jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
duh kwaiyo unataka kunambia rostam kaanza kipindi cha jk are you sure?Acha kutudanganya hesabu Kali gani,hata wewe ungepewa uweka hazina wa CCM kwa 10 yrs kipindi cha Jakaya lazima ungetoboa tu.fedha zinahamishwa kutoka Serikalini kupeleka chamani.
unajua ana deals gani S. africa,zimbabwe,kenya,malawi,china,us.a nk?
issue ya ccm ni theluthi tu mkuu usilolijua huyo jamaa ndiyo coordinator mkubwa wa africa kibiashara na hata kijasusi na mengineyo mengi.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app