Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Kwa kauli hii twafa
Hapana, labda tujiuwe wenyewe kwa ujinga wetu. Lakini hao jamaa wanachohitaji ni makampuni makubwa duniani yenye hisa zao yasikose fursa za Africa.

Tanzania tunaongelea sasa hivi kujenga ma highway ya toll.


Tanzania tunaongelea sasa hivi kujenga mahospitali makubwa kuwe na utalii wa afya.

Dubai pale ilipo kama haikutafuta njia mbadala za kuzalisha utajiri wao itaanguka.

Lengo lao kuu wajijenge Congo na gateway yao iwe Tanzaniakwa huku mashariki, kwa kule maghribi tayari AD Ports imeshakamata. na DP World na AD Ports ni ndugu wa damu, hawa Dubai wale Abu dhabi. Umeona eeh?

Hakuna sehemu nyingine yoyote duniani iliyobaki na mali asili nyingi duniani isipokuwa Congo.

Wnataka wawahi japo wawepo kidogo, wao kidogo tu wakishika asilimia fulani ya biashara ya Congo inawatosha kabisa, Hawana makuu. Kinchi chao kidogo.. wanaogopa kukikuza sana zaidi ya pale kitamezwa na wahindi.
 
Hapana, labda tujiuwe wenyewe kwa ujinga wetu. Lakini hao jamaa wanachohitaji ni makampuni makubwa duniani yenye hisa zao yasikose fursa za Africa.

Tanzania tunaongelea sasa hivi kujenga ma highway ya toll.


Tanzania tunaongelea sasa hivi kujenga mahospitali makubwa kuwe na utalii wa afya.

Dubai pale ilipo kama haikutafuta njia mbadala za kuzalisha utajiri wao itaanguka.

Lengo lao kuu wajijenge Congo na gateway yao iwe Tanzaniakwa huku mashariki, kwa kule maghribi tayari AD Ports imeshakamata. na DP World na AD Ports ni ndugu wa damu, hawa Dubai wale Abu dhabi. Umeona eeh?

Hakuna sehemu nyingine yoyote duniani iliyobaki na mali asili nyingi duniani isipokuwa Congo.

Wnataka wawahi japo wawepo kidogo, wao kidogo tu wakishika asilimia fulani ya biashara ya Congo inawatosha kabisa, Hawana makuu. Kinchi chao kidogo.. wanaogopa kukikuza sana zaidi ya pale kitamezwa na wahindi.
Nisikilize.
Hakuna anayepinga DP world kuwekeza bali tunapinga makubaliano ya awali yasiyoeleweka.

Mfano Mbarawa akiulizwa ukomo wa mkataba anajibu...Mkataba utakoma pale shughuli za uwekezaji zitakapokoma...lini?

Umewahi kuona wapi mkataba usiokuwa na ukomo kimaandishi?
 
Tunapaswa kukaza kuwapinga, hapa tutarudishwa utumwani.
Ikiwa Mwarabu alikuwa radhi kutuuza awamu hii anaweza kuwaua weusi wote ndani ya mipaka yao.

Yatapenyezwa magaidi yatudhibiti.

Hivi unajua bajeti ya kuwahamisha Wamasai Loliondo ilitoka wapi?

Huenda walitoa wao ili yakabidhiwe tena Loliondo yote
Haiwahusu kbisa, Wamasai hawakuhamishwa Loliondo, msidanganyane, Wamasai wamehamisha ndani ya Ngorongoro Crater. Ile ni wenyewe Tanzania kwa ajili ya soko la Watalii.

Loliondo ni kitalu tu cha uwindaji, tena cha wale wafalme w Abu Dhabi, siyo hawa.

Hawa wanavyo vitalu viwili havipo kabisa huko Loliondo.
 
Haiwahusu kbisa, Wamasai hawakuhamishwa Loliondo, msidanganyane, Wamasai wamehamisha ndani ya Ngorongoro Crater. Ile ni wenyewe Tanzania kwa ajili ya soko la Watalii.

Loliondo ni kitalu tu cha uwindaji, tena cha wale wafalme w Abu Dhabi, siyo hawa.

