Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Kwa kichwa Rostam ni kichwa kweli kweli lakini hiyo ya u CIA ni uongo mtupu. Na hiyo ya Kikwete ni fitna ya Slaa tu.


Kikwete, ndugu yao mamvi, Rostam ni dam dam wale.
Hayo yote MAFISADI PAPA.
kwasasa JK ndiye mtesi wa nchi.

Ufisadi hautapungua hili lizee likiwa hai, limegoma kustaafu, na Sa100 akicheza nalo atampeleka kuzimu mazima
 
Hapana, wewe sio mtu wa haki...bali umejificha ndani ya dini ya haki.

Nimegundua wewe ni mwanamke FISADI sana hasa vitendo vyako vya kutetea mafisadi yaliyojificha ndani ya dini ya haki.

Huwezi kuntetea Mkristo mtenda haki bali fisadi la Kiislam uko tayari kufa nalo.
Jitahidi uitendee haki dini yako kama ilivyo ya haki.
Sikuchukii hata kidogo bali nachukia UNAFIKI wako
Una haki na fikra zako, nioneshe mmoja mtenda haki ambae sijamtetea?
 
Rostam amesema Slaa amehongwa njaa inamumbua tu Dk Slaa hajawahi kua mzalendo hata siku moja, huyu si ndio aliwageuka chadema akaanza kuwashambuli alipokua ubalozi.
 
Hayo yote MAFISADI PAPA.
kwasasa JK ndiye mtesi wa nchi.

Ufisadi hautapungua hili lizee likiwa hai, limegoma kustaafu, na Sa100 akicheza nalo atampeleka kuzimu mazima
Huyo ndiyo yupo straght katika wote hao uliowataja, usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Rostam hawezi kufanya uisdi kabisa tena, kwa sabau ana siri kubwa sana, ambayo akifany aujing japo kidogo anapotezwa.
 
Nitakuinyeshaje wakati huwapendi Wakristo wote?
Hizo ni fikra zako, huwa unanisoma kwa uoga.


Mimi akikosea yeyote awe Muislam au Mkristo simezei, na akifanya vyema yeyote awe Muisla asiwe Muislam, awe na dini asiwe n dini. Lazima nimpe sifa yake.
 
Rostam hawezi kufanya uisdi kabisa tena, kwa sabau ana siri kubwa sana, ambayo akifany aujing japo kidogo anapotezwa.
Wewe dada ni muongo mkubwa, umesahau kilichomtoa Rostam kwenye siasa za moja kwa moja?
Enzi za kujivua gamba?

Hivi mnatuona hatuna akili kwasababu tuko jf tukipiga soga hapa?
Uchafu wa Rostam nikiunika hapa hilo jambazi litamsumbua Melo anitafute bure.
Rostam ndiye jambazi namba moja kwasasa Tz labda akifuatia na Msoga kwa karibu.
Hawa watu ni maadui wakubwa wa nchi.
 
Wale jamaa wako kule juu kabisa hawana ufisadi wale wapo way above that.

Kuna mafisadi papa ya kijinga nyie hamyaelewi.
 
Hizo ni fikra zako, huwa unanisoma kwa kuoga.


Mimi akikosea yeyote awe Muislam au Mkristo simezei, na akifanya vyema yeyote awe Muisla asiwe Muislam, awe na dini asiwe n dini. Lazima nimpe sifa yake.
Nitakuogopaje mtu kama wewe?
Ukiwa fisadi kamwe siwezi kukuogopa.
Mimi ninamuogopa mwenye HAKI daima simsogelei.
 
Kwahiyo ni uongo Slaa hakuzingua kwa kuhongwa sababu ya matamaa yake ya madaraka?
Hiyo si hoja kwa sasa . Hoja ni MKATABA WA DP WORLD unamasilahi? Hata kama aliolewa kabisa acha kuhongwa.
RA a.k.a King maker ni CIA a Havard student staionedin EA kuweka wamtakae na kuindoa wasiomtaka, ukiona anashabikia kitu ujue mahali hapo kuna wizi hajawahi kuwa na maslahi ya Tz hata sekunde 1
 
Back
Top Bottom