Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mbona umenikata na shoka myLady
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umenikata na shoka myLady
Angalia ulichoandikaRostam hawezi kufanya uisdi kabisa tena, kwa sabau ana siri kubwa sana, ambayo akifany aujing japo kidogo anapotezwa.
Nimesikitishwa mnooAngalia ulichoandika
Uyu ni faiza anaetype au ID iko hacked🤨
Naanzaje kukukata Mr ake kwa mfano🤣👋Yaan umelenga mule mule nakazia 💯kwa 💯🤣👋Mbona umenikata na shoka myLady
Niliogopa sana kuona napigwa shoka na mtu ninayemkubali mnooNaanzaje kukukata Mr ake kwa mfano🤣👋Yaan umelenga mule mule nakazia 💯kwa 💯🤣👋
Mimi je acha tu😟Nimesikitishwa mnoo
Sikupigi shoka hilo halitatokea🤣👋Niliogopa sana kuona napigwa shoka na mtu ninayemkubali mnoo
Angalau moyo umetuliaSikupigi shoka hilo halitatokea🤣👋
Tulia Mr ake 🤣👋Angalau moyo umetulia
Jinga Kweli wee mnawshobokeaa wahindi weziA
Acha porojo za kwenye vijiwe vya kahawa wewe tafuta pesa uwe kama ROSTAM AZIZ
Acheni wogoa enyi watanzania msio na akili ni nani aliyeworoga? Kila mtu mnamuogopa kwa Nini nyie msitengeneze mazingira muogopwe nyie. Kwa nini kila jambo mna inferiority complex? Swala la do world m aogopa, swala la soko la pamoja east Africa mnaogo nk. Kila kitu nyie mnaogopa! Basi muuze nchi muwape wasioogopa kufanya mambo!!Tangu nilipokutana na Rostam Abdul Aziz (Mburushi wa Iran, mzaliwa wa Tabora) Jijini Telhaviv nchini Israel mwaka 2012 na kubaini kuwa ni wakala wa CIA katika Ukanda wa Afrika Mashariki nilianza kuogopa.
Mwanafunzi huyu wa CPA kutoka Cambridge University ana akili sana linapokuja suala la maslahi yake na ya Marekani.
Rostam ni king maker, bila Rostam Jakaya na Dk. SheIn wasingekuwa viongozi Wakuu wa nchi. Ni historia ndefu kidogo. Bila Rostam leo William Ruto asingekuwa Rais Kenya ambapo sasa kutokana na biashara yake ya Taifa Gas inawagombanisha Rutto na Odinga baada ya Rutto kumpa zawadi ya kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya chini nchini Kenya ili kuua biashara ya Raila ya Gesi nchini humo.
Wakati Rutto akiwa "vitani" na Raila Kenya, Rostam amepewa kandarasi ya kupambana na Jakaya & Comp kwa Tanzania kwa sababu Jakaya alimuunga mkono Raila last election kupitia kwa swahiba wake Uhuru Kenyatta. Usiniulize JK na RA si ni maswahiba? Hapana, linapokuja maslahi binafsi Rostam anakudampo kama used condom.
Rostam anajua kubadili upepo wa Hali ya mijadala ya kiuchumi kusaka fursa. Lakini pia hutumika na maspin doctoring ili kubadili mijadala hasa asiyo na maslahi nayo. Mjadala wa Ripoti ya CAG ilipotaka kuwasha moto na kubaini kuwa "vijana wake" ndani ya Baraza la Mawaziri wataumbuka na pengine hata kuishia jela au kutumbuliwa aliweka Kambi St. Gaspa Hotel Dodoma kwa siku kadhaa akifanya kila aliwezalo mjadala huo uepukwe. Akafanikiwa.
Lakini likaibuka DP World ambayo anayo maslahi nayo makubwa katika usafirishaji wa mafuta na gesi ghafi kutoka Arabuni. Lakini mjadala umepamba moto wa chuma. Unafanyaje?
Watu wameshangaa Dk. Slaa ametokea wapi kujadili DP. World? Lakini baada ya Dk. Slaa kujitokeza na "kumgusa" Rostam, naye Mburushi akaibuka na kushambulia Slaa akihoji uzalendo wake tena akimtuhumu kuhongea hotelini Serena na kutimkia Canada.
Ndugu zangu huyo ndiye Rostam. Ni mipango waliyofanya na huyo huyo Dk. Slaa kihamisha reli. Sasa mtaacha kujadili ujambazi wa DP. World na mawakala wao wa hapa nchini wanaojichanganya kila uchao na badala yake mtaanza kujadili ugomvi wa kisiasa wa Rostam na Dr. Slaa. Mtaanza kujadili maisha ya kisiasa ya Dk. Slaa nk. Michezo hii aliifanya sana na Marehemu Mchungaji Christopher Mtikila na kufanikiwa sana.
Kuweni MAKINI kuliko wakati mwingine. CAG report lazima ifike mwisho na DP. World lazima kieleweke. Mkataba wa kihuni na kiwizi haiwezekani hata kama maneno yatapakwa asali tamu ya nyuki wadogo.
Ahsanteni!
Kwamba angeshindwa kukodi mtu kawa mmbuge miaka 20 ahindwe Lisa limoja kikufnya pressTokea huyu mzee atimkie CCM na kuukwaa ubalozi, hata sina hamu tena ya kumsikiliza. Hata ukiwa na njaa, lakini ile ilizidi. Press conf akafanya SERENA, ehhhh unajua bei ya ukumbi ule kwa saa?
Hiki kizee ni kichafu sana huku kikijifanya kuwa kisafi. Hapan, sio Slaa.
Leo had umeporomosha tusi alooUnakuwaga na ukyummer mwingi sana wewe chawa
Haukumuelewa alichomaanisha yeye hapo ameponda kuwa watu wanamkuza sana rostamHawa ndio vilaza wanaookotezwa uvccm
Kapewa vidonge vyakeKamuonya au kampa vidonge vyake?
Acha kutudanganya hesabu Kali gani,hata wewe ungepewa uweka hazina wa CCM kwa 10 yrs kipindi cha Jakaya lazima ungetoboa tu.fedha zinahamishwa kutoka Serikalini kupeleka chamani.to be honest R.A is my role model nmekuwa nikimfatilia toka 2000s nikiwa secondary ana history ndefu mno na ni mtu wa mipango na anatumia hesabu kali mno na ngumu sana kukosa shabaha yake.
Kamuonya au kampa vidonge vyake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe na yeye wote ni MADALALI sio mbaya mkipendana kabisa.
Dalali ni mtu mroho sana, anajiangalia yeye tu.
Yuko tayari biashara ya mtu isitoke kwa kupandisha bei mara mbili.
Mwizi ndiye role model wako, je wewe ni nani?
Jibu unalo, japo utakuja na matusi kama kawaida yako