Hawa wanavyo vitalu viwili havipo kabisa huko Loliondo.
Hato mabilioni ya kuwahamisha mbona hayakuwepo kwenye bajeti ya wizara yoyote?
Kwanini hiyo pesa ya kuwahamisha haijasumbua kama inavyosuasua kutolewa kwenye shughuli zingine za maendeleo?

MFano pesa za kufidia watu kupisha ujenzi wa barabara huwa inachukua hadi miaka 5 lkn hii ya kuwahamisha wamasai iko mfuko wa shati?

Nchi hii tunapigwa sana kijinga...huoni kuna kitu hakipo sawa?
 
Nisikilize.
Hakuna anayepinga DP world kuwekeza bali tunapinga makubaliano ya awali yasiyoeleweka.

Mfano Mbarawa akiulizwa ukomo wa mkataba anajibu...Mkataba utakoma pale shughuli za uwekezaji zitakapokoma...lini?

Umewahi kuona wapi mkataba usiokuwa na ukomo kimaandishi?
Hakuna makubaliani yasiyoeleweka, tatizo lako umejazwa ujinga wa kwanza basi hata mkataba huuoni. Jifunze "to unlearn". Futa kabisa kilicho kichwani mwako sasa hivi halafu usome ule mkataba. Utauona umetupemdelea sana Tanzania.

Usisikie ujinga wa wanasiasa wapumbavu, wao wana akili za kifungi maiko, akifanya tatizo ndiyo atengeneza pesa. Hawa watu wanaelewa, wameshalizwa sana Kenya na wanasisa na matapeli Mpaka hawana hamu napo kabisa. Hili dili la Port ya Dar lilikuwa kwanza liwe la Kenya, walipochapwa ndiyo wakaachana nao kabisa. NGoja nikuwekee ushahidi chini hapo.
 
Hakuna makubaliani yasiyoeleweka, tatizo lako umejazwa ujinga wa kwanza basi hata mkataba huuoni. Jifunze "to unlearn". Futa kabisa kilicho kichwani mwako sasa hivi halafu usome ule mkataba. Utauona umetupemdelea sana Tanzania.

Usisikie ujinga wa wanasiasa wapumbavu, wao wana akili za kifungi maiko, akifanya tatizo ndiyo atengeneza pesa. Hawa watu wanaelewa, wameshalizwa sana Kenya na wanasisa na matapeli Mpaka hawana hamu napo kabisa. Hili dili la Port ya Dar lilikuwa kwanza liwe la Kenya, walipochapwa ndiyo wakaachana nao kabisa. NGoja nikuwekee ushahidi chini hapo.
Usitufanye wote harujui kusoma isipokuwa wewe tu.
Narudia mkata sio wote ni mbaya isipokwa unavifungu vichache wenye mitego hatari.

Mosi tenda haijatangazwa, huoni hii inatia shaka?
 
Hapo ndio una haribu.
Watufanyie kazi kwa maslahi yetu?

Malengo yao yaliyojificha ni yapi?
Sikiliza kijana, wao wana malipo yao yatakayolipwa kwa huduma zao, lakini wewe hapo hapo unawakodisha sehemu ya bandari. Hapo hapo mizigo inaongezeka unalipwa kodi. Portcharges unachukuwa wewe, ambazo wao wanahakikisha mizigo inashushwa kwa haraka na wingi wao wanapata ile huduma za andarini.

. Mfano, umeleta container moja, kulitowa ndani ya meli mpaka kuliweka bandarini linapotakiwa liwekwe, kuna gharama zake za crane, labour,transport ya mule ndani. Ikipigwa hesabu hiyo ndiyo inaitwa handling charges. Sasa wao wakipewa kazi wanakwambia kila kitu tunafanya sisi badala ya kuchukuwa Dollar 100 zote wewe, chukuwa 50 na sisi 50. Na katika hiypo 50 yao, wakitengeneza faida unapata income tax. Na hapo wewe umepunguza gharama zote za administrtive costs, kazi yako ni kuweka sawa mahesanbu tu. Umekosa nini? Na vifaa vyote ambayo huna pesa ya kuweka kununuwa vya kisasa wanweka wao, kwa amakubaliano maalum.


