Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
TusubiriSlaa cha mtoto, kashindwa Boss wake mwendazake kwa Rostam itakuwa Slaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TusubiriSlaa cha mtoto, kashindwa Boss wake mwendazake kwa Rostam itakuwa Slaa?
Tusubiri nini?Tusubiri
Hayo yote MAFISADI PAPA.Kwa kichwa Rostam ni kichwa kweli kweli lakini hiyo ya u CIA ni uongo mtupu. Na hiyo ya Kikwete ni fitna ya Slaa tu.
Kikwete, ndugu yao mamvi, Rostam ni dam dam wale.
Una haki na fikra zako, nioneshe mmoja mtenda haki ambae sijamtetea?Hapana, wewe sio mtu wa haki...bali umejificha ndani ya dini ya haki.
Nimegundua wewe ni mwanamke FISADI sana hasa vitendo vyako vya kutetea mafisadi yaliyojificha ndani ya dini ya haki.
Huwezi kuntetea Mkristo mtenda haki bali fisadi la Kiislam uko tayari kufa nalo.
Jitahidi uitendee haki dini yako kama ilivyo ya haki.
Sikuchukii hata kidogo bali nachukia UNAFIKI wako
Huyo ndiyo yupo straght katika wote hao uliowataja, usilolijuwa ni usiku wa kiza.Hayo yote MAFISADI PAPA.
kwasasa JK ndiye mtesi wa nchi.
Ufisadi hautapungua hili lizee likiwa hai, limegoma kustaafu, na Sa100 akicheza nalo atampeleka kuzimu mazima
Nitakuonyeshaje wakati huwapendi Wakristo wote?Una haki na fikra zako, nioneshe mmoja mtenda haki ambae sijamtetea?
Straight kwenye wizi sio?Huyo ndiyo yupo straght katika wote hao uliowataja, usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Hizo ni fikra zako, huwa unanisoma kwa uoga.Nitakuinyeshaje wakati huwapendi Wakristo wote?
Wewe dada ni muongo mkubwa, umesahau kilichomtoa Rostam kwenye siasa za moja kwa moja?Rostam hawezi kufanya uisdi kabisa tena, kwa sabau ana siri kubwa sana, ambayo akifany aujing japo kidogo anapotezwa.
Lipi hilo?Fisadi ilo
Nitakuogopaje mtu kama wewe?Hizo ni fikra zako, huwa unanisoma kwa kuoga.
Mimi akikosea yeyote awe Muislam au Mkristo simezei, na akifanya vyema yeyote awe Muisla asiwe Muislam, awe na dini asiwe n dini. Lazima nimpe sifa yake.
Yataje tuyajueWale jamaa wako kule juu kabisa hawana ufisadi wale wapo way above that.
Kuna mafisadi papa ya kijinga nyie hamyaelewi.
Watu Kama nyie mkiulizwaga mna ushahidi gani...mnakuwa mabubu ghafla. Tatizo watanzania tunapenda Sana umbea sijui ndo pepo la nchi yetu?Straight kwenye wizi sio?
J ni janga la nchi hii.
Anapaswa kunyongwa kwa vizazi vijavyo.
Bado, hamna fikra za kutosha.Yataje tuyajue
Hiyo si hoja kwa sasa . Hoja ni MKATABA WA DP WORLD unamasilahi? Hata kama aliolewa kabisa acha kuhongwa.Kwahiyo ni uongo Slaa hakuzingua kwa kuhongwa sababu ya matamaa yake ya madaraka?
Yakuogopana yametoka wapi tena, unaota?Nitakuogopaje mtu kama wewe?
Ukiwa fisadi kamwe siwezi kukuogopa.
Mimi ninamuogopa mwenye HAKI daima simsogelei.