RWANTANG
JF-Expert Member
- Dec 28, 2021
- 1,143
- 1,425
Tunauona mkuu ila kwa mazingira ya Dom ya miaka 10 iliyopita hahahaaa hata sisi tunajiona tumekuwa "KARBU NA DAR" kwa maendeleo!Wanajitoa ufahamu kama vile hawauoni uwekezaji mkubwa dar š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunauona mkuu ila kwa mazingira ya Dom ya miaka 10 iliyopita hahahaaa hata sisi tunajiona tumekuwa "KARBU NA DAR" kwa maendeleo!Wanajitoa ufahamu kama vile hawauoni uwekezaji mkubwa dar š¤£
Sasa unadhani dodoma haitojengwa kisa dar?Sure, maana Dar nayo haijasimama.
Nyege nyine bhana,.. sa mzunguko hapo uko api!?Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.
Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.
Kwani baada ya miaka 50+ dar itakuwa iko kama Leo Hadi dodoma iipiku?Haiwezekani kwa muda ulioweka, labda miaka 50+.
Wakati huo huo Dar isimame!Haiwezekani kwa muda ulioweka, labda miaka 50+.
Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Ungefika dodoma usingeandika hilo???Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Sahau hiyo haitawekana kabisaaaaSasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Asante Kwa ufafanuziRamani ya ubungo kilicho badilika ni kitu kimoja tu kidogo na hakija athiri ufanisi na malengo ya mradi,
Nacho ni katika original plan njia ya mabasi ta mwendo kasi ilikuwa inapita chini groundlevel, halafu wale wanao kata kona (mfano atokaye kimara kwenda buguruni, au wa buguruni aende manzese) ambao wanapita chini sasa walipaswa wapite katikati, yani kati wanakopita watu wa kutoka mwenge kwenda buguruni, na wa mwenge kwenda buguruni walipaswa wawe ndio wanapita juu usawa wa ipitapo mwendo kasi sasa
Ni rahisi kuona kwa nini mchoro ukabadilishwa, nadhani kuwa ile flow ya magari ya chini ingebaki kupita kati ingekuwa gharama kubwa zaidi na manguzo mengi zaidi. Nafikiri ni suala la kupitia gharama za mradi upya wakabaini kuwa wanaweza kusave gharama bila kuathiri ufanisi wa flyover yenyewe
NightmareSasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Wala sio nzuri ...Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.
Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.
Wapi nimesema hivyo.
Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Hizo ni ndoto, tambua kuwa watu wanaenda Dodoma kwa lazima ambao hawalazimishwi ni % ndogo sanaSasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Story za kujifariji yaani zilipendwa.Wagogo wenyewe tu wanakukimbia dodoma,wanakuja kuomba dar,