Hebu jifunzeni kutafuta data kwenye mtatandao, uliza tu Port charges and handling charges for 20 feet container. Utapata jibu kwa bandari yoyote uitakayo. Ukiipaya jiyo piga mata m watakayoshusha kwa mwaka na kuyahudumia, ni pesa nyingi sana lakini wewe kama nchi ndiye mfaidika mkuu. Unamlolongo wa mapato kwa kila kontena nje ya bandari mpaka lifike linapokwenda.


Ni kazi ya pesa nyingi lakini nakuhakikishia peke yako, na wizi tuliokuwa nao Watanzania utaambulia ailimia 25% tu ya watakayokupa wao ukijitahidi sana. Sasa fikiria unaikosa 75% nzima kwa mapato watakaypo genereta wao wavolume ya mzigo kuomgezeka na kwa ku ennhance speed ya handling. Speed yao wewe hata ufanye nini huipati kwa sasa, labada miaka 20 ijayo. Maana wana vifaa vya kisasa.


Sasa wao mradi wanapata faida yao na nyinyti manapata yenu kwanini wwawaibie? Wangekuwa wezi wasinge ijenga nchi yao kwa biashara tu, si wangekimbiwa na kila mtu.
 
Rost tam [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona kaitwa kwenye mjadala Serena Hotel, kaongea sana tena kaulizwa maswali mengi sana. Tafuta Youtube utamuona, alikuwa yeye, Jenerali Ulimwengu, Lema, Zitto, na wengine wengine.


Huwa mnakurupuka sana Wtanzania. Vichwa vyenyewe vya chai ya rangi na maandazi asuhi halafu mtaweza kuyajuwa mengi yanayoendelea? Mawee.
 
Sipingi wala sikubali ilahao watu wapo sn katika kila nchi. ..I'm not sure kwa Rwanda km wapo otherwise namba 1 wao nimshirika wahuko.
Nchi za magharibi wanatumia kl mbinu na hasa fedha kufanikisha mambo yao
 
Glenn na wenzako wenye maswali bofya chini hapo, tusiharibu mada ya watu, ntajibu huko maswali yote na kuhusu chochote "General Knowledge":

 
Tokea huyu mzee atimkie CCM na kuukwaa ubalozi, hata sina hamu tena ya kumsikiliza. Hata ukiwa na njaa, lakini ile ilizidi. Press conf akafanya SERENA, ehhhh unajua bei ya ukumbi ule kwa saa?
Hiki kizee ni kichafu sana huku kikijifanya kuwa kisafi. Hapan, sio Slaa.
Huyu mzee ALIKUA project ya State/kanisa kwenda upinzani kumshughulikia jk awamu ya nne!

Hakwenda kushinda urais bali check and balance KWA wanamtandao BAADA ya kushika nchi!

BILA yeye kwenda kule halo ungekua mbaya KULIKO hata jpm alivoikuta!!

BAADA ya jpm ku be nominated ndio project ikawa imeisha akarudi!!

SASA wanamtandao wameshika tena, project on!ndio MAANA kaanza kubweka like anachopewa abweke na office kubwa!!

Hakua msaliti Bali project ilikamilika!SASA amerudi tena KWA project ingine!!
 
CCM ndio saratani inayoliangamiza taifa hili! Wao ndio wanaoipitisha madudu yote bungeni! Wao ndio wanaolinda nyoka! Wao ndio wanaogonga meza kwa nguvu bungeni mpaka misumari ya zile meza inaregea! Wao ndio wanateua majambazi sugu! Wao ndio wanaiba kura! Wao ndio wanauza nchi! Wao ndio kila kitu kinachotendeka katika taifa hili!

Bila kuitoa CCM kwenye kiti, basi milele ufisadi hautaisha nchi hii! Kila siku litaibuka jipya! Mtapiga kelele mpaka kutumia nanilii za chini ila saratani ni CCM.

Hio budget ya mabilioni ya kuwapeleka wabunge India na Dubai, si bora ingechukuliwa robo ya budget na ingetumika kulipa wanasheria 50 kama kina Adv Peter Kibatala wa Tanzania kuupitia mkataba huo wa bandari kwa umakini? Na robo tatu wangewapeleka wanafunzi vyuo vya nje kusomea degree ya maswala ya kuendesha bandari wakaja kuajiriwa bandarini!

