Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Hiyo si hoja kwa sasa . Hoja ni MKATABA WA DP WORLD unamasilahi? Hata kama aliolewa kabisa acha kuhongwa.
RA a.k.a King maker ni CIA a Havard student staionedin EA kuweka wamtakae na kuindoa wasiomtaka, ukiona anashabikia kitu ujue mahali hapo kuna wizi hajawahi kuwa na maslahi ya Tz hata sekunde 1
DP World pna maslahi makubwa sana kwa Taifa, hilo usiwe na shaka nalo kabisa.
 
DP World una maslaji makubwa sana kwa Taifa, hilo usiwe na shaka nalo kabisa.
Unathibitisha pasipo shaka hauna weakness kwa nchi. Tutembee kifua mbele? Hayo ndio maneno mazuri yakusikiliza mkuu. Sasa kwahiyo
1. Ni kweli kuwa utahusisha bandari zote Tz? Au si kweli. Thibitisha
2. Ni Kweli pia bandari ni sehemu ya muungano? Au si kweli?
 
DP World wapo tayari kufanya kazi kwa maslahi ya Tanzania 100% Malengo yao ni mengine kabisa.
Aisee. Hawa ni heaven send? 100% kwa ajili ya Tz wao malengo yao hayo mengine ni yapi?
Wanapata faida gani kwa kutupatia 100% wakiingiza gharama zao?.

Hayo malengo yasiyo WAZI ndio tatizo lenyewe, maana IGA haiko wazi
 
Unathibitisha pasipo shaka hauna weakness kwa nchi. Tutembee kifua mbele? Hayo ndio maneno mazuri yakusikiliza mkuu. Sasa kwahiyo
1. Ni kweli kuwa utahusisha bandari zote Tz? Au si kweli. Thibitisha
2. Ni Kweli pia bandari ni sehemu ya muungano? Au si kweli?

Siyo bandari tu. SGR, Industries, Free Trade Zones, Viwanda, lakini yote hayo wao wataifanya Tanzania kama investment centre yao ya Africa. Kihalali kabisa, tenna watazijeng bandari zote kisasa, siypofaida wachujuwe wao, faida ibaki hapa hapa iwanyanyuwe Watanzania.

Wao malengo yao mengine kabisa.
 
Siyo bandari tu. SGR, Industries, Free Trade Zones, Viwanda, lakini yote hayo wao wataifanya Tanzania kama investment centre yao ya Africa. Kihalali kabisa, tenna watazijeng bandari zote kisasa, siypofaida wachujuwe wao, faida ibaki hapa hapa iwanyanyuwe Watanzania.

Wao malengo yao mengine kabisa.
Kwa kauli hii twafa
 
Aisee. Hawa ni heaven send? 100% kwa ajili ya Tz wao malengo yao hayo mengine ni yapi?
Wanapata faida gani kwa kutupatia 100% wakiingiza gharama zao?.

Hayo malengo yasiyo WAZI ndio tatizo lenyewe, maana IGA haiko wazi
Yapo wazi, inatakiwa ufikiri kidogo na usiwe based utayaelewa kiuwaxi kabisa.


Sikiliza kijana, Dubai hawana mafuta sema Mwenyezi Mungu amewajaalia kuijuwa biashara.

Wao wanachokitaka ni mali zao zipate kuzunguka kibiashara, hawana shida zaidi ya hiyo. Wataibuwa miradi mikubwa mingi sana tena sana kuliko tunavtofikiria. Bnadari ni cha mtoto pa kuanzia tu.
 
Siyo bandari tu. SGR, Industries, Free Trade Zones, Viwanda, lakini yote hayo wao wataifanya Tanzania kama investment centre yao ya Africa. Kihalali kabisa, tenna watazijeng bandari zote kisasa, siypofaida wachujuwe wao, faida ibaki hapa hapa iwanyanyuwe Watanzania.

Wao malengo yao mengine kabisa.
Nimekuelewa we ni mwanafunzi wa CUBA. Asante wengine tulisoma Parane huko Njiro Kilombero
 
Yaani tutaona kila rangi. Ushahidi unaopingana
Tunapaswa kukaza kuwapinga, hapa tutarudishwa utumwani.
Ikiwa Mwarabu alikuwa radhi kutuuza awamu hii anaweza kuwaua weusi wote ndani ya mipaka yao.

Yatapenyezwa magaidi yatudhibiti.

Hivi unajua bajeti ya kuwahamisha Wamasai Loliondo ilitoka wapi?

Huenda walitoa wao ili yakabidhiwe tena Loliondo yote
 
Back
Top Bottom