Muonekano 'bab kubwa' wa barabara ya Jiji la Dodoma baada ya kukamilika

Muonekano 'bab kubwa' wa barabara ya Jiji la Dodoma baada ya kukamilika

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.

FLKwA7vWUAUpHcm.jpg
 
Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo limeacha ambalo litahusisha usafiri wa mabayo yaendayo kazi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.

Ungetulia Kidogo kisha Ukaandika
 
Na iwe hivyo sio kama pale Ubungo rama i ilikuwa nzuri ghafla tu ikabadilishwa hewani
Ramani ya ubungo kilicho badilika ni kitu kimoja tu kidogo na hakija athiri ufanisi na malengo ya mradi,

Nacho ni katika original plan njia ya mabasi ta mwendo kasi ilikuwa inapita chini groundlevel, halafu wale wanao kata kona (mfano atokaye kimara kwenda buguruni, au wa buguruni aende manzese) ambao wanapita chini sasa walipaswa wapite katikati, yani kati wanakopita watu wa kutoka mwenge kwenda buguruni, na wa mwenge kwenda buguruni walipaswa wawe ndio wanapita juu usawa wa ipitapo mwendo kasi sasa

Ni rahisi kuona kwa nini mchoro ukabadilishwa, nadhani kuwa ile flow ya magari ya chini ingebaki kupita kati ingekuwa gharama kubwa zaidi na manguzo mengi zaidi. Nafikiri ni suala la kupitia gharama za mradi upya wakabaini kuwa wanaweza kusave gharama bila kuathiri ufanisi wa flyover yenyewe
 
Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.

Amazing.
Walishindwa nini kutengeneza kitu kama hii pale Mbezi mwisho wanaishia kutengeneza vivuko vya waenda kwa miguu tu?
 
Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.


Mwanza wameitenga kwakweri. Ilitakiwa ipewe kipaumbele baada ya Dar. Sasa dom kweli wanajenga fly over!!! Dom na arusha ni wale wale tu
 
Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...

Natamani iwe ivyo, lakini itachukuwa miaka 500 mpaka ifikie dar
 
Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.

Wachawi washindwe na walegee...Dodoma lazima iwe ndio Capital City
 
mapicha picha tu hayo, ukija kwenye uhalisia ni sifuri. rejea picha za mradi wa kigamboni na kwingineko ni mda gani sasa.
 
Back
Top Bottom