Wanaenda kupeleka wabunge vilaza huko wasioelewa hata safari inahusu nini na kujifunza kuliuza taifa! Wameenda kupiga selfie!
🪓🪓🪓
 
Tangu nilipokutana na Rostam Abdul Aziz (Mburushi wa Iran, mzaliwa wa Tabora) Jijini Telhaviv nchini Israel mwaka 2012 na kubaini kuwa ni wakala wa CIA katika Ukanda wa Afrika Mashariki nilianza kuogopa.

Mwanafunzi huyu wa CPA kutoka Cambridge University ana akili sana linapokuja suala la maslahi yake na ya Marekani.

Rostam ni king maker, bila Rostam Jakaya na Dk. SheIn wasingekuwa viongozi Wakuu wa nchi. Ni historia ndefu kidogo. Bila Rostam leo William Ruto asingekuwa Rais Kenya ambapo sasa kutokana na biashara yake ya Taifa Gas inawagombanisha Rutto na Odinga baada ya Rutto kumpa zawadi ya kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya chini nchini Kenya ili kuua biashara ya Raila ya Gesi nchini humo.

Wakati Rutto akiwa "vitani" na Raila Kenya, Rostam amepewa kandarasi ya kupambana na Jakaya & Comp kwa Tanzania kwa sababu Jakaya alimuunga mkono Raila last election kupitia kwa swahiba wake Uhuru Kenyatta. Usiniulize JK na RA si ni maswahiba? Hapana, linapokuja maslahi binafsi Rostam anakudampo kama used condom.

Rostam anajua kubadili upepo wa Hali ya mijadala ya kiuchumi kusaka fursa. Lakini pia hutumika na maspin doctoring ili kubadili mijadala hasa asiyo na maslahi nayo. Mjadala wa Ripoti ya CAG ilipotaka kuwasha moto na kubaini kuwa "vijana wake" ndani ya Baraza la Mawaziri wataumbuka na pengine hata kuishia jela au kutumbuliwa aliweka Kambi St. Gaspa Hotel Dodoma kwa siku kadhaa akifanya kila aliwezalo mjadala huo uepukwe. Akafanikiwa.

Lakini likaibuka DP World ambayo anayo maslahi nayo makubwa katika usafirishaji wa mafuta na gesi ghafi kutoka Arabuni. Lakini mjadala umepamba moto wa chuma. Unafanyaje?

Watu wameshangaa Dk. Slaa ametokea wapi kujadili DP. World? Lakini baada ya Dk. Slaa kujitokeza na "kumgusa" Rostam, naye Mburushi akaibuka na kushambulia Slaa akihoji uzalendo wake tena akimtuhumu kuhongea hotelini Serena na kutimkia Canada.

Ndugu zangu huyo ndiye Rostam. Ni mipango waliyofanya na huyo huyo Dk. Slaa kihamisha reli. Sasa mtaacha kujadili ujambazi wa DP. World na mawakala wao wa hapa nchini wanaojichanganya kila uchao na badala yake mtaanza kujadili ugomvi wa kisiasa wa Rostam na Dr. Slaa. Mtaanza kujadili maisha ya kisiasa ya Dk. Slaa nk. Michezo hii aliifanya sana na Marehemu Mchungaji Christopher Mtikila na kufanikiwa sana.

Kuweni MAKINI kuliko wakati mwingine. CAG report lazima ifike mwisho na DP. World lazima kieleweke. Mkataba wa kihuni na kiwizi haiwezekani hata kama maneno yatapakwa asali tamu ya nyuki wadogo.

Ahsanteni!
True 😭
 
Hapana, wewe sio mtu wa haki...bali umejificha ndani ya dini ya haki.

Nimegundua wewe ni mwanamke FISADI sana hasa vitendo vyako vya kutetea mafisadi yaliyojificha ndani ya dini ya haki.

Huwezi kuntetea Mkristo mtenda haki bali fisadi la Kiislam uko tayari kufa nalo.
Jitahidi uitendee haki dini yako kama ilivyo ya haki.
Sikuchukii hata kidogo bali nachukia UNAFIKI wako
🪓🪓🪓
 
Back
Top Bottom