. Unategemea lolote kutoka kwa mwanamke. Hii inasaidia sana kuona red alert. Ila ukiwa mshamba ukajifanya una mapenzi makali mno ndo unalishwa shahawa mkeo katoka kuzinywa kwa Juma wewe unakuja kuzilamba.
Aisee tujitahidi tusioe malaya πSwali la kingese sana, huyo ke ni malaya jamaa alioa malaya aliekubuhu.
Hatari sana mkuuNaukumbuka mkuu. Ila hapa Mwanamke kakutana na chuma. Hivi ndivyo wanaume tunapaswa kuwa. Unategemea lolote kutoka kwa mwanamke. Hii inasaidia sana kuona red alert. Ila ukiwa mshamba ukajifanya una mapenzi makali mno ndo unalishwa shahawa mkeo katoka kuzinywa kwa Juma wewe unakuja kuzilamba.
Unalaumiwa kwanini hukumwambia mapema kuwa Juma ni mgonjwa?
Mstaarabu sana yaanJamaa mstaarabu sana, busara zimekaa, hakuna paniki hakuna hasira. Hana lawama. Ni fact tu anaongea.
Kila kukicha wale wazee wa kataa ndoa, wanazidi kuonekana wapo sahihi na Nina uhakika wataendelea kuwa sahihi milele na mileleKama hivi boss:
View attachment 3149674
We mzee interview ya oral ilikuajeππ
Dah Nimecheka sana, ety kwann hukunambia Juma n mgonjwa π
Kutokuoa hakukuepushi kufanyiwa hivyo vitendo na mwanamke. Hivi vitendo vinapatikana kwa wanawake malaya, awe mpenzi au mke, umemuoa au la.Kila kukicha wale wazee wa kataa ndoa, wanazidi kuonekana wapo sahihi na Nina uhakika wataendelea kuwa sahihi milele na milele
π Dah πWe mzee interview ya oral ilikuaje
Achana na Mambo ya wanawake kwanza
Pole mkuuAiseh Hadi nimekua mpole sana!!!
Ikiwezekana ila ukiona tu viashiria vya malaya bora awe mzazi mwenzako tu.Aisee tujitahidi tusioe malaya π
πππππππ
Dah Nimecheka sana, ety kwann hukunambia Juma n mgonjwa π