Muonekano 'bab kubwa' wa barabara ya Jiji la Dodoma baada ya kukamilika

Muonekano 'bab kubwa' wa barabara ya Jiji la Dodoma baada ya kukamilika

Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.

Kwa hiyo hii ndiyo ring road??
 
Acha kuchekesha basi?
Dar ipi?
Kawe- goba au?
Hata mwanza kuifikia ni bado saana
Kwa sasa Dom,inashindana na Ilala(Dar CC) na Kinondoni tuu na sio takataka zingine.
Unlesa una matatizo makubwa Sana,kama bado kuifikia mdomoni mwako.sawa ila kwenye uhalisia mambo yako hivi 👇

1643456511815.png
 
Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Acha kufananisha Dar na vitu vya kijinga
 
Ramani ya ubungo kilicho badilika ni kitu kimoja tu kidogo na hakija athiri ufanisi na malengo ya mradi,

Nacho ni katika original plan njia ya mabasi ta mwendo kasi ilikuwa inapita chini groundlevel, halafu wale wanao kata kona (mfano atokaye kimara kwenda buguruni, au wa buguruni aende manzese) ambao wanapita chini sasa walipaswa wapite katikati, yani kati wanakopita watu wa kutoka mwenge kwenda buguruni, na wa mwenge kwenda buguruni walipaswa wawe ndio wanapita juu usawa wa ipitapo mwendo kasi sasa

Ni rahisi kuona kwa nini mchoro ukabadilishwa, nadhani kuwa ile flow ya magari ya chini ingebaki kupita kati ingekuwa gharama kubwa zaidi na manguzo mengi zaidi. Nafikiri ni suala la kupitia gharama za mradi upya wakabaini kuwa wanaweza kusave gharama bila kuathiri ufanisi wa flyover yenyewe
Weeeh, ile ya mwanzo ilikua tamu bhana. Ilikua interchange siyo flyover kama ilivyo sasa.
Sema tumepigwa mzee baba
 
Dar ni kama maji, usipoyanywa basi utayaoga. Dar ndio inasukuma uchumi wa nchi saba kupitia bandari yake; kuanzia Tz, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Zambia na Malawi zote zinategemea Dar. Bila uwepo wa Dar maisha ya wanachi wa hizo nchi saba yatateleka vibaya sana.
 
Na kulivyo Pauka huko dom pako ovyo dar ni level nyingine usifananish na mambo ya kishamba
 
Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.

Mara zote CGI uwa zinavutia kuliko uhalisia
 
Siasa hizi umeokota mchoro huko. Mbona mchoro wenyewe unaonesha ni left hand driving.. wakati bongo ni right hand driving
 
Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.

Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.

JPM, you were a rare gem! Rest well Sir!
 
Kwa sasa Dom,inashindana na Ilala(Dar CC) na Kinondoni tuu na sio takataka zingine.
Unlesa una matatizo makubwa Sana,kama bado kuifikia mdomoni mwako.sawa ila kwenye uhalisia mambo yako hivi [emoji116]

View attachment 2115196
Mapato ya dodoma yanatoka wapi!
Kuuza kivanja?
Dodoma kuna manufacturing industry gani?!
Dodoma hata kwa mwanza baado saana
 
Watu wa dodoma mnalinganisha dar na dodoma kwa vumbi lile haiwezi kufanana na dar hata siku moja sio dodoma tu east Africa hao viongozi wako wakimaliza vikao tu basi wanarudi dar hawana namna tu ila serikali kuhamishwa dodoma hawakukubaliana nacho ondoeni lile vumbi kwanza hujui mjini wapi wala porini wapi.
Wagogo wenyewe tu wanakukimbia dodoma,wanakuja kuomba dar,
 
Mkuu jiji halijengwi na kukua na serikali bali biashara, ajira na mzunguko wa fedha, je Dodoma itaiweza Dar kwa viegezo hivyo?
Njoo Dom huku kumeanza kuwa kitovu cha biashara mkuu.
 
Back
Top Bottom